Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Hakuna maisha mazuri na matamu kama kuoa mke mwema au kutokuoa kabisa.

Kama unabisha subiri Adam umuulize namna Hawa/Eva alivyomtenda.

Kamuulize pia tajiri namba moja Duniani Elon Musk kwanini hana mke. Ukimkosa muulize makamu wake kwa utajiri duniani yaani anaemfuatia kwa utajiri au tajiri namba mbili Jeff Besoz kwanini hana mke.


Ukikosea mke kuoa mke ndugu hesabu umeingia Jehanam mapema. Wanawake wengi ni lango la shetani au kuingiza maovu duniani. Ubishe au usibishe ndio ukweli wenyewe.

Chukua hii siri toka kwa Yesu/Mungu. ISHINI NA HAWA WANAWAKE KWA AKILI SANA, KAMA NYOKA.

chukua ni hii ya mtume Paulo. KAMA UKIWEZA ISHINI KAMA MIMI. Yaani bila kuoa.

Uchaguzi ni wa kila mtu hasa katika kizazi hiki cha nyoka
 
Hahahhahahaha atimue tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cjajua huyo mwnamke umemfahamu kwa muda gani ila nijuavyo mmi kama ulikuwa karibu naye ulikuwa unamfahamu mpaka ukamua kumweka ndani ina maana mlikuwa mna endana ....... ushauri wangu hakuna mwanamke aliyeko perfect kwa asilimia zote mkalishe chini mweleze mipango yako na wew punguza jazba unaonekana ni mtu mwenye hasira za haraka huyo mwanamke ukikaa naye vzri anaweza kuja kuwa mke bora ....mtengeneze mkeo kuwa vile unataka MEKU ..... huku nje ntiti naskia na ndani ntiti
 
Tafuta nyumba ingine hapo inatosha....watamtafutia mabwana sasa hivi ....kukukomka unaringa
 
Wito ni ule ule kataa ndoa kataa kuoq kuoa na ndoa vyote ni ufala na vinapeleka watu kuzimu
 
Na ukome tunaimba kila siku achana kuoa achana ndoa ungekuwepo karibu ningekulipua mangumi, achana na manyoka hayo hao unapiga mashine unampa pesa unasepa, tia mimba uendelee kumleq yeye na mtoto basi kama Mond mi ndio mfumo wangu.
 

[emoji848][emoji848][emoji848]inafikirisha sana
 
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Tunaishi nao kwa sababu wanatupa mbunye na kutuzaa na kutuzalia watoto; vinginevyo ni chenga tu hamna kitu.
 
Nakulaum wewe kwasababu hukujipa muda wa kumfahm unayemuoa. Hapo kuna mawili 1 . Hukujiandaa kisaikolojia kuishi na mke 2. Umeoa kwa matamanio na mke wako either alikunyima papuchi mpaka umuoe or wewe hujui kutongoza kwahyo huyo ulivyompata hukutaka kumtafakari moja kwa moja ukamchukua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…