Tufahamu tu hizo ni pesa za mkopo tena zina msururu wa masharti kutoka kwa wakopeshaji, hivyo tutapaswa kuzilipa kwa faida na kufuata masharti yao.
Swali linakuja.
1. Tutazilipaje?
2. Zina masharti gani?
Hayatakusaidia maishani mwako, we tafuta hela za wajukuu wako.
Usiipende sana nchi
 
Habari inasema mkopo ni sehemu ya:

Extended credit facility (clearly kuna cash flow issues) na wamekwambia balance of payments.

Nchi inatakiwa ku implement sera za IMF kupata huo mkopo (SAP) na kiasi kadhaa cha hiyo hela inatumika kulipa matured debt payments.

In short nchi imefilisika, halafu watu wanashangilia. Kibaya zaidi kuna wizara zina tumia hela ovyo raisi anawaangalia tu.

Ni hivi huyu bibi wa ki Zanzibar hajali kuhusu mustakabali wa Tanzania ya kesho, kila siku tunajichimbia shimo. Yeye ilimradi wahuni wamlindie uraisi wake na wao waharibu nchi wanavyoweza in return.
 
Kijana punguza majibu ya kejeli kwa wenzako. Nyakati hupita. Kama unalamba asali kwa sasa acha kuwaita wenzako ambao wamekosa fursa kua ni "watu wajinga wajinga wa miaka hii". Kumbuka nothing is permanent na hakuna shida isiyoisha. Leo unajiona mwamba kwa kuwadharau wengine, ipo siku utawalilia hao hao unaowadharau wakusaidie wewe au kizazi chako.

Hayo ni maoni yangu tu ukipenda yachukue ukiona hayafai achana nayo.
 
Kwani kabla ya hapo ushoga haukuwepo? Tanzania hakuna ushoga?
Tofautisha kati ya mtu kuamua kuwa shoga na Ushoga kukubalika rasmi kwenye nyaraka za serikali hivyo ndoa za jinsia moja kutambulika rasmi na kufungishwa na wasajili wa ndoa na kupewa vyeti vya ndoa hizo. Nadhani umenielewa!

Ushoga upo kwa kiasi fulani kila nchi. Lakini Hauna baraka za serikali.
 
Kuna athari Gani ikiwa hivyo? Japo hili haliwezekani kutokea hapa Tanzania..

Mfano wa Malawi sio sahihi kwa sababu za umuhimu wa Tanzania kwenye geopolitics.
 
Kuna athari Gani ikiwa hivyo?
Ebo! kumbe naongea na mtu ambaye hajui athari za kuruhusu ushoga rasmi!! Yaani mwanamume aolewe na mwanamume halafu wewe haujui athari zake? Ni kweli? Subiri mtoto wako wa kiume aolewe na dume mwenzake halafu usubiri wajukuu!!!
 
Sijui kwanini nguvu kubwa haipelekwi huko

Ova
 
Hizo ulizozionyesha hapo(Tamizi), ni stori tu katika nchi hii, watajijaza watoto wa wakubwa tu. Tumepewa Elimu ili itukomboe katika umasikini wetu, ndio maana tupo shamba na hiyo elimu yetu mwaka wa 12 huu. Kuhusu bank ya kilimo, au bank za serikali katika nchi hii huwa hazishughuriki na masikini au graduates, hukopeshana wao kwa wao. Ok, nimeweka elimu pembeni nimelima kwa nguvu zangu, nimewekeza kitu cha mamilioni, naenda benki ili nianze mnyololo wa kilimo biashara, benki inakubali, inanipitishia pesa , nasaini mkataba lakini inashindwa kuni - disburse, sababu ni hofu, inasita kwamba haituamini graduates ki vile. Nimegundua tatizo ni sera za nchi, ya kwamba inawaambia Vijana wajiajiri, huku haituamini kutuwezesha kupata nyenzo za kujiajilia(fedha/mitaji). Najua upo pazuri ndio maana umeniona mi mjinga, kula nchi brother.
 
Mwacheni mama yenu akope tu ila siku yaja bendera ya rangi za upinde itavikwa kwenye V8 ya mama mkabala na bendera ya Tanzania kuwa imekubali na kuunadi Umende.
 
Yote hayo ni kama kumpigia mbuzi gitaa katika awamu hii ya walamba asali.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nawaza tu kimya kimya kunasiku like neno LA yule boss aliyeabdikishwa kufutwa kazi lutatimilika.. Shart moja LA kuoga kwa mwafrika lazima avue nguo..
B
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…