Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Kwa miaka yote hiyo mkiwa hamuishi pamoja hukujua hizo tabia mkuu??

Hata kama alikua anafeke ila watu wenye mdomo chiriku huwa hawajifichi, utamjua kwa maneno mengi hata afiche vipi.

Mwanamke wa kizazi hiki hamnaga anaetii do and dont. Ni ubahatike tu kupata mnaeendana.
 
Ndio ninachokiona, wanaume hawaitaji kumtongoza mwanamke Ili amtumie, kwa mwanamke mwenye akili itachukua muda kidogo au kufail kabisa, Lakini ukishaona Mwanamke talkative Hapo kuliwa ni rahisi tu.
Kama kumsukuma mlevi vile, maana inawawiaga ugumu mabaria kwa manzi asiejibu mapigo. Ila ile unamuuliza A anajibu BCD, aah huyochap tu analiwa
 
Hata mimi sipendi sehemu nimekaa nimeji brand kwa namna ninayotaka mimi nionekane halafu aje mtu aharibu.

Kuna sehemu nilikuwa naishi (nilihama baada ya hili tukio). Nikawa nina uhitaji wa msichana wa kazi ila akawa hajapatikana. Basi kuna cousin wangu akaja kunisaidia kidogo before aende chuo.

Aisee ndani ya siku kadhaa ameshaanika kila kitu kuhusu mimi nakwambia. Anafunguka hadi ambavyo hatakiwi kufunguka.

Na watu wanavyopenda umbea na kujua ya watu basi walimpenda kinoma yaani.

Yaani mimi naishi zangu mjini nime jibraaaaand hata kama nilikuwa nafake ila ilinipa heshima halafu kaja mtu siku mbili anafunguka kila kitu.

Nilimaimd sana alivyoondoka nikahama.

Mkuu mimi nipo upande wako kama hajirekebishi timua. Mtu wa kujitangaza tangaza kwa watu wasiomsaidia chochote hana maana.
Dah Hannah umenichekesha sana ila pole sana .
 
Nikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. Pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatibu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
Lakini sasa ndugu hukujua haya toka kitambo??? Maana umesema ni mtu wako wa muda mrefu?! Harafu hili nikujulishe tu hua ni tabia ndo alivyo kumbadilisha sio jambo dogo ati kuna watu wanapenda kujiweka wazi mpaka kero.
 
Mkuu shida ipo kwako, hupend mkeo awe anaongea na jiran zake bas ungepanga sehem yenye kumzuia kukutana na watu,

haiwezekan atoke nje kufua ama kuosha vyombo wenzie wamsemeshe akae kimya ,wanazam za usaf lazima washrikiane,yan ukarib lazima,...una gubu punguza.

Nilipanga sehem nikawa mim na ndan hee nilipozoea mazingira,nikapata maneno njee kumbe unaongeaga mana walishaanza kusema mpangaj mpya anaringaa huyo anajisikia
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikuwa ya furaha isiyo na kifani, sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikuwa inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikuwa mazuri though nilikuwa na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.

Ni mwezi mmoja tu lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji, kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo, kichwa changu kinawaka moto vibaya mno. Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa mimi ndio nitimke kimya kimya, nimuachie vitu nisepe.

Ninapokaa hapa nina miaka 5 sina mazoea na watu kabisa, sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea. Alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali, majirani woote wanamfahamu.

Ndani ya Mwezi mmoja tu majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia zaidi ya mara 1000 never trust anybody. Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini haelewi.

Kwa sehemu mbalimbali nilipopita kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikuwa rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.

Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakuwa mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.

Suala jingine namuona kabisa ana chembe chembe za ubinafsi na uchoyo, niliwaza nifungue biashara yeye awe msimamizi lakini nimerudi nyuma na kuhairisha kabisa, unajua uaminifu wa vitu vikubwa huanza na vitu vidogo, kuna siku tulikuwa tunataniana nae akasema "ndio maana chakula kikitetengwa unakaaga mpaka Mwisho" ilo jambo lilinifikirisha sana.

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikuwa ya furaha isiyo na kifani, sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikuwa inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikuwa mazuri though nilikuwa na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.

Ni mwezi mmoja tu lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji, kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo, kichwa changu kinawaka moto vibaya mno. Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa mimi ndio nitimke kimya kimya, nimuachie vitu nisepe.

Ninapokaa hapa nina miaka 5 sina mazoea na watu kabisa, sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea. Alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali, majirani woote wanamfahamu.

Ndani ya Mwezi mmoja tu majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia zaidi ya mara 1000 never trust anybody. Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini haelewi.

Kwa sehemu mbalimbali nilipopita kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikuwa rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.

Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakuwa mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.

Suala jingine namuona kabisa ana chembe chembe za ubinafsi na uchoyo, niliwaza nifungue biashara yeye awe msimamizi lakini nimerudi nyuma na kuhairisha kabisa, unajua uaminifu wa vitu vikubwa huanza na vitu vidogo, kuna siku tulikuwa tunataniana nae akasema "ndio maana chakula kikitetengwa unakaaga mpaka Mwisho" ilo jambo lilinifikirisha sana.

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
Hapo tulitakiwa pia tusikilize upande wa mwanamke.
 
Nikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. Pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatibu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
Hayo mambo si kilema. Ukidhamiria hakika waweza badilika. Mtu anajifunza kingereza ili asafiri na anaelewa anafaulu sembus kuacha kubwabwaja kama mlevi wa gongo??? Nasema kaeni tayari kwa lolote.

Kipenga kikilia mbwa watapanda daraja. [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom