Shukrani sana kwa kuniongezea msamiati, shoddy workmanship, nimekupata. Ukiwa nje unahisi Force Account inamsaidia mhitaji, ukiwa ndani ya mfumo utatambua fika kuwa force account ni kichaka cha kupigia fedha kwa wakubwa.
Yaani mtaalam wa Wizara au sekta fulani anasimamia mradi kwa kulipwa DSA (daily subsistence allowance), wakubwa wanabakia ofisini wakisubilia kuongeza sufuri kwenye figure ya BOQ.
Utasikia mradi huu umetekelezwa kwa kuwatumia wataalam wetu wa ndani, na tumeweza kuokoa kiasi fulani cha fedha, watu wote meno nje, hakuna anayejiuliza hili swali, baada ya kuokoa kiasi fulani cha fedha, kimepelekwa wapi na kufanya nini?
NAOMBA NA HILI MKALITIZAME😀😀😃
Yaani mtaalam wa Wizara au sekta fulani anasimamia mradi kwa kulipwa DSA (daily subsistence allowance), wakubwa wanabakia ofisini wakisubilia kuongeza sufuri kwenye figure ya BOQ.
Utasikia mradi huu umetekelezwa kwa kuwatumia wataalam wetu wa ndani, na tumeweza kuokoa kiasi fulani cha fedha, watu wote meno nje, hakuna anayejiuliza hili swali, baada ya kuokoa kiasi fulani cha fedha, kimepelekwa wapi na kufanya nini?
NAOMBA NA HILI MKALITIZAME😀😀😃