Imekaaje Waziri Mkuu kumkaripia Daktari kwa ujenzi hafifu wa Hospitali?


Ulitegemea nini kwa mtu ambae anasema yeye ni Muislamu, akaingia msikitini siku tukufu ya Ijumaa akiwa amevalia kinadhifu sana kisha akasimama mbele ya membar na imam wa msikiti na akathubutu kusema kuwa Rais wa Tanzania ni mzima na anawasalimu ilhali akijua wazi kuwa Rais ni mgonjwa/ameshaaga dunia?
 
Reactions: BRB
Sasa una muwajibisha daktari wa binadamu kwenye issue ya ubora wa kazi ya ujenzi utakua na akili kweli?
 
Achana na huyo dogo ana kasumba ya migomo na maandamano. Hajui hata afisa manunuzi mkuu ni nani?
Ni aibu mtu anajipambanua kujua wakati hajui. Vijana wakiwa shule hii kitu inafundishwa maana wanategemewa kuwa ma Afisa Masuhuri. Accounting Officers na kutokana na PPRA huwezi jitetea ati wewe umesomea ukulima etc! Barikiwa
 
Waziri

Hebu zitaje kashfa tatu tu tusikie
Namsaidia moja Kawadanganya kwa makusudi mazima waislamu na watanzania kwa ujumla siku ya ijumaa kasimama mbele ya kibla na mbele ya imamu wa msikitini na akasema uongo juu ya hali ya Magufuli
 
waziri ana haki ya kumkalipia daktari km daktari ndio alipewa dhaman ya kusimamia ujenzi wa hospital.

ila je kwa akil ya kawaid tu daktari anaweza kusimamia maswala la ujenzi [emoji848]
Ndio maana utagundua wanasiasa wa bongo ni vimeo. Nilitarajia ded aitwe na ded amuite injinia wake wa ujenzi. Baada ya hapo ndio injinia wa ujenzi atoe maelezo.
 
Tunaongelea kituo cha afya cha serikali na sio nyumba binafsi.
 
Napingana na wewe kuhusu Force Acvount maana hata hao wakandarasi unao wataka wewe pia miradi yao inamapungufu MENGI TU
 
Napingana na wewe kuhusu Force Acvount maana hata hao wakandarasi unao wataka wewe pia miradi yao inamapungufu MENGI TU
Uwe concise, hatuongelei makandarasi, tunaongeea ujenzi mzima.
Kwa kufuatilia Ujenzi na kanuni zake, mkandarasi hawezi kurupuka kwenda kujenga kama hakuna-
- Architect(Mbunifu majengo),
-Consulting/Design Engineer(Engineer anayefanya mahesabu ya nondo, zege zinazoingia kwenye jengo)
-Quantity Surveyor(Mkadiriaji gharama za jengo),
-Clerk of Works( Msimamizi wa mradi kil siku
- na vile vile kazi kukaguliwa na mamlaka tofauti zihusuzo ijenzi kama AQRB, ERB, CRB na mamlaka nyingine.

Huo ndio ujenzi tunaoufhamu , sasa Fosi Akaunti mlie tu.
 
Namsaidia moja Kawadanganya kwa makusudi mazima waislamu na watanzania kwa ujumla siku ya ijumaa kasimama mbele ya kibla na mbele ya imamu wa msikitini na akasema uongo juu ya hali ya Magufuli
Uongo upi aliosema. We unajuaje kama ulikua uongo?
 
Madaktari walipewa dhamana ya Kusimamia hiyo miradi kama ilivyo kwa wakuu wa shule.... Pesa ziliwekwa kwenye akaunti za taasisi husika hivyo kwa vyovyote vile daktari anahusika....

MAMBO YA AJABU KABISA,Daktari na ujenzi wapi na wapi!!!!!!!!!!upumbavu wa hali ya juu!!huyu Waziri atakua CHOKO
 
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba chumba kimoja cha darasa milioni kumi haijengi?
 
Uongo upi aliosema. We unajuaje kama ulikua uongo?
Kwani Magu alionekana tena akiwa hai toka siku ile. Amka wewe hadi lini mtakuwa namna hii? Tanzania inahitaji mabadiliko na mabadiliko hayaji kama mtakaa tu mkikubali kudanganywa kijinga bila ya kutumia akili zenu. Kila mnachoambiwa na Viongozi wenu mnaamini tu hamuulizi masuali na wala hamjumlishi moja na moja mkapa 2. Amkeni!!!!!
 
Tulia wewe, swala la Magu kuonekana na alichosema waziri mkuu vina uhusiano gani? Waziri mkuu alisema Rais yupo anafanya kazi zake, prove kuwa alidanganya. We unajua Rais alikua wapi na akifanya nini muda waziri mkuu anaongea hivyo? Unasema alidanganya based on what? Wewe unaongea tu kwasababu upo nyuma ya keyboard, wewe ndio ungekua waziri mkuu ungesemaje? Unadhani taarifa inayohusiana na rais wa nchi unajiropokea tu kama unamuongelea gigi money au juma nature?
 
Ma"engineer" wamekosa uaminifu kwa sababu walikuwa wanapiga Sana huko nyuma ...

NI MARA KUMI PROJECT ISIMAMIWE NA NON-ENGINEER PROFIT INAONEKANA KULIKO HAWA ENGINEERS WETU WA MICHONGO
 
Halafu hiyo milango usiione hivyo, haifungi. Jana nimeona mara tatu PM anaamuru mlango ufungwe halafu unafunguka wenyewe kila ukifungwa; mara tatu. Yaani mimi ilibidi nicheke kwa sababu sikuwepo kwenye tukio. Huwezi ukacheka ukiwepo LIVE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…