comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
- Thread starter
- #81
unataka watu wajadili na hilo?Hivi comte na shabanmbarak ni mtu mmoja ila ID mbili tofauti au, nauliza tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka watu wajadili na hilo?Hivi comte na shabanmbarak ni mtu mmoja ila ID mbili tofauti au, nauliza tu?
Nijibu ila kama nimekuvua nguo chutamaunataka watu wajadili na hilo?
Basi tuachane nalo ila watu siyo wajinga kama unavyodhaniunadhani 1 ni sawa na 2
Hakusema V8 ya kisasa yenye Kafridge katikati?Nilitazama na kusikiliza kabla yako..!
Unadhani, nani anaweza kuwazuia kupiga propaganda zenu mfu..?
Huwezi kuwazuia ndege kuruka juu ya kichwa ila unaweza kuwazuia wasijenge kiota kwenye kichwa chako..!
Tunachotofautiana ni katika kufanya choices. Umechagua kuzusha na kusema uongo. Endeleeni lakini huwezi kujenga viota kwenye vichwa vyetu..
Ni kweli kabisa ndiyo maana Ikulu mtaisikia tu- mnaishi kifahari halafu mnatwambia mko na sisi wakati tunawaona kwa macho yetu mchana kweupe; si afadhali tubaki na wezi tuliowazoea kuliko kuanza na wezi wapyaBasi tuachane nalo ila watu siyo wajinga kama unavyodhani
Ile ni gari ya serikali..alipewa kipindi yupo na cheo bungeni..sio gari binafsi..kumbe JF Kuna mbumbumbu nilifikiri wote wasomi..Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiria na Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri Serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Kwanza nikujulishe unaongea na mtu ambaye si mwanachama wa chama chochote cha siasa.Ni kweli kibisa ndiyo maana Ikulu mtaisikia tu- m naishio kifahari halafu mnatwambia mko na sisi wakati tunawaona kwa macho yetu mchana kweupe; si afdhali tubali na wezi tuliowazoea kuliko kuanza na wezi wapya
Lissu ana pesa gani? Hizo ni ruzuku za serikali na pesa za join the chainKainunua kwa pesa yake au kwa pesa ya serikali?
Nikitumia pesa yangu kwa kula bata na totoz sio kosa ila nikitumia pesa ya serikali kufanya hivyo hilo ni kosa.
Ni dharau tu, kwa kuwa yeye ana uhakika wa kupata walezi nje ya nchi basi anaona kila mtu ana maisha rahisi. Lissu ana kiburi naa dharau sanaAnapata wapi ujasiri wa kusema haya kwa majority ambao hata Afu tatu tu ya kununua mchele ni taabu.
Mimi simfahamu zaidi ya kumwona kwenye TV na kukutana naye mara moha shoppers. Narudia kama hiyo gari kainunua kwa pesa yake ni sawa. Hatuzungumzii matumizi binafsi ya pesa binafsi tunazungumzia kupunguza matumizi yasiyo na tija kwa pesa ya ummaLissu ana pesa gani? Hizo ni ruzuku za serikali na pesa za join the chain
Kama hajakamatwa basi hatuna haki ya kueleza wizi bila ushahidi.Atakuwa kaibia watu sehemu
Tundu Lissu ni msaliti wa taifa hili,pia ni wakara wa beberuTundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiria na Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri Serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
WhyHivi comte na shabanmbarak ni mtu mmoja ila ID mbili tofauti au, nauliza tu?
Weka wazi ya mmeoKatoa wapi hela? au unataka tuweke wazi hapa