IMF yaidhinisha ufadhili wa Dola Milioni 900 kwa Tanzania kwa ajili ya Bajeti na kukabiliana na Mabadiliko ya hali ya Hewa

IMF yaidhinisha ufadhili wa Dola Milioni 900 kwa Tanzania kwa ajili ya Bajeti na kukabiliana na Mabadiliko ya hali ya Hewa

Bodi ya Wakurugenzi ya IMF imeidhinisha Mkopo kiasi Cha $900 Milioni sawa na karibu Shilingi Trilioni 2.4 Kwa Tanzania Ili kuisaidia kukabiliana na athari za Mabadiliko ya Hali ya hewa kwenye uchumi.

Aidha ieleweke kwamba Serikali inakopo kile ambacho kimeidhinishwa kwenye Bajeti,haifangi kiholela.

Aidha ieleweke kwamba Nchi inakopeshwa Kwa sababu Ina uwezo wa kulipa kulingana na uimara wa Uchumi wake. Sio Kila Nchi inapewa Mkopo.

My Take: Katika kipindi hiki Nchi inatekeleza miradi mikubwa ya Maendeleo, Tuendelee kukopa kwani mikopo inaharakisha maendeleo hususani Miradi ya kimkakati

==============


Shirika la kimataifa la fedha (IMF) Alhamisi limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha ufadhili wa dola milioni 786.2 kwa Tanzania kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Shirika hilo la kifedha linakamilisha pia tathmini tofauti ya kuruhusu malipo ya dola milioni 149.4 kwa ajili ya msaada wa bajeti.

Mamlaka za Tanzania zina dhamira ya kuendelea kutekeleza mageuzi ya kudhibiti uthabiti wa kifedha, kuimarisha ufufuaji wa uchumi, kukuza ukuaji endelevu na shirikishi, IMF ilisema katika taarifa.

Katika miaka mitatu iliyopita, utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan ulifanya mageuzi mbalimbali ya kiuchumi kwa lengo la kurudisha ukuaji wa uchumi katika kiwango cha ukuaji wa pato la taifa la kabla ya janga la Covid wa asilimia 6 hadi asilimia 7.

Mpango wa mageuzi ya uchumi wa Tanzania bado umeendelea kuwa imara, IMF imesema, na kuongeza kuwa ukuaji wa uchumi uliongezeka mwaka 2023 baada ya kupungua mwaka 2022.

Uchumi wa Tanzania ambao unategemea utali, madini, kilimo na viwanda, umeendelea kustahimili mabadiliko ya hali ya hewa yanayochochewa na kuongezeka kwa sekta ya huduma, kulingana na Benki ya Dunia.

Uchumi wa Tanzania unakadiriwa kukua kwa asilimia 5.4 mwaka huu, kutoka asilimia 5.1, waziri wa mipango na uwekezaji katika Ofisi ya Rais, Kitila Mkumbo alisema wiki iliyopita.

DW Kiswahili

PIA, SOMA:
Upuuzi tu! Ndo serikali yako inajuaga ifike atua mikopo ijadiliwe BungeBungeni si kujiamlia kama nchi ni ya Babake.
 
Nchi gani imewahi pigwa Mnada kisa mikopo? Alikutajia?
Umejaribu ku gugu?

Pili, hata kama hakuna nchi imewahi kupigwa mnada bado haiondoi uwezekano wa kupigwa mnada huko mbeleni, so excuse kwamba kwa kua haijawahi kutokea basi haitatokea ni excuse ya kipumbavu.
 
Umejaribu ku gugu?

Pili, hata kama hakuna nchi imewahi kupigwa mnada bado haiondoi uwezekano wa kupigwa mnada huko mbeleni, so excuse kwamba kwa kua haijawahi kutokea basi haitatokea ni excuse ya kipumbavu.
Mbeleni wapi? Nchi gani iliwahi kupigwa Mnada mbeleni au nyuma?
 
Bodi ya Wakurugenzi ya IMF imeidhinisha Mkopo kiasi Cha $900 Milioni sawa na karibu Shilingi Trilioni 2.4 Kwa Tanzania Ili kuisaidia kukabiliana na athari za Mabadiliko ya Hali ya hewa kwenye uchumi.

Aidha ieleweke kwamba Serikali inakopo kile ambacho kimeidhinishwa kwenye Bajeti,haifangi kiholela.

Aidha ieleweke kwamba Nchi inakopeshwa Kwa sababu Ina uwezo wa kulipa kulingana na uimara wa Uchumi wake. Sio Kila Nchi inapewa Mkopo.

My Take: Katika kipindi hiki Nchi inatekeleza miradi mikubwa ya Maendeleo, Tuendelee kukopa kwani mikopo inaharakisha maendeleo hususani Miradi ya kimkakati

==============


Shirika la kimataifa la fedha (IMF) Alhamisi limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha ufadhili wa dola milioni 786.2 kwa Tanzania kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Shirika hilo la kifedha linakamilisha pia tathmini tofauti ya kuruhusu malipo ya dola milioni 149.4 kwa ajili ya msaada wa bajeti.

Mamlaka za Tanzania zina dhamira ya kuendelea kutekeleza mageuzi ya kudhibiti uthabiti wa kifedha, kuimarisha ufufuaji wa uchumi, kukuza ukuaji endelevu na shirikishi, IMF ilisema katika taarifa.

Katika miaka mitatu iliyopita, utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan ulifanya mageuzi mbalimbali ya kiuchumi kwa lengo la kurudisha ukuaji wa uchumi katika kiwango cha ukuaji wa pato la taifa la kabla ya janga la Covid wa asilimia 6 hadi asilimia 7.

Mpango wa mageuzi ya uchumi wa Tanzania bado umeendelea kuwa imara, IMF imesema, na kuongeza kuwa ukuaji wa uchumi uliongezeka mwaka 2023 baada ya kupungua mwaka 2022.

Uchumi wa Tanzania ambao unategemea utali, madini, kilimo na viwanda, umeendelea kustahimili mabadiliko ya hali ya hewa yanayochochewa na kuongezeka kwa sekta ya huduma, kulingana na Benki ya Dunia.

Uchumi wa Tanzania unakadiriwa kukua kwa asilimia 5.4 mwaka huu, kutoka asilimia 5.1, waziri wa mipango na uwekezaji katika Ofisi ya Rais, Kitila Mkumbo alisema wiki iliyopita.

DW Kiswahili

PIA, SOMA:
Asante sana IMF
 
Dahhhh....
Ipo siku wajukuu zetu watakuja kumjengea mnara wa kumkumbuka Job Ndugai....😞
 
Mbeleni wapi? Nchi gani iliwahi kupigwa Mnada mbeleni au nyuma?
Mkuu, sijui level yako ya uelewa iko chini kwa kiasi gani lakini ngoja tena nijaribu kukuelewesha. Nimesema kwa kua hakuna nchi iliyowahi kupigwa mnada huko nyuma kwa sababu ya madeni haina maana kwamba huko mbele(future) hakuna nchi itakayopigwa mnada.

Labda nielezee zaidi kwa kimombo. You cannot definitively rule out that something will never happen in the future just because it has never happened before. The fact that an event has not occurred up to this point does not logically preclude its occurrence in the future. This is the principle of absence of evidence is not evidence of absence.
 
Mkuu, sijui level yako ya uelewa iko chini kwa kiasi gani lakini ngoja tena nijaribu kukuelewesha. Nimesema kwa kua hakuna nchi iliyowahi kupigwa mnada huko nyuma kwa sababu ya madeni haina maana kwamba huko mbele(future) hakuna nchi itakayopigwa mnada.

Labda nielezee zaidi kwa kimombo. You cannot definitively rule out that something will never happen in the future just because it has never happened before. The fact that an event has not occurred up to this point does not logically preclude its occurrence in the future. This is the principle of absence of evidence is not evidence of absence.
Kimombo au kiswazi haviwezi jibu swali langu,Nchi gani imewahi pigwa Mnada? Nchi ni property au Huwa inawekwa dhamana? Punguza ujinga.

Mwisho kwani inatakiwa deni liwe kubwa kiasi gani ili Nchi ipigwenada?
 
Kujivunia ukopaji na misaada ni ujinga na umasikini, ni kujidharirisha na kukosa kujiamini

Tafuta chako, jibane ili uwe na cha kwako utaheshimika!

Mikopo inavua nguo chief

Hii haiwezi kuwa ndio sifa stahiki
 
Kimombo au kiswazi haviwezi jibu swali langu,Nchi gani imewahi pigwa Mnada? Nchi ni property au Huwa inawekwa dhamana? Punguza ujinga.

Mwisho kwani inatakiwa deni liwe kubwa kiasi gani ili Nchi ipigwenada?
Swali ulilouliza ni la kipumbavu, halina maana ndio maana najaribu kukuelewesha kupanua ubungo wako angalau uwe unauliza maswali yenye maana lakini vile wewe ni chawa akili huna.

Usivyo na akili hujui kwamba wakikopa wanaweka rasilimali za nchi kama dhamana na nchi inaundwa na rasilimali zilizopo kuanzia ardhi, maziwa, habari nk.
 
Mbona akijenga nyumba wanasema mh Rais ndo kafanya,,hivyo tukubali kwamba nd amdeni au madhambi ya upigaji ndo anahusika la sivyo basi madhambi ya mgufuri sijui kuua watu kwanini tunamsingizia kama issue ni taasisis
Yupo kwenye taasisi ya urais ameshasema yanayofanyika yote kwenye urais wake sio yeye ni taasisi ndio inaamua kwa hio msijemkaanza kumlaumu yeye ilaumuni taasisi sio yeye yeye hausiki
 
Swali ulilouliza ni la kipumbavu, halina maana ndio maana najaribu kukuelewesha kupanua ubungo wako angalau uwe unauliza maswali yenye maana lakini vile wewe ni chawa akili huna.

Usivyo na akili hujui kwamba wakikopa wanaweka rasilimali za nchi kama dhamana na nchi inaundwa na rasilimali zilizopo kuanzia ardhi, maziwa, habari nk.
Huna jibu wewe nyumbu unaleta habari za kufikirika 😂😂😂
 
Mbona akijenga nyumba wanasema mh Rais ndo kafanya,,hivyo tukubali kwamba nd amdeni au madhambi ya upigaji ndo anahusika la sivyo basi madhambi ya mgufuri sijui kuua watu kwanini tunamsingizia kama issue ni taasisis
Sawa tuu kwani Kuna shida gani?
 
Bodi ya Wakurugenzi ya IMF imeidhinisha Mkopo kiasi Cha $900 Milioni sawa na karibu Shilingi Trilioni 2.4 Kwa Tanzania Ili kuisaidia kukabiliana na athari za Mabadiliko ya Hali ya hewa kwenye uchumi.

Aidha ieleweke kwamba Serikali inakopo kile ambacho kimeidhinishwa kwenye Bajeti,haifangi kiholela.

Aidha ieleweke kwamba Nchi inakopeshwa Kwa sababu Ina uwezo wa kulipa kulingana na uimara wa Uchumi wake. Sio Kila Nchi inapewa Mkopo.

My Take: Katika kipindi hiki Nchi inatekeleza miradi mikubwa ya Maendeleo, Tuendelee kukopa kwani mikopo inaharakisha maendeleo hususani Miradi ya kimkakati

==============


Shirika la kimataifa la fedha (IMF) Alhamisi limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha ufadhili wa dola milioni 786.2 kwa Tanzania kuisaidia nchi hiyo kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Shirika hilo la kifedha linakamilisha pia tathmini tofauti ya kuruhusu malipo ya dola milioni 149.4 kwa ajili ya msaada wa bajeti.

Mamlaka za Tanzania zina dhamira ya kuendelea kutekeleza mageuzi ya kudhibiti uthabiti wa kifedha, kuimarisha ufufuaji wa uchumi, kukuza ukuaji endelevu na shirikishi, IMF ilisema katika taarifa.

Katika miaka mitatu iliyopita, utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan ulifanya mageuzi mbalimbali ya kiuchumi kwa lengo la kurudisha ukuaji wa uchumi katika kiwango cha ukuaji wa pato la taifa la kabla ya janga la Covid wa asilimia 6 hadi asilimia 7.

Mpango wa mageuzi ya uchumi wa Tanzania bado umeendelea kuwa imara, IMF imesema, na kuongeza kuwa ukuaji wa uchumi uliongezeka mwaka 2023 baada ya kupungua mwaka 2022.

Uchumi wa Tanzania ambao unategemea utali, madini, kilimo na viwanda, umeendelea kustahimili mabadiliko ya hali ya hewa yanayochochewa na kuongezeka kwa sekta ya huduma, kulingana na Benki ya Dunia.

Uchumi wa Tanzania unakadiriwa kukua kwa asilimia 5.4 mwaka huu, kutoka asilimia 5.1, waziri wa mipango na uwekezaji katika Ofisi ya Rais, Kitila Mkumbo alisema wiki iliyopita.

DW Kiswahili

PIA, SOMA:
Mwaga pesa mwaga pesa IMF ili kazi iendelee 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C8eRkK_KkLF/?igsh=amdqaHpnanBldTBz
 
Hata Sasa Nchi inalipa mikopo ya kina Nyerere,ndio utaratibu maana maisha ya kesho huandaliwa Sasa hivi
Acha uongo, mkopo wa Nyerere ulimlizwa na Mkapa na sehemu Fulani Kikwete. Nyerere aliacha Deni Trilioni 3.
 
Back
Top Bottom