Imekaaje Waziri Mkuu kumkaripia Daktari kwa ujenzi hafifu wa Hospitali?

Imekaaje Waziri Mkuu kumkaripia Daktari kwa ujenzi hafifu wa Hospitali?

Halafu hiyo milango usiione hivyo, haifungi. Jana nimeona mara tatu PM anaamuru mlango ufungwe halafu unafunguka wenyewe kila ukifungwa; mara tatu. Yaani mimi ilibidi nicheke kwa sababu sikuwepo kwenye tukio. Huwezi ukacheka ukiwepo LIVE.
Milango ya kusimamiwa na daktari wakati wa fosi akaunti!
 
Ma"engineer" wamekosa uaminifu kwa sababu walikuwa wanapiga Sana huko nyuma ...

NI MARA KUMI PROJECT ISIMAMIWE NA NON-ENGINEER PROFIT INAONEKANA KULIKO HAWA ENGINEERS WETU WA MICHONGO
Utakuwa mwansiasa wewe, kajijengee basi na jengo ulilolibuni wewe mwenyewe.
 

Kwanza nitangulie kusema kuwa sina chuki waka hila na mh. Waziri Mkuu Majaliwa. Waziri mkuu ndiye msimamizi wa shughuli ZOTE za kiserikali nchini.

Hata hivyo hili nililolisikia kwenye vyombo vya habari ndiyo vinaelezea ukakasi wa siasa tunazojiwekea zisivyoendana na kanuni na utaratibu wa hususan suala la ujenzi nchini.

Mh Waziri Mkuu anaonekana akimkaripia Daktari wa binadamu kwa ujenzi hafifu hasa milango katika hospitali ya Namtumbo huko Ruvuma.

Huyo Daktari anaonekana wala hajui kitasa na bawaba vinapatikana wapi!

Lakini inakuwaje madudu haya hayakuonekana mapema, ilhali wasimamizi wa mradi wapo, Mtendaji wa Halmashauri yupo, Mkuu wa Wilaya Yupo, Mkuu wa Mkoa yupo.
Waziri Mkuu atakagua yeye mwenyewe miradi mingapi kuibua madudu?

Hata hivyo, tunavuna tulichopanda, shoddy workmanship na ukanjanja katika ujenzi.

Hayo ndio matokeo ya FORCE ACCOUNT tuliyopigia kelele sana huko nyuma.

Jengo limekamilika ndiyo kwa fedha kiduchu, wanasiasa wanasema "value for money".
Lakini sasa ndio tunaona the real poor value for cheap and shoddy works, cannot endure durability in time of say 10 yrs.

Kifupi wanasiasa walioingiza FORCE ACCOUNT arbitralily katika sekta ya ujenzi watavuna matokeo mabaya hata kabla ya kumaliza muda wao madarakani.

Kitaalam tunahitaji kuwa na Technical Audit kwa miradi yote iliyotekelezwa kwa Force Account ili yafanyiwe tathmini na marekebisho kama hilo alilogundua Waziri Mkuu.
hapo wa kwanza alikuwa mkurugenzi,engineer halafu pia daktari.huyo daktari alitakiwa kujiridhisha na ubora wa kazi ile sababu ndo mwenye ofisi na engineer anatakiwa kuwajibishwa na mkurugenzi wake. vitasa vinajulikana tu wapi vinapatikana sababu naamini huyo daktari amewahi kujenga lkn pia anaishi kwenye nyumba.hivi vitu ni very simple kama akili yako iko sawa.unaona kabisa mlango una nafasi na kitasa kimekaa kiajabu huwezi hoji hapa kulikoni!hapana vitu vingine vinafanya viongozi kuwa vichaa sababu ya upuuzi tu mdogomdogo.kwani waziri mkuu ni injia lkn kaonaje hiyo kasoro si ni uzoefu tu.jamani hebu tuwe serious wakati mwingine.
 
N
hapo wa kwanza alikuwa mkurugenzi,engineer halafu pia daktari.huyo daktari alitakiwa kujiridhisha na ubora wa kazi ile sababu ndo mwenye ofisi na engineer anatakiwa kuwajibishwa na mkurugenzi wake. vitasa vinajulikana tu wapi vinapatikana sababu naamini huyo daktari amewahi kujenga lkn pia anaishi kwenye nyumba.hivi vitu ni very simple kama akili yako iko sawa.unaona kabisa mlango una nafasi na kitasa kimekaa kiajabu huwezi hoji hapa kulikoni!hapana vitu vingine vinafanya viongozi kuwa vichaa sababu ya upuuzi tu mdogomdogo.kwani waziri mkuu ni injia lkn kaonaje hiyo kasoro si ni uzoefu tu.jamani hebu tuwe serious wakati mwingine.
Nyie watoto wa juzi hamjui kuwa katika kuajiriwa kuna kitu kinaitwa Job Description.
Mtu anapewa ajira na madaraka kulingana na fani aliyosomea.
 
Yaani huo ni ujinga tu na kutafuta umaarufu mbele ya kamera.
Ukiangalia hii nchi yetu inakabiliwa na upungufu au uchache wa madaktari katika sekta ya afya, hospital Moja si ajabu ukute wagonjwa 200 na daktari mmoja. Alafu huyo huyo daktari mmoja anaweza kuwa tegemezi vituo vya afya zaidi ya kimoja. Je huo mda wa kusimamia ujenzi unatoka wapii??

Yaan hii nchi basi tu. Ni kama gari inayo endeshwa na walevi.
 
hapo wa kwanza alikuwa mkurugenzi,engineer halafu pia daktari.huyo daktari alitakiwa kujiridhisha na ubora wa kazi ile sababu ndo mwenye ofisi na engineer anatakiwa kuwajibishwa na mkurugenzi wake. vitasa vinajulikana tu wapi vinapatikana sababu naamini huyo daktari amewahi kujenga lkn pia anaishi kwenye nyumba.hivi vitu ni very simple kama akili yako iko sawa.unaona kabisa mlango una nafasi na kitasa kimekaa kiajabu huwezi hoji hapa kulikoni!hapana vitu vingine vinafanya viongozi kuwa vichaa sababu ya upuuzi tu mdogomdogo.kwani waziri mkuu ni injia lkn kaonaje hiyo kasoro si ni uzoefu tu.jamani hebu tuwe serious wakati mwingine.
Mkuu hizo ndo kasoro za serikali yenyewe kujifanyia maamuxi yasiyo na tija kiutendaji.
Force Account inabidi ipigwe marufuku, amasivyo Waziri Mkuu akakague mwenyewe miradi yote ya serikali.
 

Kwanza nitangulie kusema kuwa sina chuki waka hila na mh. Waziri Mkuu Majaliwa. Waziri mkuu ndiye msimamizi wa shughuli ZOTE za kiserikali nchini.

Hata hivyo hili nililolisikia kwenye vyombo vya habari ndiyo vinaelezea ukakasi wa siasa tunazojiwekea zisivyoendana na kanuni na utaratibu wa hususan suala la ujenzi nchini.

Mh Waziri Mkuu anaonekana akimkaripia Daktari wa binadamu kwa ujenzi hafifu hasa milango katika hospitali ya Namtumbo huko Ruvuma.

Huyo Daktari anaonekana wala hajui kitasa na bawaba vinapatikana wapi!

Lakini inakuwaje madudu haya hayakuonekana mapema, ilhali wasimamizi wa mradi wapo, Mtendaji wa Halmashauri yupo, Mkuu wa Wilaya Yupo, Mkuu wa Mkoa yupo.
Waziri Mkuu atakagua yeye mwenyewe miradi mingapi kuibua madudu?

Hata hivyo, tunavuna tulichopanda, shoddy workmanship na ukanjanja katika ujenzi.

Hayo ndio matokeo ya FORCE ACCOUNT tuliyopigia kelele sana huko nyuma.

Jengo limekamilika ndiyo kwa fedha kiduchu, wanasiasa wanasema "value for money".
Lakini sasa ndio tunaona the real poor value for cheap and shoddy works, cannot endure durability in time of say 10 yrs.

Kifupi wanasiasa walioingiza FORCE ACCOUNT arbitralily katika sekta ya ujenzi watavuna matokeo mabaya hata kabla ya kumaliza muda wao madarakani.

Kitaalam tunahitaji kuwa na Technical Audit kwa miradi yote iliyotekelezwa kwa Force Account ili yafanyiwe tathmini na marekebisho kama hilo alilogundua Waziri Mkuu.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hayo mambo yalianzishwa na boss ya huyu PM sababu rejea kisa cha kule bandari yule mama alivyoambiwa unanijibu mimi hivyo?

Yaani mama yuko kitengo kingine anaulizwa maswali ya kitengo kingine si maajabu hayo?
 
Back
Top Bottom