Mpwa ya kweli haya?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mi niliamka kwenda kwenye mazoezi asubuhi kurudi nikakuta mtu keshamaliza kupaki na mabegi tayari tayari. Nauliza kulikoni mwenzangu mbona ghafla au kuna msiba home? Kimyaaa!
Wala sikuuliza ila niliita bajaji chap ili imuwahishe Mbezi kwa Magufuli. Wiki ya tatu sasa hata sijui kama alifika salama ama la! [emoji706][emoji706][emoji706]
Punguza stress zitakuua.Hivi haya maandishi ndio kusema unajifunza full secretarial au ni nini?
Huu nao ni ujinga.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mi niliamka kwenda kwenye mazoezi asubuhi kurudi nikakuta mtu keshamaliza kupaki na mabegi tayari tayari. Nauliza kulikoni mwenzangu mbona ghafla au kuna msiba home? Kimyaaa!
Wala sikuuliza ila niliita bajaji chap ili imuwahishe Mbezi kwa Magufuli. Wiki ya tatu sasa hata sijui kama alifika salama ama la! [emoji706][emoji706][emoji706]
π―π€kutokuoa ni Bora kuliko kuoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi mwenyewe soon namfukuza mtu...
Hiyo user name yako tu...unaonekana ni mtu wa hovyo.....
Ni kweli usemacho Dokta, mwenyewe nimeshuhudia kuna ndugu mmoja alifanya kama mtoa mada alivyofanya kutaka kumwacha binti wa watu baada ya kumla mzigo.Jamaa ameshakula sasa amemkinai mapema hapa anatafuta tu sababu ya kuingia mitini.
Ila nawatahadharisha tu mtindo wa kuchezea mabinti za watu na kuwakimbia mkumbuke kuna kurogwa, ni vitu nimeshuhudia kwa macho yangu sikuhadithiwa.
Kilichobaki naona Mungu aingilie kati na kufanya maombi sana au kumpuuza tu hata hivyo ushauri wa Stroke JaidenG na Tabutupu nimeuchukua.Ni chance ndogo sana kukutana na mtuwenye ustaarabu na maisha unayoyapenda wewe mara nyingi unakutana na mtu ambae hamuendani....nafikiri Mungu ana balance tu equilibrium.
Japo Mimi nachoona ukimpenda mtu utamvumilia usipompenda hata AKIPUMUA utaona kero
Mimi mmoja nlimleta kabla ya utambulisho kaanza kutoa ushuhuda namna alivyo nitoa kwenye wimbi la vijana wa hovyo. Sasa nmepiga chini nashangaa vilio vyingi tena
ti mapemaNikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatobu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
Nikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatobu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
Mkuu, miaka ya nyuma mzee mwenye nyumba alikuja kuangalia Mpira usiku saa 1:30 Mimi Nina Dstv yeye yuko na Azam kosa alilofanya alikuja na kijana mwingine wa mtaani Hapo (Mimi simjui) nikamtimua mzee nikamwambia usiku Huu nahitaji kupumzika alafu siwezi ruhusu wageni kwangu usiku nisiowajua, hakuamini ndivyo ilivyo maana hata muda wakiwa wananisema sipo, Sina namba ya mzee mwenye nyumba Wala mtu yoyote , mtu ndani ya Mwezi ana namba za Mama mwenye nyumba, watoto wake Majirani hapa nawaza sijui nifanyaje.
NAKAZIAKataa ndoa
Ndoa ni msongamano
Tunza kibunda chako!!
πππππNikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatobu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
Aisee!!Sanaa aisee hapo kwenye kurogwa dah Kuna jamaa alimpa mimba Binti alafu akaikataa jamaa kwao Tanga na Binti ni WA Tanga....alidisco engineering....ni smart kichwani ila majanga aliyonayo...analewa mpaka analala sokoni....wazazi WA yule Binti ni majirani wao kule Tanga...wanazungumza tu aje afate mwanae....lasivyo Bado sana hapo...
Kwa kifupi sio Kila mtu atachukulia poa habari za kuliwa na kuachwa..
Ila wengine fresh tu..
Sema jamaa kwenye stor yake hajakutana na mtu WA kuendana nae kwenye maisha....na mara nyingi unakutana na mtu yupo tofauuuti na wewe na yeye anaona sawa tu...Sasa pale ndo unaona akili inavurugika....
Kuna reality flani niliangalia jamaa katoka familia Bora kazoea yeye akitoka mihangaikoni Kuna wasichana WA kazi anavua nguo anaacha hovyo hivyo ...Sasa kaenda Kwa msichana wake kumtembelea akakaa siku kazaaa aiseeee....yule dada japo alikua ni single Maza ila alimshindwa jamaa jamaa ni anatupa tupa miboxer hivyo....
Tatizo ulishamla sana. Pia ulishazoea ukitaka unagonga kwahiyo hakukuwa na haja ya kuoa. Pia wewe una chembechembe za ubinafsi, upumbavu na roho mbaya. Kwa maelezo yako sijaona tatizo la huyo mwanamke.Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha
Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.