Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo, mamlaka ichuke hatua stahiki

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo, mamlaka ichuke hatua stahiki

Wakuu amani ya Mungu iwe nanyi.

Kumekua na taharuki kwa wakazi wa Temeke, Tandika, Mbagala na Vikindu kwa ujumla wake.

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo.

Majuma kadhaa yaliyopita maeneo ya Mbagala Mgeni nani miili ya watoto imekutwa huku baadhi ya viungo vikiwa havipo.

Wiki iliyoisha maeneo ya Tandika mtoto wa jirani yangu alikoswa kuchukuliwa na watekaji mara baada ya kufanya jaribio la kumteka mtoto, bahati nzuri mtoto alikimbia na kuja kusimulia kwa wazazi wake.

Juzi maeneo ya Kisemvule inaripotiwa mama mjamzito amekutwa amefariki huku sehemu zake za siri zikiwa zimenyofolewa.

Jana maeneo ya vikindu(kazole) nimepewa taarifa ya kukutwa kwa miili ya watoto wawili wanaodaiwa kuwa na miaka kati ya 11 mpaka 14 ikiwa haina baadhi ya viungo.

Vyombo vya habari mpaka sasa sijasikia ikiripoti tokio lolote kati ya hayo juu au yanayo shaabiana na hayo.

Rai yangu kwa mamlaka husika tunaomba wanaotenda haya matukio muwashughulikie haraka sana watatumalizia watoto wetu na jamaazetu.
KOMPTUTA IKIKOSEA HUWA KUSEMA IMEKOSEA NI NGUMU.POLISI WAPO KWA AJILI YA KULINDA WANASIASA WA CCM SIO MALI NA USALAMA MAMBO MENGINE
 
Utakuta wanapaki magari yao ya hadhi ya kifalme pembezoni mwetu kumbe wameyapata kwa damu. PESA ZINASIRI NZITO MNO.
na maranyingi hizo gari zinakua mapembezoni mwa shule wanajifanya wanawapa watoto lift kumbe wanania ovu
 
Mimi naishi CHAMAZI hili Jambo ni kweli na pia shule zote za maeneo haya tumeambiwa wazazi kuwapeleka shuleni asubuhi na kuwafata jioni.
Polisi wetu ni hodari wa kuteka Tu lkn kwenye ishu muhimu kama hizi huwezi kuona wanasaidia wananchi wake
 
Wakuu amani ya Mungu iwe nanyi.

Kumekua na taharuki kwa wakazi wa Temeke, Tandika, Mbagala na Vikindu kwa ujumla wake.

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo.

Majuma kadhaa yaliyopita maeneo ya Mbagala Mgeni nani miili ya watoto imekutwa huku baadhi ya viungo vikiwa havipo.

Wiki iliyoisha maeneo ya Tandika mtoto wa jirani yangu alikoswa kuchukuliwa na watekaji mara baada ya kufanya jaribio la kumteka mtoto, bahati nzuri mtoto alikimbia na kuja kusimulia kwa wazazi wake.

Juzi maeneo ya Kisemvule inaripotiwa mama mjamzito amekutwa amefariki huku sehemu zake za siri zikiwa zimenyofolewa.

Jana maeneo ya vikindu(kazole) nimepewa taarifa ya kukutwa kwa miili ya watoto wawili wanaodaiwa kuwa na miaka kati ya 11 mpaka 14 ikiwa haina baadhi ya viungo.

Vyombo vya habari mpaka sasa sijasikia ikiripoti tokio lolote kati ya hayo juu au yanayo shaabiana na hayo.

Rai yangu kwa mamlaka husika tunaomba wanaotenda haya matukio muwashughulikie haraka sana watatumalizia watoto wetu na jamaazetu.
Kuna tukio moja la temeke lilitangazwa kwenye radio wiki iliyopita
 
Dah hii habari imenihuzunisha sana, Leo pia nimeona kwenye whatsap groups kuna picha inasambazwa ya House girl mmoja amemchinja mtoto Goba ,akakimbia

Haya mambo yanaleta huzuni sana kwakweli
 
Back
Top Bottom