Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Hili ndilo jambo linalonisumbua kwa Sasa,nilipohamia mkoa huu kuanza kazi ndipo nilipokutana na huyu mwanamke.tulidumu ktk mahusiano kama mwaka na nusu Kila Mmoja akaanzisha maisha yake mengine. Baada ya mwaka Mmoja kupita akaanza kunitafuta kwenye simu mara kwa mara,aliomba tuktane Kuna jambo tuongee nikakubali....
Tulipokutana akaniambia kwa Sasa Hana kazi na Hana makazi hivyo anaomba hifadhi kwa muda wkt anajitafuta maana alipokua anaishi vtu vyake vimefungiwa kwa kutolipa Kodi kwa muda mrefu,kwakua nilipangisha nyumba nzima nikaona sio mbaya pia nitakua napata utelezi kwa karibu kuliko navyoenda kununua dada poa..(hapo ndipo nilipojiroga)
Nilimpa masharti yangu kuwa;
1.hapa mtaa ninapoishi hakuna anaejua nafanya kazi gani na wapi hivyo sitarajii ujio wako watu wakanifahamu.
2.sina mazoea na watu hapa mtaani kwahyo sitarajii kukuta mtu/majirani unapiga nao soga hapa kwangu.ila ukitaka kupiga stori nenda kwa mwanamke mwenzako ambaye mume wake Niko nae kazini.
3.salamu na mambo ya kijamii hapa mtaani nenda ila usijichanganye nao kupitiliza,shughuli ikiisha Rudi nyumbani.
Mambo yakaenda tofauti kbs yaani tyr ameshazoeana na watu kibao mtaani na ana marafiki kibao,kiufupi anapenda sifa+ kufahamika kimbembe Kuna siku nimerudi nimelewa akawa anaropoka kwa sauti ya juu nikampiga haswa,kumekucha kaenda kwa m/kiti kua nilitaka kumuua kwa kipigo na maneno kibao kua siogopi Cha mwenyekiti Wala nani maana hakuna wakunifanya lolote na uzushi mwingi tu.mwnykt akatupatanisha tukarudi home.
Nilipomtaka afungashe virago amegoma kabisa kua nimemtumia nilivyotaka Sasa namfukuza kwahyo haendi popote.
Hapa najipanga kumuachia Kila kitu nitafute mtaa mwingne niendeleee na maisha maana siwezi kuishi nae ni kiburi,hasikii maelekezo yangu , tukigombana kdg anaeleza majirani,ni mtu wa tamaa
Pole mkuu..
 
Hili ndilo jambo linalonisumbua kwa Sasa,nilipohamia mkoa huu kuanza kazi ndipo nilipokutana na huyu mwanamke.tulidumu ktk mahusiano kama mwaka na nusu Kila Mmoja akaanzisha maisha yake mengine. Baada ya mwaka Mmoja kupita akaanza kunitafuta kwenye simu mara kwa mara,aliomba tuktane Kuna jambo tuongee nikakubali....

Tulipokutana akaniambia kwa Sasa Hana kazi na Hana makazi hivyo anaomba hifadhi kwa muda wkt anajitafuta maana alipokua anaishi vtu vyake vimefungiwa kwa kutolipa Kodi kwa muda mrefu,kwakua nilipangisha nyumba nzima nikaona sio mbaya pia nitakua napata utelezi kwa karibu kuliko navyoenda kununua dada poa..(hapo ndipo nilipojiroga)

Nilimpa masharti yangu kuwa;

1.hapa mtaa ninapoishi hakuna anaejua nafanya kazi gani na wapi hivyo sitarajii ujio wako watu wakanifahamu.
2.sina mazoea na watu hapa mtaani kwahyo sitarajii kukuta mtu/majirani unapiga nao soga hapa kwangu.ila ukitaka kupiga stori nenda kwa mwanamke mwenzako ambaye mume wake Niko nae kazini.
3.salamu na mambo ya kijamii hapa mtaani nenda ila usijichanganye nao kupitiliza,shughuli ikiisha Rudi nyumbani.
Mambo yakaenda tofauti kbs yaani tyr ameshazoeana na watu kibao mtaani na ana marafiki kibao,kiufupi anapenda sifa+ kufahamika kimbembe Kuna siku nimerudi nimelewa akawa anaropoka kwa sauti ya juu nikampiga haswa,kumekucha kaenda kwa m/kiti kua nilitaka kumuua kwa kipigo na maneno kibao kua siogopi Cha mwenyekiti Wala nani maana hakuna wakunifanya lolote na uzushi mwingi tu.mwnykt akatupatanisha tukarudi home.
Nilipomtaka afungashe virago amegoma kabisa kua nimemtumia nilivyotaka Sasa namfukuza kwahyo haendi popote.
Hapa najipanga kumuachia Kila kitu nitafute mtaa mwingne niendeleee na maisha maana siwezi kuishi nae ni kiburi,hasikii maelekezo yangu , tukigombana kdg anaeleza majirani,ni mtu wa tamaa
Anza kuhama taratibu atakuua huyo
 
Umefanya papara kumfukuza,hizo ndio tabia zao,sasa wewe hukufanya research kuwajua kwa undani,ukakurupukia kumuweka ndani,sisi mbona tunaishi nao tena kwa raha na amani,ukishamjua hakupi shida,ulitakiwa kutumia akili sio hisia...
Sijamfukuza mkuu. Nilimwambia Rudi nyumbani ukapumzike akagoma, kakubali atajirekebisha ngoja tuone
 
Ukisikia mitihani ya ndoa ndio hiyo sasa kikubwa,ni kupambana kumbadilisha huyo Mwanamke afuate itikadi zako ili muendelee kuishi,we fikiria kama mshua wako angemuacha maza wako mapema hivyo pengine usingezaliwa, Hizo tabia tumekumbana Nazi na tumepambana nazo ili kufika,ndoa ni ngumu sana usipokuwa na subra hawezi kuishi na Mwanamke,inaweza ukamuona Mwanamke ana akili ukiwa hauishi naye ila muweke ndani ndio utajionea sasa,Mimi mwenyewe ishanitokea nilikuwa nakaa sehemu sina mazoea na mtu kifupi kama wewe yaani unaishi kimkakati watu hawana taarifa zako kiundani lakini alikuja bibie akaanza mazoea na wale watu stori,mara kupeana chakula,mambo mengi mazoea....unampa maelekezo lakini wapi!

Mwisho tukahama yale maeneo.
Kuna watu unawapata kuwa wenza wako hamfanani tabia na mienendo inakuwa ndio Mungu aliyekuchagulia kwa hekma zake unakuwa huna namna zaidi ya kupambana kuzipunguza zile tabia alizotoka nazo kwao....Nashkuru Mungu tunaishi vizuri anelewa nisichokitaka na ninayoyakaaaa ana yaacha,Katika dini tunaambiwa tuwasamehe mara 70 kwa siku kwa sababu wao ni viumbe dhaifu....
Solution sio kumfukuza mkuu,bali kumbadilisha muimbe wimbo mmoja mzeeke pamoja.

Kibaya zaidi ni usaliti katika ndoa.
Hii yenyewe haina msamaha ndugu yangu.
Asante sana, nachukua ushauri wako. Nimeshamwambia amekubali kubadilika, Lakini kingine NILICHOJIFUNZA katika Maisha uwezi kupata vyote unavyohitaji, nitamvumilia tu.
 
Nikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. Pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatibu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
Uneoa mgogo au watu watu wa Mlali huko kongwa nini?. Kama ni hivyo imekula kwako wanaliwa kizembe, wakabira,wachoyo,wabinafsi,yaani ni toxic vumilia au kimbia.
 
" Kwa sehemu mbalimbali nilipopita kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikuwa rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu. "


Hapa ndipo shida ilipoanzia mkuu. Kuna maswali mengi ya kujiuliza ila niseme tu mbaya wa yote ni wewe mwenyewe. Mwanamke ulimgundua mapema kuwa hiyo ndiyo nature yake bila kujipanga namna ya kukabiliana na hali hiyo kwanini unamlaumu mkuu?
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikuwa ya furaha isiyo na kifani, sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikuwa inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikuwa mazuri though nilikuwa na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.

Ni mwezi mmoja tu lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji, kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo, kichwa changu kinawaka moto vibaya mno. Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa mimi ndio nitimke kimya kimya, nimuachie vitu nisepe.

Ninapokaa hapa nina miaka 5 sina mazoea na watu kabisa, sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea. Alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali, majirani woote wanamfahamu.

Ndani ya Mwezi mmoja tu majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia zaidi ya mara 1000 never trust anybody. Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini haelewi.

Kwa sehemu mbalimbali nilipopita kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikuwa rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.

Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakuwa mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.

Suala jingine namuona kabisa ana chembe chembe za ubinafsi na uchoyo, niliwaza nifungue biashara yeye awe msimamizi lakini nimerudi nyuma na kuhairisha kabisa, unajua uaminifu wa vitu vikubwa huanza na vitu vidogo, kuna siku tulikuwa tunataniana nae akasema "ndio maana chakula kikitetengwa unakaaga mpaka Mwisho" ilo jambo lilinifikirisha sana.

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
Hujapata perfect kombo....

Wew umeokota janamke ukalisogeza ndani unategemea nini?


Alisikika Raia mwema mmoja akitamka mahakamani kisutu........................
 
Nikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. Pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatibu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
Ukioa jitayarishe kwa mabadiliko mengi tuu, kila mtu anakuja na tabia yake na mazoea, kama ulivyosema hupendi mazoea na watu na yeye kwake hiyo sio issue, inaonekana kitu kidogo lakini kinaweza kuvunja ndoa, kuna issue kama hizo mamilioni kwenye ndoa na kila mtu anakuja na zigo lake, ukimwacha huyo nina uhakika mwingine atakuwa na issue nyingine ambayo inakera pia, choice yako ni kurekebisha au kuvumilia na kuishi maisha yako kwa amani na mkeo,matatizo mengi sio matatizo ni jinsi unavyoyaona wewe au ulivyozoea, ndoa ni kuvumiliana na inahitaji busara sana, kuna jamaa yangu alizoea kula mara moja kwa siku ,alivyooa mama anapika mara tatu full menu, kwa jamaa ilikuwa issue kubwa na kuona ni waste of food na mama anapoteza muda mwingi jikoni badala ya kufanya vitu vya maana, jambo jema kwa upande wa mke lilileta feelings za thankless job na madharau makubwa, kwa wengine hii isingekuwa issue ya kuleta stress kwenye ndoa na ingekuwa neema tupu
 
Back
Top Bottom