Hizi ndizo fikra zako kabisa! Ni ngumu mtu kufikiria kitu kwa mwenzake ambacho si halisi kama na yeye hafikirii hicho kitu ktk akili yake. Kwa sababu unaweza kuthibitisha kama wanawaza hivi? #Heshimu viongozi wa nchi na tumia kwa busara uhuru wa maoni.πππWakati mwingine nafikiri marais style za Kikwete na mama Samia huwa wanatamani Tanzania liwe jimbo la Marekani na wao kujiona kama magavana wa jimbo la Tanzania. Ogopa sana kuongozwa na mtu mwenye akili ndogo.
Yule sindio Mentor wake, uswahili uswahili tu wa kusafiri hovyo!hizi safari ni yale yale ya awamuuu ileeeeee ya yule bwanaaaa
kwenda kubembea ughaibuni sio??? hahahahha yule bwana alikua kiboko!uswahiliswahili tu kama unavyosemaYule sindio Mentor wake, uswahili uswahili tu wa kusafiri hovyo!
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Wahuni wanataka poshoKwa upande wangu naona jimbo moja tu lingetosha kuzindulia hiyo Filamu, hayo ya kutembea na kuzindua filamu hiyo hiyo katika majimbo mawili tofouti, ulikuwa mkakati wa wahuni ili waendelee kufuja fedha za umma.
Pia ukiangalia dhumuni la safari ya mama ilikuwa kuzindua filamu tu ila katikati hapo wahuni hao hao wamechomeka ratiba zao kumtembeza katika maeneo mbalimbali ya marekani kumkutanisha na celebrities kwa ajili ya kupiga nae picha.
Kwa ufupi safari hii haikupaswa kuchukua wiki mbili siku tano ilitosha kabisa na kuweza kurudi nyumbani.
Tumetumiwa mapicha eti Raisi Samia kakutana na baba mzazi wa Rihanna. Najiuluza mimi Mtanzania wa hapa igegu nafaidika nini wao kukutana?kazi tunayo aiseeKwa upande wangu naona jimbo moja tu lingetosha kuzindulia hiyo Filamu, hayo ya kutembea na kuzindua filamu hiyo hiyo katika majimbo mawili tofouti, ulikuwa mkakati wa wahuni ili waendelee kufuja fedha za umma.
Pia ukiangalia dhumuni la safari ya mama ilikuwa kuzindua filamu tu ila katikati hapo wahuni hao hao wamechomeka ratiba zao kumtembeza katika maeneo mbalimbali ya marekani kumkutanisha na celebrities kwa ajili ya kupiga nae picha.
Kwa ufupi safari hii haikupaswa kuchukua wiki mbili siku tano ilitosha kabisa na kuweza kurudi nyumbani.
Halafu kutuga koote huko joe Biden hajakutana nae, amekutana na Kamala Haris kwa bahati Mbaya Tu.It's very disturbing, hivi unaondokaje nchi yako ukitembelea nchi nyingine for days? I'll iweje...safari ya kikazi, hata kama ni hiyo tour, not more than 2days umerudi kwenye majukumu yako.
The real image of a normal Tanzanian inaonekana dhahiri hapa, tunapenda "kupumzika na kutembelea"!
Shame!
Hadi sasa haijafahimika Mama samiah ameenda kule kama Rais, Mlimbwende ama mhamasishaji wa utaliiβ¦Tumetumiwa mapicha eti Raisi Samia kakutana na baba mzazi wa Rihanna. Najiuluza mimi Mtanzania wa hapa igegu nafaidika nini wao kukutana?kazi tunayo aisee
Hakuna mtu asiyelipa kodi Tanzania hata maziwa ya mtoto tunayalipia kodi.Kwani akisafiri kwenda huko wewe kinakuuma nini? Ukute hata kodi hulipi kazi kulalama tu.
Wapiga kura wakeMbeya kuna nn huko??
Tulia wewe
Lakini si mlikubaliana kuwa huyu ndiye yule tuliyemtegemea na anaupiga mwingi, haya mengine si tulisema ya yule aliyeondoka?.Tangu amekuwa Rais ameshaenda Marekani mara 3 lakini hajawahi kufika Mbeya tu hapo 800KM kutoka Dar
Kumuheshimu mpumbavu ni kutafura laanaHizi ndizo fikra zako kabisa! Ni ngumu mtu kufikiria kitu kwa mwenzake ambacho si halisi kama na yeye hafikirii hicho kitu ktk akili yake. Kwa sababu unaweza kuthibitisha kama wanawaza hivi? #Heshimu viongozi wa nchi na tumia kwa busara uhuru wa maoni.πππ
Huyo muuaji atukanwe tu. Tena mimi naona hata haijatoshaNi aibu, mtu mwenye mawazo ya kiutu uzima kama haya unakuta anamtukana JPM
How on earth Rais wa nchi huru kama Tanzania (watu milioni 60 na ushee!) anasafiri kwenda Marekani anakaa huko zaidi ya wiki? I mean rais wa nchi anakaa zaidi ya wiki katika nchi moja? Can you imgine Xi Jinping akae Marekani zaidi ya hata ya siku mbili?Hizi ndizo fikra zako kabisa! Ni ngumu mtu kufikiria kitu kwa mwenzake ambacho si halisi kama na yeye hafikirii hicho kitu ktk akili yake. Kwa sababu unaweza kuthibitisha kama wanawaza hivi? #Heshimu viongozi wa nchi na tumia kwa busara uhuru wa maoni.πππ
Wewe toka umezaliwa umeenda mara ngapi mpwapwa? Usukuma gang unakusumbuaTangu amekuwa Rais ameshaenda Marekani mara 3 lakini hajawahi kufika Mbeya tu hapo 800KM kutoka Dar
Umeulizwa swali unajibu ujinga, sasa bush boy na Marekani wapi na wapi?Alienda Marekani mara ngapi?