Imeshindikana kabisa kwa bisahara za kwenye mitandao (e-commerce) kule Tanzania. Jumia, Tala, Brigter Monday wote walifungasha

Imeshindikana kabisa kwa bisahara za kwenye mitandao (e-commerce) kule Tanzania. Jumia, Tala, Brigter Monday wote walifungasha

Hahaa! [emoji1] Kijana wa chipsi, usiwe na presha kipendacho moyo ni dawa. Hebu type hilo neno nyama choma kwenye search engine yako uone kama halitaambatana na jina Kenya, Safari, Simba, Hakuna Matata. 😎
😅😅😅 Sijui nimepatia au niongeze sauti?

Polish_20201214_104844360.png
 
Shida njaa zinawasumbua ndo maana ukashindwa kuelewa point nzima....hapo naona maudenda yamekujaa kisa kusikia chips hadi akili zimekuruka
Baada ya kuona umekamatwa umechange gear[emoji23][emoji23]
Hzo kampuni hata zingine ni za china haswa we hku unawehuka kizembe zembe
 
Sio kila kinachofanyika Kenya kinashindikana kufanyika Tanzania, shida ni pale mnapolazimisha vile kinavyofanyika Kenya kifanyike na Tanzania hivyohivyo.

Kwa hilo biashara zenu zitaendelea kufeli na kupotea hadi mtakapokubali kujifunza.

Poleni lakini, kuteleza sio kuanguka karibuni tuwape elimu jinsi ya kufanya biashara moja nchi tofauti na kufikia malengo tarajiwa kwa kutumia njia sahihi kwa kila nchi. Strategies zinaweza kuwa tofauti kadri ya soko
 
Hta we pia mla chipsi[emoji23][emoji23]
Yani utawajua tu watu wanaume wa chipsi, atafanya lolote ili kujitetea
Kidogo kidogo utasikia eti kope huwa ananyoa, wanja anajipaka pia, anasuka nywele na hadi kucha anazipaka rangi na akitembea huwa anabenua benua 'saidong'i'. [emoji38]
 
Kidogo kidogo utasikia eti kope huwa ananyoa, wanja anajipaka pia, anasuka nywele na hadi kucha anazipaka rangi na akitembea huwa anabenua benua 'saidong'i'. [emoji38]
Mna ushamba mwingi mno
Wazungu wanakula French fries na ndio wanamiliki franchise zote Nairobi za McDonald's and KFC ila wenyewe poa tu, mtanzania akijibunia chips yai kuku basi yeye shoga? 🙄🙄🤤🤔

Anyway ulisema ni Google nyama choma, hii ni Mara ya pili natekeleza maagizo, saivi nimepelekwa Dodoma 😅

Screenshot_20201214-110407.png



Wakenya na nyama wapi na wapi?
 
Mna ushamba mwingi mno
Wazungu wanakula French fries na ndio wanamiliki franchise zote Nairobi za McDonald's and KFC ila wenyewe poa tu, mtanzania akijibunia chips yai kuku basi yeye shoga? [emoji849][emoji849][emoji1786][emoji848]

Anyway ulisema ni Google nyama choma, hii ni Mara ya pili natekeleza maagizo, saivi nimepelekwa Dodoma [emoji28]

View attachment 1649689


Wakenya na nyama wapi na wapi?
mjinga hakujua kama anasearch akiwa kenya nairobi[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Internet bongo inatumika kujadili udaku zaidi
internet ni gateway tu,unaweza itumia utakavyo.wengine wanaitumia kustreem porn nk.

sasa maamuzi ni yako.unaungana na wadaku au unatafuta hel,vijana wamevamia youtube wanajitafutia mia mbili mbilu,mtu anasema ni upuuzi.
 
Kama mtu anakuuzia bidhaa fake akiwa dukani kwake atakuuzia nini akikutumia kwa EMS ama DHL

Tatizo jingine ni huduma zetu za posta yamejaa mababa yenye vitambi lakini majizi makubwa
 
Kidogo kidogo utasikia eti kope huwa ananyoa, wanja anajipaka pia, anasuka nywele na hadi kucha anazipaka rangi na akitembea huwa anabenua benua 'saidong'i'. [emoji38]
Wanaume wa dar wana mpka wall mirror[emoji23][emoji23]
Mi nawajua jomba
 
Mna ushamba mwingi mno
Wazungu wanakula French fries na ndio wanamiliki franchise zote Nairobi za McDonald's and KFC ila wenyewe poa tu, mtanzania akijibunia chips yai kuku basi yeye shoga? [emoji849][emoji849][emoji1786][emoji848]

Anyway ulisema ni Google nyama choma, hii ni Mara ya pili natekeleza maagizo, saivi nimepelekwa Dodoma [emoji28]

View attachment 1649689


Wakenya na nyama wapi na wapi?
Mbna unaficha hayo maelezo ya hapo juu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie mumeiga kubalini tu banaView attachment 1649770
Screenshot_20201214-130548_Samsung%20Internet.jpg
 
Kama mtu anakuuzia bidhaa fake akiwa dukani kwake atakuuzia nini akikutumia kwa EMS ama DHL

Tatizo jingine ni huduma zetu za posta yamejaa mababa yenye vitambi lakini majizi makubwa
🙂 Umesema ukweli.

Katika hali ya kawaida bidhaa zetu na huduma hazina transparency kwenye uandaaji wala uuzaji/utoaji.

Kukosa standards kunatoa room for negotiations... Kitu ambacho kinapendeza tuonane uso kwa uso nimjue na mkeo kabisa incase ukinipiga

Swala jingine ni kukosekana uaminifu... Hapa nimeanza kuamini kweli tuliwauza ndugu zetu utumwani... Watanzania wanajipenda sana na wanapenda pesa au mafanikio mno.

Kukuuzia chochote as long as anapata pesa yeye ni sawa kabisa... Hawana roho ya upendo hata kidogo... Hawaumii kuona unatapeliwa na hii iko pwani sana..na ndio beacon ya Ustaarabu wa mswahili..

Utawakuta wameziba njia ya waenda kwa miguu halafu sheikh kabisa anasimama anasema wanajitafutia riziki. Wakati watoto wa shule wanapita kwenye motor way... Umimi..

E commerce will take off pale tutakapoanza kwa kustandardize utoaji wetu wa huduma na bidhaa.. kwa namna ambayo unaweza kupima ubora.. kisha watoaji huduma wajifunze kuwajibika..wabebe responsibility sio wakizingua mteja ndio shida kumharibia Mwenzake biashara.. kama hujapenda piga kimya.. hiyo attitude ndio imefanya leo tuna bongo flava ukiuliza ni mziki gani hakuna anayejua kuna mpaka ngoma kwenye bongo flavor na sijui huko itune inakuwa listed under what... 🙂
 
Mbna umekasirika na wakati tayari mwili umeshalegea na chipsi[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikasirike kwa lipi nyang'au hapa nimetoka kutandika kiepe cha maana nangoja nije kuwapapasa wala githeri
 
Baada ya kuona umekamatwa umechange gear[emoji23][emoji23]
Hzo kampuni hata zingine ni za china haswa we hku unawehuka kizembe zembe
Nimechange gear wapi mie sio nyang'au zinazokimbia thread zao wakizidiwa tena mkipata mpapaso wa maana mnatimua kwenda kuanzisha thread nyingine mtoe povu huko
 
Nimechange gear wapi mie sio nyang'au zinazokimbia thread zao wakizidiwa tena mkipata mpapaso wa maana mnatimua kwenda kuanzisha thread nyingine mtoe povu huko
We si umeitolea mfano china ukafikiria na wak wanasihi kiswazi[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom