Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Zamani mavitu yalikuwa yanakwenda kwenda tu. Ajira njenje, ukiwa na shahada una uhakika na uwaziri.

Unakuta nchi nzima wenye shahada hawakufika 50 kwa mfano, so vitu kama hivyo lazima vitokee.

Mimi huwa nasema kuna wakati mtu fulani ni fulani kwa sababu ya wakati.

Huenda Nyerere angezaliwa leo sanasana angekuwa mwalimu mkuu wa shule fulani kijiji fulani huko.
 
Kuhusu kutofanyia kazi mapungufu ya katiba sawa, ila kusema hukumchagua Samia si kweli, unless unasema hata magu hakuchaguliwa hapo itakua sawa, ila kama magu ulimkubali basi jua magu alikua sambamba na samia, na hakunq mwenye uhakika na uhai na katiba ipo wazi ikitokea changamoto makamu atapanda cheo
Hiyo ni kimantiki tu sio kiuhalisia.

Anyway, kwenye siasa hakunaga uhalisia.
 
Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.

Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.

Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Kuna kitu umenena na bado hawatakuelewa
 
Brother listening, i has to tell you or education you if you know what i means. Do yu even know something called manifesto? How you says dk mama that u even dont konw how the plans are? Evety leaders follows carefuul palnned manifesto for the next five years.rwelax go raed ilan ya uchahguz 2020-2025 awiiii
Brother listen...not listening
I have ...not I has
 
Brother listening, i has to tell you or education you if you know what i means. Do yu even know something called manifesto? How you says dk mama that u even dont konw how the plans are? Evety leaders follows carefuul palnned manifesto for the next five years.rwelax go raed ilan ya uchahguz 2020-2025 awiiii
Hahahahahajajj sijui kingereza lkn wewe hujui kbsaaa [emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.
Nyerere ni mnufaika wa katiba, unaweza kata mkono unaokulisha? Huwezi ila unaweza kukosoa kuwa vidole vyake vina kucha ndefu. Hivi ndivyo ilivyokuwa na ndivyo inavyoendelea.
Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.
Ulipomchagua JPM ulimchagua Samia. Katiba ipo wazi katika hili, Makamu ni mbadala wa Rais.
Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
RIP.
 
Back
Top Bottom