Imenishangaza Katibu Mwenezi Chama Kikubwa Ndugu Paul Makonda hana Agenda; Anajitwangia tu

Imenishangaza Katibu Mwenezi Chama Kikubwa Ndugu Paul Makonda hana Agenda; Anajitwangia tu

Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.
Kwani wewe ajenda yako ni nini?

Ushindwe kushauriana huko ndani ya CHADEMA halafu uje kushauri CCM? Huna akili

Subirini Ruzuku ili mlipane posho ya maandamano
 
Hivi upoyoyo na uchawa wako umekupelekea kujua wananchi wana changamoto kiasi gani nchi hii na ukichangia Kuna watu maelfunhqwana kipatomkwa siku, wiki na hata mwezi! Hiyo sukari ya Tsh 5000 au 6000 ni wangapi wanaimudu.

Mashule mengine watoto wanasomea madarasa ya vumbi na waalimu ni wachache!!

Eti mwamba wa siasa! Huuo mwenyekiti wake ameshindwa kuyafanya hayo kwa kuwa anaelewa ni usanii.
Acha kukurupuka hapa. Kuhusu vyumba vya madarasa ni kuwa serikali imejenga vyumba zaidi ya elfu 30 nchini kwote na ndio maana wanafunzi wote kwa sasa wanaripoti shuleni kwa wakati mmoja.

Kuhusu bei ya sukari ni kuwa bei elekezi ni 3200 na ambapo bei hiyo inakwenda kushuka muda siyo mrefu kwa kuwa serikali iliagiza tani za sukari zaidi ya laki moja na tayari zimeanza kuingia hapa nchini
 
Kwani wewe ajenda yako ni nini?

Ushindwe kushauriana huko ndani ya CHADEMA halafu uje kushauri CCM? Huna akili

Subirini Ruzuku ili mlipane posho ya maandamano
Umepaniki
 
Anasikil
Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.
Anasikiliza kup
Acha kuweweseka wewe chadomo,ajenda iko wazi kukagua uhai wa Chama na kusikiliza kero za Wananchi.

Hayo unayoyasema kayawekenimkuws ajenda huko mnakoandamana 😁😁

Mwisho Moja ya kero kubwa anazosikoloza ni zinazohusiana na Haki.

View: https://www.youtube.com/live/OpB4WlbnBG0?si=zFlr1wAfBB7-_GoU

Upo nyuma sana aisee hao wakuu ni wakina nan??? Huelewi ata tupo kipindi gani na tunaelekea wapi. Paul makonda anasikiliza kero za wananchi
 
Anasikil
Anasikiliza kup
Upo nyuma sana aisee hao wakuu ni wakina nan??? Huelewi ata tupo kipindi gani na tunaelekea wapi. Paul makonda anasikiliza kero za wananchi
Kero zote anazijua....shida za Tz ziko wazi.

Hayo mengine ni maigizo
 
Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.
Huyo Jaji Mkuu aliyelalamika ni Mnafiki tu japo ni home boy wangu, ni Mnafiki sawa na Mtoa mada....!

System ya Nchi na Viongozi wa Umma na namna wanavyofaya kazi kwa mazoea, kwa Upendeleo, ndo Wamechangia Matatizo yote haya ambayo tunaona namna Wananchi Masikini wakijaribu bahati yao kwa Makonda kuona labda Watasaidika....!

Anachokifanya Makonda si Kigeni, Mfano nilikua nasikia Malalamiko ya Mmoja ya Watumishi wa Halmashauri moja ambaye amestaafu miaka mingi ilopita, Manispaa kupitia Mkurugenzi wamegoma Kumlipa pesa zake, huyu Mwana Mama hakuna office hajaenda, kuanzia kwa Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya mpaka Mkuu wa Mkoa na Mkurugenzi mwenyewe akikataa kumlipa malipo yake, mtu kama huyu ataenda wapi tena kudai haki zake, bahati Makonda kaenda, katatua tatizo lake mbele ya Mkutano na Mkurugenzi anaulizwa sababu za kushindwa kumlipa mama wa watu hana hata cha kujitetea, kapewa maelekezo amlipe mdai siku iliyofuata.

Leo pia nimeangalia Mzabuni akiidai Manispaa ya Sumbawanga, Deni la toka mwaka 2012, just imagine, huyu naye kahangaika kila sehemu, bila mafanikio, anaitwa Mkurugenzi anasema watamlipa mwaka wa fedha 2024, Makonda akasema haiwezekani kwanza anadai muda mrefu, katoa maelezekezo kwa Mkurugenzi kesho yake asubuhi, awe ameandaa Cheque ya Mdai...!

Hiyo ni mifano michache kati ya Mingi, sasa wananchi masikini kama hawa wataenda wapi kudai haki zao dhidi ya Mfumo wa Uongozi ulio fail..!?

Always nasema, siipendi CCM, simkubari Makonda, lakini nakubaliana na anachofanya, kile anafanya ni Masikini tu ndo ataelewa...!

Mtu kama Jaji Mkuu, na yeye office haijawahi kushughurika na Masikini wa Nchi...! Nakubaliana na Majibu ya Makonda kwa wote, kuwa kila mtu afanye Yake....!
 
Anachokifanya Makonda si Kigeni, Mfano nilikua nasikia Malalamiko ya Mmoja ya Watumishi wa Halmashauri moja ambaye amestaafu miaka mingi ilopita, Manispaa kupitia Mkurugenzi wamegoma Kumlipa pesa zake, huyu Mwana Mama hakuna office hajaenda, kuanzia kwa Diwani, Mbunge, Mkuu wa Wilaya mpaka Mkuu wa Mkoa na Mkurugenzi mwenyewe akikataa kumlipa malipo yake, mtu kama huyu ataenda wapi tena kudai haki zake, bahati Makonda kaenda, katatua tatizo lake mbele ya Mkutano na Mkurugenzi anaulizwa sababu za kushindwa kumlipa mama wa watu hana hata cha kujitetea, kapewa maelekezo amlipe mdai siku iliyofuata.
Yaani watu wote hao wakatae kumlipa? Atakuwa hana sifa za kulipwa huyo.

Lakini hawa wote ndio ccm ya Makonda hiyo hiyo.
 
Yaani watu wote hao wakatae kumlipa? Atakuwa hana sifa za kulipwa huyo.

Lakini hawa wote ndio ccm ya Makonda hiyo hiyo.
Wakurugenzi wote wanaitwa mbele ya Hadhara na wanakubari kuhusu Malalamiko yaliyotolewa, wanakubari wanadaiwa....wewe unakuja kusema hawakuwa na Sifa ya kulipwa, wewe ndo mfano tosha wa aina ya Watumishi wa Umma tulionao.....!
 
Wakurugenzi wote wanaitwa mbele ya Hadhara na wanakubari kuhusu Malalamiko yaliyotolewa, wanakubari wanadaiwa....wewe unakuja kusema hawakuwa na Sifa ya kulipwa, wewe ndo mfano tosha wa aina ya Watumishi wa Umma tulionao.....!
Hamna kitu hapo hayo maigizo
 
Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.
Tulia, sindano zikuingie. Unaangaika nn kuongea utumbo?
 
Back
Top Bottom