mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Shukrani sana kwa kuniongezea msamiati, shoddy workmanship, nimekupata. Ukiwa nje unahisi Force Account inamsaidia mhitaji, ukiwa ndani ya mfumo utatambua fika kuwa force account ni kichaka cha kupigia fedha kwa wakubwa.
Yaani mtaalam wa Wizara au sekta fulani anasimamia mradi kwa kulipwa DSA (daily subsistence allowance), wakubwa wanabakia ofisini wakisubilia kuongeza sufuri kwenye figure ya BOQ.
Utasikia mradi huu umetekelezwa kwa kuwatumia wataalam wetu wa ndani, na tumeweza kuokoa kiasi fulani cha fedha, watu wote meno nje, hakuna anayejiuliza hili swali, baada ya kuokoa kiasi fulani cha fedha, kimepelekwa wapi na kufanya nini?
NAOMBA NA HILI MKALITIZAME😀😀😃
Ulitegemea nini kwa mtu ambae anasema yeye ni Muislamu, akaingia msikitini siku tukufu ya Ijumaa akiwa amevalia kinadhifu sana kisha akasimama mbele ya membar na imam wa msikiti na akathubutu kusema kuwa Rais wa Tanzania ni mzima na anawasalimu ilhali akijua wazi kuwa Rais ni mgonjwa/ameshaaga dunia?