Imenishangaza Katibu Mwenezi Chama Kikubwa Ndugu Paul Makonda hana Agenda; Anajitwangia tu

Imenishangaza Katibu Mwenezi Chama Kikubwa Ndugu Paul Makonda hana Agenda; Anajitwangia tu

Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.
Acha kuweweseka wewe chadomo,ajenda iko wazi kukagua uhai wa Chama na kusikiliza kero za Wananchi.

Hayo unayoyasema kayawekenimkuws ajenda huko mnakoandamana 😁😁

Mwisho Moja ya kero kubwa anazosikoloza ni zinazohusiana na Haki.

View: https://www.youtube.com/live/OpB4WlbnBG0?si=zFlr1wAfBB7-_GoU
 
Magu ndio bingwa wa maigizo ya hivyo, ndio maana ilipofika wakati wa uchaguzi itabidi apore uchaguzi, maana alijua matokeo ya kweli itakuwa fedheha kwake na chama chake. Yaani utembee na msururu wa magari yote hayo ya serekali kwenda kuwa msulihishi wa ndoa. Angetatua changamoto za umeme, maji, afya, gharama za maisha hapo angalau. Lakini hayo yote yanafanyika kwa mwendo wa kinyonga.
Anatumia mamilioni.ya fedha kusafiri na kulala kwenye mahotel huku akimpatia muuza ndizi laki moja.
 
Sio kazi yake hiyo yaan katibu mwenezi aje kutatua changamoto ya umeme waziri yuko wapi? Naibu wzir yuko wapi?
Wote wanakaa meza moja lakini anataka kuhadaa wananchi tu.
Wamalizane huko huko.
 
Bongo movie....haweI kujenga hata choocha shule sasa anatatuaje kero?
Anatoa maagizo kwa wahusika wa sekta sema nyny chadema maadam wapingaj tu ndy hvyo ila anawahenyesha wakurugenzi wanashika adabu
 
Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.
Agenda zote hizo form four failure atazijadili vipi ?
 
Acha kuweweseka wewe chadomo,ajenda iko wazi kukagua uhai wa Chama na kusikiliza kero za Wananchi.

Hayo unayoyasema kayawekenimkuws ajenda huko mnakoandamana 😁😁

Mwisho Moja ya kero kubwa anazosikoloza ni zinazohusiana na Haki.
Hahahaa.....hizo kero akawambie Mawaziri wanakaa naye meza moja huko Maporini anawahadaa tu.

Kero zimeletwa na chama chake.
 
Anatoa maagizo kwa wahusika wa sekta sema nyny chadema maadam wapingaj tu ndy hvyo ila anawahenyesha wakurugenzi wanashika adabu
Maagizo gani wakati waliokiuka wako nayw meza moja huko huko maofsini?
 
Utukufu wa Mungu umeondolewa na wamebaki makapi. Ni Kiebrania hiko
Utawala wa CCM kuongoza Taifa letu utaendelea mpaka daima.uhai wa Taifa letu upo mikononi mwa CCM.kwa hiyo huwezi kuitenganisha CCM na Taifa letu.
 
Utawala wa CCM kuongoza Taifa letu utaendelea mpaka daima.uhai wa Taifa letu upo mikononi mwa CCM.kwa hiyo huwezi kuitenganisha CCM na Taifa letu.
Are you for REAL?

Ushubwada uliouandika ni sehemu ya kuharakisha anguko.
 
Matanzania nayo ni mazuzu kupitiliza. Yanachangamoto kibao zilizoshindwa kutatuliwa na serikali ya CCM, lakini yakisikia CDM inasemwa na Makonda yanashangilia!!?? Kama mazombi! utadhani labda hayo matatizo yao yameletwa na CDM. Matanzania ni MAZUZU acha yaendelee kuongozwa na MAZUZU tu.
 
Shehe Huna Redio Huna Tv hata kweny Cm Pia Huoni? Hebu nitumie namb yako PM nikuwekee bando uone shuhuli ya mwenezi, hujui hata yaliojili pangan?
Hamna kitu achana na maigizo yale..akiondoka imeisha hiyo.
 
Back
Top Bottom