Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Familia A ina watu 3 na assets zenye thamani ya dola milioni 3.Au unasema Kwa Uchumi wao wanaeza kununua ndege 5 na Tanzania ndege 20.
Aisee haya mambo ya uchumi haya balaa tupu. Uchumi wa ukweli mimi naona boora upimwe na uwezo wa watu kupata mahitaji yao ya kila siku huku kukiwa na thamani ya hela yao ila haya ya kuambiwa kwenye makaratasi mmh!!Ameyumba sana miaka 2 iliyopita Hadi Kushindwa kulipa.madeni.
Japo Kwa Uchumi wao huo na idadi ya watu ukitafuta per Capita income wametuzidi parefu japo ukija kwenye real term value let say purchasing power parity naona wako vibaya Kwa sababu ya very high inflation(kwamba pesa Yao inanunua vitu vichache kuliko ya kwetu).
Kuna yule gwiji wa TRAB na TRATA hawezi kukusikiliza hata.Aisee haya mambo ya uchumi haya balaa tupu. Uchumi wa ukweli mimi naona boora upimwe na uwezo wa watu kupata mahitaji yao ya kila siku huku kukiwa na thamani ya hela yao ila haya ya kuambiwa kwenye makaratasi mmh!!
New York GDP ni zaidi ya dola trilioni 2.Yaani ukijumlisha utajiri wa nchi kadhaa za mwisho haugikii utajiri wa elon Musk😀
Afrika ni masikini sana. GDP yetu Tanzania ni hela ya bilionea mmoja tu wa Marekani. Mfano Elon Musk alitoa Cash USD Bilioni 44, yaani zaidi ya nusu ya GDP yetu kununua twitter na bado ana utajiti wa kutosha. Yaani mtu atoe nusu ya utajiri wa Tanzania kama vile ananunua pipi na bado hatetereki.Kwamba kwa hali hii tunayoiona Tanzania tupo top ten ya largest economies za Africa?
Basi Africa ni masikini sana.
That is okay but inapokuja kwenye uhalisia haiko hivyo maana itategemea nani anamiliki hiyo GDP inayozaa huo mgawanyo.Familia A ina watu 3 na assets zenye thamani ya dola milioni 3.
Familia nyingine ina watu 10 na assets zenye thamani ya dola milioni 5.
Umeona tofauti hapo?
Of course ndio Uchumi wa kweli,ukisema utumie GDP na GDP per Capita utadanganywa maana inategemea zaidi hiyo GDP inamilikiwa na nani.Aisee haya mambo ya uchumi haya balaa tupu. Uchumi wa ukweli mimi naona boora upimwe na uwezo wa watu kupata mahitaji yao ya kila siku huku kukiwa na thamani ya hela yao ila haya ya kuambiwa kwenye makaratasi mmh!!
Acheni kujidanganya. Tanzania sisi tu masikini sana. Ethiopia GDP per Capita $ 1,900 while Tanzania $1,400. Tuna kazi kubwa mbele yetu. Tuombe Mungu stupatie viongozi maana mpaka sasa hatuna.Kuna mda amefafanua vizuri kwenye comments za hapo awali.
Ethiopia Ina Pato ghafi kubwa na imeendelea sana tuu isipokuwa Wingi wa watu ukija kugawa na Pato lake Bado Iko kwenye Nchi maskini zaidi LDC ambako sisi Tanzania hatupo.
Ila ukienda kwenye Miji Yao na kulinganisha na sisi wametuzidi sana tuu but Kwa kuwa maendeleo sio mjini tuu na maendeleo ni watu popote waliopo basi tumewazidi ubora wa Maisha.
Nakusamehe kwa sababu hujui uchumi. Hizo data kwenye Citizen zina-reflect mazalisho - past investment na production, hebu tuambie mradi mmoja tu wewe Bibi ushungi umeubuni umezalisha ni upi? GDP inakuja kwa kuangalia investment na kuzalisha mali. Mwezio alikuwa anakopa anazalisha wewe unakopa unatoa ruzuku na kuwafidia vyeti fakeUnaonekana mjinga ,unaijua hata formular ya GDP?
View attachment 2973664
Hapana, hapo unadanganya. Wazungu hata wazawa wote wanalipa kodi, hata CSR zinalpwa. Kiukweli kwa nini wananchi ni fukara? Tatizo ni matumizi, wizi na rushwa. Kila mzungu analipa kodi, hizo pesa zinaenda wapi? Ofcourse to yourself and your son Abdul and croniesOf course ndio Uchumi wa kweli,ukisema utumie GDP na GDP per Capita utadanganywa maana inategemea zaidi hiyo GDP inamilikiwa na nani.
Eg unakuta Migodi michache ya Wazungu huko Shinyanga inasoma uchumi wa Shinyanga ni mkubwa ila tukija kwenye uhalisia Sasa unakuta wao ni mafukara afadhari ya mkulima wa koroshi wa Tandahimba.
So unapojadili hizi perameters za Uchumi uwe makini na uzielewe.
Mwisho wa siku utagundua kwamba HDI inawiana tahisili (directly proportional) na GDP.Uchumi wa Nchi ila isitumiwe kupata Per Capita kama Kipimo Cha loving standards hapana Bali Itumike HDI walau Ina components nyingi Zenye uhalisia.
Ghana:Kitu kama mwaka 2022 kurudi nyuma Ghana alikuwa ana tukimbiza Tanzania ile mbaya ila sasa hivi tume mpita.
Ahsante mkuuKuna mda amefafanua vizuri kwenye comments za hapo awali.
Ethiopia Ina Pato ghafi kubwa na imeendelea sana tuu isipokuwa Wingi wa watu ukija kugawa na Pato lake Bado Iko kwenye Nchi maskini zaidi LDC ambako sisi Tanzania hatupo.
Ila ukienda kwenye Miji Yao na kulinganisha na sisi wametuzidi sana tuu but Kwa kuwa maendeleo sio mjini tuu na maendeleo ni watu popote waliopo basi tumewazidi ubora wa Maisha.
Kipimo kizuri cha ubora wa maisha ya watu ni Human Development Index(HDI)Aisee haya mambo ya uchumi haya balaa tupu. Uchumi wa ukweli mimi naona boora upimwe na uwezo wa watu kupata mahitaji yao ya kila siku huku kukiwa na thamani ya hela yao ila haya ya kuambiwa kwenye makaratasi mmh!!
Hapo kwenye orodha ya piliShirika la Fedha la Kimataifa IMF liketoa orodha ya Nchi 15 Zenye Uchumi Mkubwa Barani Afrika huku Tanzania ikishika nafasi ya 9.
Kwenye orodha hiyo Nchi ya Afrika Kusini imeongoza na kuzipita Nigeria na Misri ambazo zimekuwa zikiongoza Kwa miaka Mingi.
Pia takwimu hizo zinaonesha kufanya vizuri Kwa Nchi Tajiri ya Rasilima ya Algeria ambayo imeshika nafasi ya 3 juu ya Nigeria.
Kana kwamba haitoshi Nchi ya Ivory Coast imezipita Ghana na Tanzania na kushika nafasi ya 8 kutoka nafasi za chini zaidi.
Uchambuzi zaidi imeonesha Angola imeporomoka kiuchumi kutokana na sababu ambazo jazijabainishwa.
View attachment 2973637
My Take
Takwimu hizi Huwa zinabadilika Kila mwaka kutegemeana na Taasisi inayotoa takwimu.
Mathalani WB Huwa wanakadiria Uchumi wa Tanzania kuwa Dola Bilioni 85 na sio 80 zinazotajwa na IMF kama inavyosomeka kwenye taarifa hii hapa IMF/WB: Ukubwa Wa Uchumi wa Tanzania Wafikia Dola Bilioni 85.4 Mwaka 2023 kutoka Dola Bilioni 70 Mwaka 2021
-----
View attachment 2973631
In 2024, Africa's economic landscape showcases a mix of resilience and challenges, with South Africa emerging as the continent's largest economy according to the latest IMF data. The International Monetary Fund (IMF) has released its rankings, highlighting the economies in Africa based on GDP figures for the year. These rankings shed light on the economic trajectories of various nations and forecast future trends within the region.
Top 15 African Economies
The IMF's latest report reveals the following ranking of Africa's largest economies in 2024:
Despite facing persistent macroeconomic challenges, the overall economic outlook for Africa remains stable. The IMF's projections indicate that South Africa, Egypt, Algeria, and Nigeria will maintain their positions as Africa's top four economies until 2030. Notably, South Africa is poised to surpass Nigeria and Egypt to become the continent's largest economy, benefiting from energy supply improvements and logistical enhancements.
Nigeria, once Africa's largest economy, has slipped to the fourth position in 2024. The nation is grappling with multiple economic hurdles, including a soaring inflation rate of 33%, a weakening currency, and the aftermath of government economic reforms. Last year, the Nigerian government implemented significant policy changes, such as ending petrol subsidies and allowing market forces to dictate the currency exchange rate, leading to a surge in living costs.
Furthermore, Nigeria faces acute dollar shortages crucial for imports, exacerbating its dependence on foreign goods. The Nigerian Naira remains substantially devalued against the dollar, impacting both consumer purchasing power and import-dependent sectors.
To combat rising inflation, the Central Bank of Nigeria recently raised interest rates to 24.75% and eliminated electricity tariff subsidies. These measures aim to stabilize prices and restore economic confidence amidst challenging circumstances.
Meanwhile, Egypt, which held the top economic position in 2023, is projected to slide to the second spot behind South Africa due to successive currency devaluations. Despite this setback, the IMF forecasts that Egypt could reclaim the top position by 2027, underscoring the country's economic resilience and recovery potential.
Looking ahead, the IMF's World Economic Outlook emphasizes the need for sustained reforms and investments to bolster Africa's economic resilience. Countries like Kenya are expected to climb in the rankings, surpassing economies such as Angola in the coming years. Ethiopia's economy, holding steady in the fifth position, is projected to maintain its standing until 2030.
Africa's economic trajectory underscores the importance of strategic policies and investments to mitigate challenges and unlock growth opportunities across the continent. As nations navigate complex economic landscapes, sustained reforms and international partnerships will play a pivotal role in shaping Africa's economic future.
Chanzo: Africa View Facts
Sisi bado masikini wa kutupa.Tatizo la watanzania (baadhi, hasa chawa) ni kupenda kujisifu kwa vitu hata wasivyoelewa. Wanachojua tu ni 'pongezi kwa mama '. GDP, kama ilivyoletwa hapo na mleta mada ni pato ghafi jumla la taifa, ambalo ukigawia kwa idadi ya raia wa taifa husika, unapata Pato la wastani kwa kila raia wa nchi hiyo (GDP per Capita). Mfano: Tanzania GDP = $85 bil. ÷ 60mil. (population) =$ 1,417 approx; ndio pato la wastani la mtanzania kwa mwaka. Nchi ya Equatorial guinea GDP = $10bil. ÷ 1.7mil. (population) = $ 5.9mil. approx; ndio pato la Equato Guinean kwa mwaka. Kwa hiyo utaona Pato la wastani kwa raia wa E. Guinea ni zaidi ya mara nne ya lile la mtanzania. Tanzania ni nchi masikini- tena sana, ila hatungepaswa kuwa masikini- kiasi hiki kwa vile tuna rasilimali nyingi mno. Tatizo ni viongozi tulip nao (serikali ya ccm), ndio wa kulaumiwa. Serikali inapaswa kusimamia vizuri rasilimali za taifa hili, na kuwa na sera nzuri za kuvutia uwekezaji wenyewe tija, si Kila kitu unampa mwarabu kwa bei ya kutupa. Sasa hapa watu kazi kuimba tu mapambio mara pongezi, anaupiga mwingi, haijawahikutokea nk. Nasikia kuna 'slim' alisema 'nipeni hiyo bandari kila mwaka niwape pesa inayotosha bajeti yenu na mimi nibaki na faida'. Hata kama sio kweli angeweza kutupa pesa nyingi hivyo, lakini angalia ni kiasi gani anatudharau kwamba hatuwezi kusimamia rasilimali zetu.
Per Capita wako juu yetu. Ni KweliGhana:
GDP $76.7bil. GDP per Capita $2,300
Tanzania:
GDP $85bil. GDP per Capita $1,400
Sasa tumewapita kwa kigezo kipi?