Imetimia miaka kumi tangu nianzishe ukoo wangu, maendeleo ni mazuri

Ungana naye uzae uache kuingilia uani hutapata uzao🀣
 
Nafuata nyayo mkuu hoja imepokelewa kwa mikono miwili.😊
 
Inawezekana,oa wanawake wengi toka vijiji vya mikoa tofauti warundike hapo,mtatengeneza creole au pirgin ,lugha tayari
 
We jamaa ni mtu wa stori sana sometimes story zako ngumu sana mtu kuamini
 
Naikumbuka milango sita range rover.....
Story yako inafanana na yangu kwa % kubwa.......mie ndugu zangu wote ni kama washirikina...nilifilisika...nikateseka...nikachakaa haswa....hapo ndipo niliijua dunia, watu wake pamoja na Mungu......
Nilionekana kituko watu wakanikimbia waziwazi.....
KWA KIFUPI
MUNGU
FUNDI
 
Kweli kabisa,ukitaka kuwajua ndugu na rafiki wa kweli firisika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…