Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Kijana Acha papara, kaa kwa kutulia, mtimue tuu kama amekucheat, hivyo vitu vingine vya kawaida Kwa wanawake, halafu usiwachukulie serious sana hawa viumbe hawana reasoning capacity kama ya mwanaume. Yaani ukimchukulia mwanamke kama unavyojichukulia wewe basi dk sifur utampiga rungu la kichwa...

Wewe umeongea kitu cha Maana.
Unajua hizi kauli zinazosema Mwanamke anaakili kuliko mwanaume ndio zinawaponza Wanawake. Kwa maana hizo Akili zinazosemwa vijana wanzitafuta Kwa Wake zao pindi wakioa alafu hawazipati.

Ukishamchukulia Mwanamke anaakili ninakuhakikishia hautakaa naye, kwani mambo Yao mengi ni kinyume cha Akili
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikuwa ya furaha isiyo na kifani, sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikuwa inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikuwa mazuri though nilikuwa na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.

Ni mwezi mmoja tu lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji, kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo, kichwa changu kinawaka moto vibaya mno. Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa mimi ndio nitimke kimya kimya, nimuachie vitu nisepe.

Ninapokaa hapa nina miaka 5 sina mazoea na watu kabisa, sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea. Alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali, majirani woote wanamfahamu.

Ndani ya Mwezi mmoja tu majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia zaidi ya mara 1000 never trust anybody. Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini haelewi.

Kwa sehemu mbalimbali nilipopita kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikuwa rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.

Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakuwa mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.

Suala jingine namuona kabisa ana chembe chembe za ubinafsi na uchoyo, niliwaza nifungue biashara yeye awe msimamizi lakini nimerudi nyuma na kuhairisha kabisa, unajua uaminifu wa vitu vikubwa huanza na vitu vidogo, kuna siku tulikuwa tunataniana nae akasema "ndio maana chakula kikitetengwa unakaaga mpaka Mwisho" ilo jambo lilinifikirisha sana.

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
Usiseme zaidi mkuu
KIMBIA
 
Ninavyokwambia, Nina mwaka wa 5 Sina namba za mwenye nyumba ndio nyumba yangu ya kwanza tokea nilipoajiriwa Huku Lakini yeye mwezi tu ana namba za watu wote hapa na watoto wa mwenye nyumba, yani ni shughuli ni nzito kichwani Mwangu.
Daah Mkuu unasubiri mpaka ukutane na kidali kimejikunja ghetto [emoji51]

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikuwa ya furaha isiyo na kifani, sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikuwa inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikuwa mazuri though nilikuwa na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.

Ni mwezi mmoja tu lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji, kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo, kichwa changu kinawaka moto vibaya mno. Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa mimi ndio nitimke kimya kimya, nimuachie vitu nisepe.

Ninapokaa hapa nina miaka 5 sina mazoea na watu kabisa, sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea. Alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali, majirani woote wanamfahamu.

Ndani ya Mwezi mmoja tu majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia zaidi ya mara 1000 never trust anybody. Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini haelewi.

Kwa sehemu mbalimbali nilipopita kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikuwa rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.

Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakuwa mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.

Suala jingine namuona kabisa ana chembe chembe za ubinafsi na uchoyo, niliwaza nifungue biashara yeye awe msimamizi lakini nimerudi nyuma na kuhairisha kabisa, unajua uaminifu wa vitu vikubwa huanza na vitu vidogo, kuna siku tulikuwa tunataniana nae akasema "ndio maana chakula kikitetengwa unakaaga mpaka Mwisho" ilo jambo lilinifikirisha sana.

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
Umefanya papara kumfukuza,hizo ndio tabia zao,sasa wewe hukufanya research kuwajua kwa undani,ukakurupukia kumuweka ndani,sisi mbona tunaishi nao tena kwa raha na amani,ukishamjua hakupi shida,ulitakiwa kutumia akili sio hisia...
 
Ukisikia mitihani ya ndoa ndio hiyo sasa kikubwa,ni kupambana kumbadilisha huyo Mwanamke afuate itikadi zako ili muendelee kuishi,we fikiria kama mshua wako angemuacha maza wako mapema hivyo pengine usingezaliwa, Hizo tabia tumekumbana Nazi na tumepambana nazo ili kufika,ndoa ni ngumu sana usipokuwa na subra hawezi kuishi na Mwanamke,inaweza ukamuona Mwanamke ana akili ukiwa hauishi naye ila muweke ndani ndio utajionea sasa,Mimi mwenyewe ishanitokea nilikuwa nakaa sehemu sina mazoea na mtu kifupi kama wewe yaani unaishi kimkakati watu hawana taarifa zako kiundani lakini alikuja bibie akaanza mazoea na wale watu stori,mara kupeana chakula,mambo mengi mazoea....unampa maelekezo lakini wapi!

Mwisho tukahama yale maeneo.
Kuna watu unawapata kuwa wenza wako hamfanani tabia na mienendo inakuwa ndio Mungu aliyekuchagulia kwa hekma zake unakuwa huna namna zaidi ya kupambana kuzipunguza zile tabia alizotoka nazo kwao....Nashkuru Mungu tunaishi vizuri anelewa nisichokitaka na ninayoyakaaaa ana yaacha,Katika dini tunaambiwa tuwasamehe mara 70 kwa siku kwa sababu wao ni viumbe dhaifu....
Solution sio kumfukuza mkuu,bali kumbadilisha muimbe wimbo mmoja mzeeke pamoja.

Kibaya zaidi ni usaliti katika ndoa.
Hii yenyewe haina msamaha ndugu yangu.
 
Umefanya papara kumfukuza,hizo ndio tabia zao,sasa wewe hukufanya research kuwajua kwa undani,ukakurupukia kumuweka ndani,sisi mbona tunaishi nao tena kwa raha na amani,ukishamjua hakupi shida,ulitakiwa kutumia akili sio hisia...
Anafikiri kuishi na Mwanamke ni Wali Maharage mkuu,unaambiwa ukitaka kujipima kama una akili uoa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nisamehe ndugu yangu nimecheka, ila hapo pa majani ya yutiai pamenifurahisha sana..!!

Me huwa napenda nakaa mahala kama jini, hakuna anayejua kukuhusu, jina lako analifahamu mwenye nyumba tu kuliona kwenye mkataba,

Ni salamu, kila mtu ale kona, ukifika kazini ni story za kuhusu kazi hakuna ushosti hata wa kujua naishi wapi, nadhani hakuna maisha mazuri kama yenye privacy, sijui kwanini watanzania wengi hatuwezi hili..!!

Tushaonekana tunaringa mpaka basii, kumbe ni standards tu mtu umejiwekea..!!
Itakuwa tuna'share group moja la Watsap Mdogo wangu...

Binafsi sipendi na sitakagi watu wanijuejue sana..
 
Back
Top Bottom