Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Ina maana Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Tanzania bila kugombea ubunge

Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.

Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.

Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.

Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.

Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Pole sana kwa kuteswa na uwepo wa mama Samia, The Mother of Modern Tanzania. Kwa kukuhabarisha tu ni kuwa mama yupo na ataendelea kuwepo hadi 2030 hivyo endelea tu kuumia!!
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Kuna kitu Cha ziada katika familia Yao ndiyo sababu Mungu alimwezesha kuwa mtu Mkuu pasipo struggle. Is not normal. Mzazi wake alimtoa akamtumikie Mungu kama Shekh, basi ndipo Mungu aliona moyo wake huo uliokuwa wa dhati akaamua kumbariki.
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Si lazima kila mgombea u-Rais aanze na ubunge, haya ni mazoea tu ya hivi karibuni!
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Huoni hata aibu kutoa posti kama hii. Kunywa maji ukalale.
 
Habari.

Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.

Huyu mzee alikuwa na bahati sana

Nawasilisha
Alikuwa waziri akajiuzuru akarudi tena mfumoni hadi kuwa Rais
 
Brother listening, i has to tell you or education you if you know what i means. Do yu even know something called manifesto? How you says dk mama that u even dont konw how the plans are? Evety leaders follows carefuul palnned manifesto for the next five years.rwelax go raed ilan ya uchahguz 2020-2025 awiiii
Duuu!!! Hiiiii!! Sijaelewa aliyeelewa anisaidie.
 
Back
Top Bottom