Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

Umempa za USO John,hapa kukujibu mpaka akamuulize Mzee mgaya pale kwenye hardware yake.
 
TRA hawawezi kufanya huo ujinga kwa mfanyabiashara mkongwe kama Freeman Mbowe mwenye kampuni zaidi ya moja.

Hizo ni siasa nyepesi kwa nyie Bavicha!
...Mkuu mbona wewe ndio unawasemea TRA....mbona wao hawajakanusha kama walituma ujumbe wa kodi kwa email binafsi ya Mbowe....tulichosikia Kayombo kasema tu kama Mbowe alionewa apeleke malalamiko TRA..lakini hajakanusha madai ya Mbowe!
 
Pumbavu hukusikia kuwa walituma Email kwenye account yake?
Hivi unafikiri wangetuma hiyo barua ofisisni wasingejibiwa na ofisi?
by the way kwanini tunashindwa kutofautisha biashara(kampuni) na mtu binafsi ?
TRA wanaitoa wapi Email binafsy Mbowe? Msitake kutuona sie wajinga jamani..!! Kule TRA kuna contacf za kila mfanyabiashara, na mfanyabiashara mwenyewe ndo huwa anazipeleka sasa kama aliweka Email yake binafsi unategemea wangetuma wapi? Shida inakuja ye mwenyewe ni mbinafsi huyo Mbowe ata pale Ufipa pesa haitoki bila yeye, ata ao wahasibu hawaamini kawaweka kama geresha tu ila one man show.
 
Daah hii yote ni Kum prove wrong tu muhisika 🤣🤣 nadhan ungewatafuta waliompelekea barud akiwa gerezani ili waseme kwann hawakupeleka hiyo barua kwa mhasibu wake mpaka wasubiri majibu majibu ya mtu akiwa gerezani
 
Wana "trepu" in jiwe voice.

Email binafsi ya Mbowe hata wewe ukitaka unaweza kuipata ila waliomsulubu hawawezi kuwa TRA peke yake , ni "task force"!
 
Wewe huelewa wako ni mdogo. TRA barua hawakuipeleka kwenye kampuni Bali waliituma kwa email ya mbowe ambaye alikuwa jela. Sasa hao wahasibu watajuaje Kama kampuni inadaiwa?
Pole sana greatthinker
 
Jamani mbona Mbowe kaweka clear kabisa hilo!!!?
It was strategically kuforwad barua kwenye email binafsi badala ya ile ya kampuni,na ulikuwa ni mpango maalum wa kumfilisi.
*Ni kichaa pekee anayeweza kutuma email kwa mtu ambayo Tanzania nzima inajuwa yupo segerea na kukaa kusubiria majibu!!!!!.

*Kama target ilikuwa ni kupata KODI hakuna pahala biashara inafanyika hapa Tanzania (officially) TRA wasijue physicall address.
Wangeenda hapo kwenye biashara yake kuulizia.
 
Mungu kaona mfalme hafai kamwondoa amos 9.8
 
Issue ilikuwa ni extrajudicial halafu mchangia mada anazungumzia mambo ya kisheria ya kwenye nchi zilizostaarabika zinazo obey rule of law! Ajabu hii
 
Mambo mengine tunayaangalia tu.wengine wanatufanya watz wote ni mbumbu.Mbona mengi kafa lkn biashara zinaendelea as if bado Yuko hai.tutafika tu atajulikana mwenye akili na nyumbu ni nani.
 
Hizo kampuni zinaendeshwaje yaani hayo makampuni yote managing director ni yy,hrm,dfa,nk vyote ni yeye
 
Biblia. Amosi 9:8
[8]Angalieni, macho ya Bwana MUNGU yanauangalia ufalme wenye dhambi, nami nitauangamiza utoke juu ya uso wa dunia; lakini sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo, asema BWANA.


Yametimia.

YESU NI MWOKOZI
 
Usijitoe ufaham wakati unajua nini kilikuwa kinafanyika kipindi marehemu akiwa rais,Mbowe alikuwa anaumizwa kisiasa sa utamfananisha Mbowe na Mo hao wanaposition tofauti. nadhan hakukuwa na tofauti na kikundi cha Mafia cha Italy enzi hizo,ulikuwa unafanyika Ugaidi wa hali ya juu kuwajengea watu hofu.
 
Hizo kampuni zinaendeshwaje yaani hayo makampuni yote managing director ni yy,hrm,dfa,nk vyote ni yeye
kwa nini watume e-mail ya binafsi badala ya kampuni ilikuwa hila ovu hiyo mbona mama kasema tu wakafungua watapike hela zake zotee
 
Huyu Mbowe ni kuonewa tu. Alikaa kwenye nyumba ya NHC zaidi ya miaka 10 bila kulipa kodi. Alipofukuzwa ndani ya nyumba akasema kaonewa. Halafu kuonewa huku kunaelezwa waandishi wa habari sio mashtaka polisi au mahakamani
 
Huyu Mbowe ni kuonewa tu. Alikaa kwenye nyumba ya NHC zaidi ya miaka 10 bila kulipa kodi. Alipofukuzwa ndani ya nyumba akasema kaonewa. Halafu kuonewa huku kunaelezwa waandishi wa habari sio mashtaka polisi au mahakamani
Sasa hayo ya NHC unayajua wewe. Hapa tunaongelea hujuma dhidi yake kupitia TRA. kuibiwa hela zake kwenye acc na kufungiwa acc.


YESU ANAOKOA
 
Ni makanjanja kwa sababu huwezi kumtumia mtu binafsi makadirio ya kampuni labda kama mtu huyo anafanya biashara binafsi ya bar!
Makanjanja wana uwezo wa kufunga accounts na kukomba hela zote halafu wanamfungulia kisha wanamwambia njoo tuone?
Wako vizuri sana.
 
Kama ni kweli kwanini hawaulizi hao TRA ? Kwanini analialia kwenye media? Cheap politics.
Labda aliwauliza,ila pale amezungumzia kilichotokea,Samia naye anapolalamikia utendaji mbovu wa tra naye anafanya cheap politics?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…