- Thread starter
- #61
We jamaa Mkapa hakuwa mbunge, hujui ulisemaloNyerere na Mkapa walikuwa wabunge! Nilisahau hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa Mkapa hakuwa mbunge, hujui ulisemaloNyerere na Mkapa walikuwa wabunge! Nilisahau hilo.
Pole sana kwa kuteswa na uwepo wa mama Samia, The Mother of Modern Tanzania. Kwa kukuhabarisha tu ni kuwa mama yupo na ataendelea kuwepo hadi 2030 hivyo endelea tu kuumia!!Siasa za Tanzania ni za ajabu sana.
Nyerere alikua mtu mzuri lakini alikua na flaws nyingi sana.
Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.
Mapungufu hayo ndio yamepeleka hata sasa tunaongozwa na mtu ambae hatukumchagua na wala hatujui mipango yake wala malengo yake. Sasa tumekua tukiambiwa malengo yake kupitia chawa na wahuni wake wengine.
Anyw6, apumzike kwa amani mzee Mwinyi.
Ni kweliHussein hajawahi kuwa mbunge wa Kisarawe bali Mkuranga
Kuna kitu Cha ziada katika familia Yao ndiyo sababu Mungu alimwezesha kuwa mtu Mkuu pasipo struggle. Is not normal. Mzazi wake alimtoa akamtumikie Mungu kama Shekh, basi ndipo Mungu aliona moyo wake huo uliokuwa wa dhati akaamua kumbariki.Habari.
Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.
Huyu mzee alikuwa na bahati sana
Nawasilisha
Si lazima kila mgombea u-Rais aanze na ubunge, haya ni mazoea tu ya hivi karibuni!Habari.
Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.
Huyu mzee alikuwa na bahati sana
Nawasilisha
Huoni hata aibu kutoa posti kama hii. Kunywa maji ukalale.Habari.
Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.
Huyu mzee alikuwa na bahati sana
Nawasilisha
Huyu mzee hapa ndio aliharibu kabisa.Nyerere aliona mapungufu yaliyopo ya katiba na akayasema wazi lakini hakuchukua hatua yoyote kuyarekebisha. Nadhani aliamini Tanzania itapata viongozi wenye moyo kama wake, hii ilikua a massive mistake.
Jimbo la Morogoro miaka hiyooo. Soma history ya Uhuru wa Tanganyika.Duh
Nyerere alikuwa mbunge wa wapi kihistoria?
Kizaramo hicho, kuna Nzasa nyingine IPO KisaraweHuku mitaa yetu ya mbagala kuna kitongoji kinaitwa Nzasa ..
Hili jina ni wandengereko itakuwa
Na kuna maji haswa pale NzasaMpakani mwa Kisarawe na Chanika kuna eneo kinaitwa Nzasa
Alikuwa na majina mazuri
Alikuwa waziri akajiuzuru akarudi tena mfumoni hadi kuwa RaisHabari.
Jana nimefatilia historia ya mzee Mwinyi, sikuona sehemu yeyote alipogombea ubunge. Amefanikiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania bila kugombea ubunge wa Jimbo sehemu yeyote ile.
Huyu mzee alikuwa na bahati sana
Nawasilisha
Wanalima mpunga paleNa kuna maji haswa pale Nzasa
Yeah Mwinyi sio mzanzibar ila ndo hivyo junk yake yupo madarakani lazima walinde ugali.Huku mitaa yetu ya mbagala kuna kitongoji kinaitwa Nzasa ..
Hili jina ni wandengereko itakuwa
[emoji16]Jina hunena. Sasa mzazi anamuita mtoto wake shida,tabu,matatizo,majuto,mtakoma,
Mwinyi atakua mndengereko au mzaramo ila sio mzanzibar tunapangwa[emoji16]
Mkuu sikuhizi umebadili gari?Chamazi mkuu ndiyo home
Mkapa na Samia wamekuwa wabunge tena, acha uongoNyerere aliwahi kuwa mbunge?. Mkapa je? Samia je?
Duuu!!! Hiiiii!! Sijaelewa aliyeelewa anisaidie.Brother listening, i has to tell you or education you if you know what i means. Do yu even know something called manifesto? How you says dk mama that u even dont konw how the plans are? Evety leaders follows carefuul palnned manifesto for the next five years.rwelax go raed ilan ya uchahguz 2020-2025 awiiii