Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Mpwa ya kweli haya?
 

Mmmhhh
 
Jamaa ameshakula sasa amemkinai mapema hapa anatafuta tu sababu ya kuingia mitini.

Ila nawatahadharisha tu mtindo wa kuchezea mabinti za watu na kuwakimbia mkumbuke kuna kurogwa, ni vitu nimeshuhudia kwa macho yangu sikuhadithiwa.
Ni kweli usemacho Dokta, mwenyewe nimeshuhudia kuna ndugu mmoja alifanya kama mtoa mada alivyofanya kutaka kumwacha binti wa watu baada ya kumla mzigo.

Huwezi amini, jamaa amepoteza kazi na amekuwa chizi ghafla.

Hadi tulitamani Wazee tukamwombee msamaha kwa ndugu wa Mwanamke lakini ikawa tumeshachelewa.
 
Kilichobaki naona Mungu aingilie kati na kufanya maombi sana au kumpuuza tu hata hivyo ushauri wa Stroke JaidenG na Tabutupu nimeuchukua.
 
Ataliwa soon na mabaharia mdhibi
ti mapema
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Huyo mpe onyo la mwisho. Akiahidi kubadilika hameni hapo mkaanze upya sehemu nyingine.

Halafu mwambie kama ni lazima aongee mambo yake kwa watu atlist aongee mambo yatakayofanya aonekane classic. Ajidai hata hajui miti shamba ya kutibu UTI.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Aisee!!
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
Tatizo ulishamla sana. Pia ulishazoea ukitaka unagonga kwahiyo hakukuwa na haja ya kuoa. Pia wewe una chembechembe za ubinafsi, upumbavu na roho mbaya. Kwa maelezo yako sijaona tatizo la huyo mwanamke.

Acha kulazimisha kuishi na huyo binti kama vile ni mateka wako. Huyo ni mtu mzima na ana maamuzi yake na jinsi alivyozoea kuishi na haitawezekana yeye afuate sheria zako zote. Kama hujamwoa kisheria achana naye utasababisha matatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…