Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo, mamlaka ichuke hatua stahiki

Hizo ni takwimu za kwenye makaratasi lakini uhalisia sivyo.

Tunajitangaza sana huko nje kwamba Tz ni nchi ya Amani lakini uhalisia wa ndani ya nchi sivyo.
Sasa mbona mwanzo ulisema Tanzania haipo hata Top 100. Ulitumia Source gani?

Halafu kuwa na amani ndio kumaanisha hakuna mauaji kabisa? Hata nchi zilizoizidi amani Tanzania kuna wakati hutokea mauaji.
 
Tuombe MUNGU uchaguzi mkuu upite kwani haya yote yataisha!!!
 
Jana imetokea huku Dodoma Nyumba 300 mtoto amekutwa amekufa baada ya kupotea..ametupwa karibu na nyumba za hapo....nimeona kwny group moja...
Jamani ni kina nani hawa wanafanya hivi kwa watoto wasio na hatia jamani...tena wa umri kuanzia miaka 4....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…