Imenishangaza Katibu Mwenezi Chama Kikubwa Ndugu Paul Makonda hana Agenda; Anajitwangia tu

Imenishangaza Katibu Mwenezi Chama Kikubwa Ndugu Paul Makonda hana Agenda; Anajitwangia tu

Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.
Kawashika pabaya hadi mnakimbilia Jamii forum nenda kichwa kama Dotto Magari
 
Mwenezi hayuko kwenye Kampeni unatakiwa kujua lengo lake ni lipi.

Somo linalotakiwa kutuingia wananchi ni kwamba Kuna matatizo makubwa Katika kuandaa watumishi wote Katika nchi hii kwasababu Bomu limepasuka.

Miaka Yote tumekuwa tukiaandaa watumishi kwaajili ya kutumikia nchi hiki Sasa ndiyo kipimo sahihi wameshindwa kutatua matatizo rahisi kabisa migogoro imeongezeka.

CHANZO ni kuanzia Shuleni tulijiona ni washindi kuvujisha mitihani,tuliona ni Jambo jema kuongeza maarifa ya udanganyifu kwenye mitihani! Dhambi hiyo hiyo ikaendelea tukajiona wajanja kutoa ajira kiujanja tukaita Connection tukazalisha vyeo vya upendeleo Kwa kuangalia manufaa mapana ya kindugu na kirafiki.

Haya ndiyo mavuno yetu mpaka kizazi hiki kiishe au tuamue Leo kutumia udikteta maana Hawa wamegeuka Makupe kuwatoa ni ngumu lazima waache kichwa kwenye Ngozi.

Ukiisema MAHAKAMA peke yake bado utakuwa umeacha wafuasi kibao lakini angalia mfumo wao angalia maamuzi yao angalia tulivyo wapa umungu mtu lazima Mungu atawahukumu maana hiyo ndiyo kazi yao lakini jukumu la kuwapeleka Kwa Mungu huyu ili wahukumiwe Haraka ni la nani?
 
Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.
Hata alipokuwa mkuu wa mkoa hakuwa na plan yeyote
Akiamka asubuhi anaitisha press mambo kibao yanazungumzwa hapo
 
Jamaa anapambana sana anasikiliza kero za wananch jambo ambalo hata rais hafanyi anapita nyayo za magu mule mule
Tungekuwa na waandishi habari wenye akili au hata upinzani wenye akili
Wangekuwa wanachukua retails za baadhi ya watu wanaotajwa kutatuliwa kero zao na baada ya mda warudi kujua mambo yalipofikia hamna kitu Makonda anafanya
Kwasasa namfanisha Makonda na hawa wachungaji wa kisasa wa mchongo

Lakini anafanikiwa kwa kuwa kundi la wajinga ni kubwa sana nchi hii
 
Tungekuwa na waandishi habari wenye akili au hata upinzani wenye akili
Wangekuwa wanachukua retails za baadhi ya watu wanaotajwa kutatuliwa kero zao na baada ya mda warudi kujua mambo yalipofikia hamna kitu Makonda anafanya
Kwasasa namfanisha Makonda na hawa wachungaji wa kisasa wa mchongo

Lakini anafanikiwa kwa kuwa kundi la wajinga ni kubwa sana nchi hii
Hakuna mtu wa kuhangaika na usanii.

Watu wameshaudharau
 
Yaani ukifatilia mambo ya Katibu Mwenezi Paul Makonda utaishia kucheka tu. Sometime hata kupatwa na hasira au huzuni.

Katibu Mwenezi hana ajenda wala hajajipanga. Anajitwangia tu.

Tumesikia Mwanasheria akilalamika kuhusu utendaji wake. Si yeye tu wapo wanachama wengi wenye heshima zao ndani ya chama hicho wamekosoa mienendo ya kile kinachoitwa uenezi.

Tulitarajia Awe na Agenda zinazogusa Maslahi ya Wananchi kama vile

1. Hali ya Uchumi kudorora
2. Utitiri wa kodi na kupanda bei za bidhaa
3. Maendeleo ya huduma za kijamii hasa Maji, Umeme na Afya
4. Elimu bora na maIngira bora ya watendaji hasa walimu.

5. Utawala wa Haki, Sheria na kuzingatia Katiba.

Badala yake akikuta daraja limeanguka analivaa.....akikuta barabara imejaa vumbi analo.

Akikuta Eng wa Nkoa kagombana na mke wake basi yeye anakuwa msuluhishi.

Mimi naona kama Katibu Mwenezi ame loose focus na kukosa Mwelekeo.

Kama Chama kingekuwa kinategemea Kura kurudi madarakani basi huu ndio Ungekuwa Mwisho wa Uhai wa ccm.

Mwenzako yuko busy akitafuta umaarufu wake binafsi.
 
Unaelewa ziara ya Mheshimiwa mwamba mwenyewe na Jabali wa siasa na jasiri kusini mwa jangwa la sahara Mheshimiwa Makonda imelenga nini? Imedhamilia nini?

Ngoja nikujibu kwa ufupi tu kulingana na ufupi wa akili yako.

Ziara ya Mheshimiwa Makonda ina lengo kwanza la kukagua utekelezaji wa ilani ya chama.kwa hiyo chama kina angalia namna miradi mbalimbali inayotekelezwa,kasi yke katika utekelezaji wa miradi pamoja na kuangalia uwajibikaji wa viongozi na watendaji wa serikali katika utekelezaji wa majukumu yao.

Pili ni kusikiliza na kutatua papo kwa papo kero za wananchi. Kwa hiyo ziara hiyo ya chama inakwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao zote,ikiwa ni pamoja na namna wanavyohudumiwa na serikali yao, changamoto zao zinavyotatuliwa.ndio maana unaona namna ambavyo chama kimeendelea kuwapokea watu wa aina mbalimbali wenye kero na kutatua kero zao lakini katika mchakato huo chama kinatoa maagizo kwa viongozi wa serikali mikoani kuanzisha kliniki ya kupokea na kusikiliza kero za wananchi pamoja na kutatua ,ambapo agizo hilo la chama limetekelezwa haraka sana na kwa sasa kliniki hizo zimeshaanza kazi mikoa yote hapa nchini.

Tatu ziara hiyo imekuwa katika kuangalia uhai wa chama,l wa namna kinavyokubalika, kupendwa,kuungwa mkono na nguvu yake .ambapo chama kimeona kuwa bado kina nguvu kubwa sana ya ushawishi kwa wananchi,bado kinaaminika,bado kinaungwa mkono,bado kinapendwa sana na mamilioni ya watanzania na ndio maana watu wanamiminika na kufurika kwa wingi sana katika mikutano ya CCM inayoongozwa na Mheshimiwa Makonda katika ziara hiyo ya kihistoria hapa nchini.

Kwahiyo usikurupuke katika kuandika vitu usivyo vielewa.ni bora ingetuuliza wenye chama chetu ili tukupatie majibu.
Makonda AKA bashite Hana toauti na bamboo au kingwendu na mtanga ogopa kuuwa binadamu wenzio
 
Ila hakuna justice kabisa watu wengi wanalalamika kukandamizwa na police na wakubwa wa hii nchi inasikitisha sana
Mfumo mbovu nchi ishaoza
 
Anadeal na matukio ya kuhadaa wananchi, na hakubali maswali ya msingi. Huwezi kuona kulizwa kuhusu kero ya umeme, Wala kupanda kwa gharama za maisha. Hiyo inamaanisha Bado wanacheza na siasa za kiki na hadaa, huku wakiandaa nyomi fake linalopatikana kwa nguvu ya Dola. Fuatilia vizuri hata chawa humu ndani wanajikita kwenye nyomi na sio agenda, maana wanajua hakuna agenda Bali ni kijitekenya na kucheka wenyewe.

Lucas mwashambwa ChoiceVariable
Kwani hata akiulizwa wanaojibu ni wataalamu sasa unasemaje haulizwi mambo ya umeme acha uzwazwa na upoyoyo
 
Back
Top Bottom