π π π Sijui nimepatia au niongeze sauti?Hahaa! [emoji1] Kijana wa chipsi, usiwe na presha kipendacho moyo ni dawa. Hebu type hilo neno nyama choma kwenye search engine yako uone kama halitaambatana na jina Kenya, Safari, Simba, Hakuna Matata. π
Baada ya kuona umekamatwa umechange gear[emoji23][emoji23]Shida njaa zinawasumbua ndo maana ukashindwa kuelewa point nzima....hapo naona maudenda yamekujaa kisa kusikia chips hadi akili zimekuruka
Kwanza nyama kilo 1 Kenya ni shilling ngapi? Tuanze hapo π π πNyama Choma na Kenya ni kama chanda na pete. Huyu achana naye ale hizo chipsi zake unhealthy.View attachment 1649584
Naachaje kwa mfano? Hakuna mtanzania asiekula chipsHta we pia mla chipsi[emoji23][emoji23]
Yani utawajua tu watu wanaume wa chipsi, atafanya lolote ili kujitetea
Kidogo kidogo utasikia eti kope huwa ananyoa, wanja anajipaka pia, anasuka nywele na hadi kucha anazipaka rangi na akitembea huwa anabenua benua 'saidong'i'. [emoji38]Hta we pia mla chipsi[emoji23][emoji23]
Yani utawajua tu watu wanaume wa chipsi, atafanya lolote ili kujitetea
Mna ushamba mwingi mnoKidogo kidogo utasikia eti kope huwa ananyoa, wanja anajipaka pia, anasuka nywele na hadi kucha anazipaka rangi na akitembea huwa anabenua benua 'saidong'i'. [emoji38]
Acha Ulimbukeni wewe... Unaoushobokea(huo ujanja) ndio ushamba wa ulaya wenyewe(if you know what I mean)Tatizo ni mfumo wa kishamba tulio nao
mjinga hakujua kama anasearch akiwa kenya nairobi[emoji2][emoji2][emoji2]Mna ushamba mwingi mno
Wazungu wanakula French fries na ndio wanamiliki franchise zote Nairobi za McDonald's and KFC ila wenyewe poa tu, mtanzania akijibunia chips yai kuku basi yeye shoga? [emoji849][emoji849][emoji1786][emoji848]
Anyway ulisema ni Google nyama choma, hii ni Mara ya pili natekeleza maagizo, saivi nimepelekwa Dodoma [emoji28]
View attachment 1649689
Wakenya na nyama wapi na wapi?
internet ni gateway tu,unaweza itumia utakavyo.wengine wanaitumia kustreem porn nk.Internet bongo inatumika kujadili udaku zaidi
Wanaume wa dar wana mpka wall mirror[emoji23][emoji23]Kidogo kidogo utasikia eti kope huwa ananyoa, wanja anajipaka pia, anasuka nywele na hadi kucha anazipaka rangi na akitembea huwa anabenua benua 'saidong'i'. [emoji38]
Mbna unaficha hayo maelezo ya hapo juu[emoji23][emoji23][emoji23]Mna ushamba mwingi mno
Wazungu wanakula French fries na ndio wanamiliki franchise zote Nairobi za McDonald's and KFC ila wenyewe poa tu, mtanzania akijibunia chips yai kuku basi yeye shoga? [emoji849][emoji849][emoji1786][emoji848]
Anyway ulisema ni Google nyama choma, hii ni Mara ya pili natekeleza maagizo, saivi nimepelekwa Dodoma [emoji28]
View attachment 1649689
Wakenya na nyama wapi na wapi?
Ndio manake uzembe unawatafunaNaachaje kwa mfano? Hakuna mtanzania asiekula chips
View attachment 1649663
π Umesema ukweli.Kama mtu anakuuzia bidhaa fake akiwa dukani kwake atakuuzia nini akikutumia kwa EMS ama DHL
Tatizo jingine ni huduma zetu za posta yamejaa mababa yenye vitambi lakini majizi makubwa
Lakini hatuchemshi maweNdio manake uzembe unawatafuna
kwa style hii kiepe mtakionea kwe TVKidogo kidogo utasikia eti kope huwa ananyoa, wanja anajipaka pia, anasuka nywele na hadi kucha anazipaka rangi na akitembea huwa anabenua benua 'saidong'i'. [emoji38]
Nikasirike kwa lipi nyang'au hapa nimetoka kutandika kiepe cha maana nangoja nije kuwapapasa wala githeriMbna umekasirika na wakati tayari mwili umeshalegea na chipsi[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechange gear wapi mie sio nyang'au zinazokimbia thread zao wakizidiwa tena mkipata mpapaso wa maana mnatimua kwenda kuanzisha thread nyingine mtoe povu hukoBaada ya kuona umekamatwa umechange gear[emoji23][emoji23]
Hzo kampuni hata zingine ni za china haswa we hku unawehuka kizembe zembe
We si umeitolea mfano china ukafikiria na wak wanasihi kiswazi[emoji23][emoji23]Nimechange gear wapi mie sio nyang'au zinazokimbia thread zao wakizidiwa tena mkipata mpapaso wa maana mnatimua kwenda kuanzisha thread nyingine mtoe povu huko