Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.

Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Umewahi kufanya biashara halali? Kama ungekuwa umewahi ungejua TRA ni watoza ushuru sio wakusanya kodi
 
Wewe huelewa wako ni mdogo. TRA barua hawakuipeleka kwenye kampuni Bali waliituma kwa email ya mbowe ambaye alikuwa jela. Sasa hao wahasibu watajuaje Kama kampuni inadaiwa?
 
Wala.hawakuwa TRA alianzisha TRA TISS .walikuwa wanafuatilia watu na kuwanyanganya hela kwa kisingizio cha kodi
 
Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.

Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Umeandika bila aibu, waandamizi wanasema kuna ukiukwaji wa kutumia manguvu bila akili kwenye Kodi ikapelekea watu kufungiwa na kufunga biashara, Sasa wewe ndio uliyetumika kuwadhuru watu?
 
Angeenda kuwashtaki TRA kwenye mahakama ya biashara.

Labda kama Freeman Mbowe ni individual taxpayer lakini kama anamiliki kampuni hawezi kutumiwa taarifa rasmi za kodi yeye binafsi.

Hata MO Dewji alivyotekwa biashara ziliendelea na kodi zililipwa bwashee!
Sema hata Mo tulivyomteka. Siyo alivyotekwa. Uwezi kujiepusha na DHAMBI za Magufuli ulizishiriki kwa mikono miwili.
 
Umeandika bila aibu, waandamizi wanasema kuna ukiukwaji wa kutumia manguvu bila akili kwenye Kodi ikapelekea watu kufungiwa na kufunga biashara, Sasa wewe ndio uliyetumika kuwadhuru watu?
Mkuu huyo Ni mmoja wa washiriki wa DHAMBI za dhulma za watu na uonezi
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hata mama naye ni muongo

Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.


Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
 
Angeenda kuwashtaki TRA kwenye mahakama ya biashara.

Labda kama Freeman Mbowe ni individual taxpayer lakini kama anamiliki kampuni hawezi kutumiwa taarifa rasmi za kodi yeye binafsi.

Hata MO Dewji alivyotekwa biashara ziliendelea na kodi zililipwa bwashee!
Mo alitekwa kwa Siku ngapi Bwashee, na alipigwa sh ngapi akaachiwa Bwashee?,
Mbowe ye alikaa magereza kabisa.

Kaa kwa utulivu Bwashee, Mo nae atafunguka kwa kuwa mwendazake hayupo tena watu wamekuwa huru.
 
Mkuu kama nimemsikia vzr Mbowe anasema taarifa zilitumwa kwenye email ambayo yeye nadhani ndio ana password kitu ambacho akiwa segerea asingeweza kusoma hiyo email
Hii inawezekana ilikuwa exceptional maana kwa uzoefu wangu TRA lazima walete barua pia hardcopy. Hata wakipanga kufanya audit lazima walete hardcopy na documents watakazohitaji kwenye audit.
 
Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.

Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mbowe awe na mhasibu au asiwe na mhasibu, kwanini TRA watume barua pepe aliwa gerezani badala ya kupeleka madai yao kwa physical address ???
 
Hii inawezekana ilikuwa exceptional maana kwa uzoefu wangu TRA lazima walete barua pia hardcopy. Hata wakipanga kufanya audit lazima walete hardcopy na documents watakazohitaji kwenye audit.
Inshort TRA walifanya makusudi kutumia email ili Mbowe asisome hayo madai feki kwasababu walijua hawezi kusoma email akiwa gerezani
 
Hii inawezekana ilikuwa exceptional maana kwa uzoefu wangu TRA lazima walete barua pia hardcopy. Hata wakipanga kufanya audit lazima walete hardcopy na documents watakazohitaji kwenye audit.
Ilikuwa ni mpango mzima wa kumhujumu. Achana na mambo ya hardcopy. System ikiamua kumhujumu mtu huwa haifuati utaratibu. Acha kutetea waovu mkuu. Tulifikishwa mbali sana., Ila Mungu ni mwema.

JESUS IS LORD.
 
Bila Kiki siasa za Tanzania hutoboi ko kumwona hvo mbowe Yan n Kama walvo wanasiasa wengne
 
Ilikuwa ni mpango mzima wa kumhujumu. Achana na mambo ya hardcopy. System ikiamua kumhujumu mtu huwa haifuati utaratibu. Acha kutetea waovu mkuu. Tulifikishwa mbali sana., Ila Mungu ni mwema.

JESUS IS LORD.
Soma statement yangu vizuri hamna utetezi I have based on fact....usiwe unaconclude issue ilhali hujui mchangiaji anafikiria nini. Nadhani ndio maana kuwa Great thinker - contribute but respect others viewpoints and don't be aggressive ikiwa hawajaandika unachotaka kuona.
 
Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.

Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Alichoongea Mbowe kinaconfirm alichosema mama kuwa TRA ilikuwa inanynyasa wafanya biashara na kufunga akaunti zao na kuchukua pesa zao. Tatizo naona ni kwa vile kasema Mbowe. Ila katuhakikishia kuwa mama hakuwa muongo kasema ukweli.
 
Back
Top Bottom