Wewe ukimuona JK hakufaa kuwa kiongozi bora wapo Watanzania mamilioni wanamuona ndiye Rais bora kuwahi kutokea nchi hii.Acha asemwe tu, hata akiamua kujinyonga ni sawa tu. Rais wa ovyo kuwahi kutokea nchini.
Huyu kamtetea JK kawa Chawa, jee angemsifia Lowasa angeitwa mdudu gani?Chawa
Walikubaliana hivyo toka kwenye kampeni za kikwete na Edo akajipanga kupokea kijiti kumbe mwenzake ni kikulacho.....Kwahiyo alimroga?
Au kuukosa Urais ndio kulimpa maradhi?, kwahiyo ilikuwa lazima awe Rais?
Maradhi kama yalisababishwa na kuukosa Urais duh hii itakuwa kali ya mwaka.
Kama alipigwa kitu, basi jua ilikuwa akuanzaye mmalizaye maana hiyo ndio style ya Mkwere yule.
Endelea kuamini hadithi za vijiweni na kuja kuharisha hapa kama ulivyozipokea.Wewe mtetee tu, lakini kaa ukijua msingi wa matatizo ya afya ya Lowassa unaelezwa kuchangiwa na fitna za mzee wa Msoga.
Yule ni kigagula wa kikwere.
Sio unafiki, kila mtu ana mazuri na mabaya take, ukiwa Hai unapewa za usoni kuhusu ubaya wako WOTE, siku ukifa uzuri uliozikwa miaka Kenda unafukuliwa. MZANZIBARI NAWE WACHA UNAFIKI JITINGE KWENYE UKWELITulitaka JK ama aombe radhi kwa ubaya wote aliomtendea marehemu au akae kimya, kuliko kujivika unafiki wa kishirikina kutoka huko msoga ndani ndani.
Walikutana kikazi? Sijasikia kitu kama hicho.Kama walikutana kikazi ndiyo inahalalisha kwamba wana ahadi ya kupeana urais?
Walikubaliana hivyo toka kwenye kampeni za kikwete na Edo akajipanga kupokea kijiti kumbe mwenzake ni kikulacho.....
Kwa kweli kwenye hili unamuonea JK, hata mimi sikwenda kumuona Edo hospitali.Hakwenda kumjulia hali edo hospitali
Ulikuwa na mgonjwa hospital muda wote?Hakwenda kumjulia hali edo hospitali
Amuombe radhi kwa lipi! Urais siyo uji useme kila mtu anaweza kuonja.Tulitaka JK ama aombe radhi kwa ubaya wote aliomtendea marehemu au akae kimya, kuliko kujivika unafiki wa kishirikina kutoka huko msoga ndani ndani.
Hili nalo neno (mfumo ulichangi Pakubwa lkn hilo halisemwi)Umewaza kama nlivokua nawaza uraisi mfumo na mfumo ndo ulimkata lowasa first....Lowasa ni kkkt na mfumo unamtaka Rc mpk hapo JK angefanya nn kwa mfano na je jk pekee ndo alikua na maamuz dhid ya kina mzeee mkapa??