Imekaaje Tundu Lissu kudai gari yake ni V8 ya kisasa ila anaitaka Serikali ibane matumizi?

Imekaaje Tundu Lissu kudai gari yake ni V8 ya kisasa ila anaitaka Serikali ibane matumizi?

Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiria na Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri Serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Wewe mpumbavu kweli kweli! Kwani hiyo ni gari ya serikali iliyonunuliwa na kodi zetu? Kama anakula milo miwili ili aihudumie gari yake inakuhusu nini wewe mjinga? Kama alijibana ili ainunue shida iko wapi kwa Watanzania wengine?

Kinachogomba ni serikali kutuwekea lundo la matozo ili viongozi wanunuliwe hayo magari ya kifahari. Kama viongozi wanataka kutumia magari ya kifahari wajinunulie na hakuna atakayewapigia kelele kwa kuwa watakuwa wametumia fedha zao.

Sisi wananchi hatutaki kulundikiwa matozo ambayo hayana manufaa ya kimaendeleo kwetu. Hatutaki matozo ambayo yanawanufaisha viongozi halafu sisi wananchi tunabaki tunalia maisha magumu!
 
Kainunua kwa pesa yake au kwa pesa ya serikali?
Nikitumia pesa yangu kwa kula bata na totoz sio kosa ila nikitumia pesa ya serikali kufanya hivyo hilo ni kosa.
Haijalishi
 
Inajalisha sana kuna tofauti wa kutumia hovyo pesa yako mwenyewe na kutumia pesa ya umma.
Kama wewe ni muadilifu huwezi kuwa ndumila kuwili. Tuwe wakweli kwa nafsi zetu mkuu
 
Warriors wa humu.. msaidieni apate gari lake.. ni kiongozi wenu.. anawapigania vyema mnayotaka yawe..
 
Kama wewe ni muadilifu huwezi kuwa ndumila kuwili. Tuwe wakweli kwa nafsi zetu mkuu
Kutumia ela yangu kununua kitu cha thamani sio hoja sija misuse pesa ya umma ila kutumia pesa ya umma kununua vitu extravagant hiyo ni condition tofauti.
Watu wanatafuta pesa waishi vzuri na ukiipata ukaitumia hiyo poa. Lakini kutumia pesa ya umma ili uishi maisha extravagant hiyo sasa ni hatari. Kwa mfano huwezi kulalamika kuwa shabiby labda anaendesha maisha kifahari kwakuwa ni mfanyabiashara anatumia pesa yake.
 
Lissu amesema hayo, fuatilia mahojiano clouds.

Tusiwe na mahaba kupitiliza Kwa vyama vya upinzani, wananchi tunatakiwa tuvidhibiti.

Wananchi tumekuwa tukipinga viongozi kutumia magari ya ml 500 wakati wajawazito hawana pa kujifungulia vijijini.

KATIBA mpya tunayoiandika tuhakikishe inaielekeza Serikali kutumia magari ya Bei himilivu,

Hii ni Nchi maskini.

Aamen.
Mahojiano ni kuwa uliyasikia tu wewe na mamako au?
 
Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiria na Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri Serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa

Hiyo gari ya Lissu kapewa na serikali?
 
Lissu sasa anatumika tu kama rubber stamps hana jipya, yeye na mbowe wanajua wafanyayo mazungumzo yao na sa100 ni giza nene mpaka leo wameshindwa kutolea ufafanuzi, mbowe mpaka naandika hapa hajasema waliongea nini Ikulu na Rais alipotoka jela breki ya kwanza
Ukishajua kuwa waliongea nn then bei ya mchele itashuka? Hivi nyie wapumbavu huwa mnawaza kwa kutumia nn?
 
Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiria na Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri Serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Huna akili wewe, gar ya lisu inawekwa mafuta na serikali au inatengenezwa na serikali?

Mjinga kabisa
 
Haijalishi
Umejawa na wivu
Tofautisha mali ya umma na mali binafsi.
Kama vichwa vyetu vimejaa mawazo ya kiajabu ajabu kama yako tusitegemee kuiona Tanzania yenye viongozi wawajibikaji
 
Na nyie vilaza mnaotetea humu mnaamini kabisa lissu ikatokea hata ndotoni tu kwamba ameshika nchi atatembelea zile gari za mkonga au double cabin? Be serious.
 
Hoja hafifu Sana hii,..wewe Kama bunge la Tanzania wote wanatumia V8 za kupewa na serikali we ulitaka asipokee Hilo gar?..Basi hata na mshahara asipokee...ili ccm wale wenyewe au?..dah
 
Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiria na Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri Serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Ndio serikali ibane matumizi isitumie vibaya kodi zetu.
Lkn haimaanishi mtu binafsi asitumie jasho lake apendavyo, huko ni kuingilia uhuru wa mtu binafsi

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom