Ina maana mikataba yote waliyosaini Yanga sc wamekosa pesa ya kumlipa Kambole au ni mikataba hewa?

Ina maana mikataba yote waliyosaini Yanga sc wamekosa pesa ya kumlipa Kambole au ni mikataba hewa?

Hela analipwa mganga kwanza ndugu.We unafikiri majini wanahudumiwa na nini eti Kalpana dogo hajui timu utopolo inaendeshwaje
Wacha tuwaangalie tuu..kikosi chao kipana mnoo...kuna benchi la ufundi pia hapo including waganga wabobevu...majini...na kila aina ya kamati ndogo ndogo...mwaka huu wameinvest sana kwny kamati ndogo ndogo hela zimewaishia... 🤣 🤣
 
Acheni kuwasakama viongozi baada tu ya mazuri yote waliyoyafanikisha hayo ni mambo madogo madogo ambayo pengine na sisi tunachangia kwa kutolipa ada zetu za uanachama.
Jambo la uhakika wakiulizwa wanafamilia mnaowangoza watasema nanyi mna ubabaishaji mkubwa ila wanakosa namna ya kuchukua nafasi zenu kwa kuwa mlipewa na Mamlaka kuu hadi itakapotengua nyazifa zenu.
Kumbuka, hata mchezaji alikuwa ni sehemu ya Yanga.
Pia ukumbuke, kukosoa au kutoa mawazo tofauti ni sehemu muhimu katika kujenga. Ninyi mnapochagua kuwa sehemu ya kusifia, basi mtambue kuna watu muhimu wapo upande wa kuimarisha kupitia mawazo yao au ukosoaji.
 
No, hii haipo sawa. Madeni yawepo lakini si kwa gharama ya wachezaji.
Hao wachezaji wana mcjango mkubwa sana kwenye branding ya club. Hili la timu kdaiwa na wachezaji wake, linaweza likakimbiza wadhamuni. Mdhsmini anakuwa ni sehemu ya club, club inappfanikiwa mdhamini naye hutambuliwa na kushukuliwa. Sidhani kama kuna mdhamini atakayependa kuwa sehemu ya wachezaji kudhurumia.
NAUNGA MKONO HOJA
 
Wacha tuwaangalie tuu..kikosi chao kipana mnoo...kuna benchi la ufundi pia hapo including waganga wabobevu...majini...na kila aina ya kamati ndogo ndogo...mwaka huu wameinvest sana kwny kamati ndogo ndogo hela zimewaishia... 🤣 🤣
Ila Simba kaniumiza this time Naona kijana wangu atakimbilia yanga.Kila nikitoka nae kucheki mpira anarudi tumefungwa so inabidi nitumie gharama kununua toys
 
Who is this guy
FNOiF8XXMAU_dw2-1.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Aziz Ki is a long gone story, here in between Yanga imepata mafanikio makubwa ndani na nje ya uwanja, mafanikio ambayo pia yame reflect account ya club.
Swali ni kwanini mchezaji asilipwe madai yake hadi kuifikisha image ya timu kuanza kuwekwa in brackes?
Kati ya vitu ambavyo wanachama na mashabiki tunahesabu kuwa ni mafanikio, ni pamoja na haki na maslahi ya wachezaji waliopo na waliopita yanapozingatiwa.
Narudia, hakuna mfadhali anayependa kuwa sehemu ya ukandamizaji wa wachezaji.
NAUNGA MKONO HOJA YAKO
 
Viongozi wa Yanga waache ubabaishaji. Walipe madeni ya hao wachezaji haraka iwezekanavyo. Siyo poa kabisa kuichafua timu, kwa sababu tu ya ubabaishaji wao.
Sasa kama hela hawana? Kwa unavyofikiria Pesa ingekuwepo wangeacha kulipa na ikiwa FIFA waliwapa notes ya siku 45 kufanya hivyo? Tusiwe tunalaumu kila jambo jamani huu sio uungwana.... Ali kamwe anasema kama unalalamika na huna kadi ya uanachama au unayo alafu hulipii basi wewe ndio wa kulaumiwa kwa yanga kufungiwa.
UKWELI MCHUNGU KUMEZA NA MTAMU KUUTEMA........
 
Sasa kama hela hawana? Kwa unavyofikiria Pesa ingekuwepo wangeacha kulipa na ikiwa FIFA waliwapa notes ya siku 45 kufanya hivyo? Tusiwe tunalaumu kila jambo jamani huu sio uungwana.... Ali kamwe anasema kama unalalamika na huna kadi ya uanachama au unayo alafu hulipii basi wewe ndio wa kulaumiwa kwa yanga kufungiwa.
UKWELI MCHUNGU KUMEZA NA MTAMU KUUTEMA........
HIYO MIKATABA WANAYOISAINI NI HEWA
 
HIYO MIKATABA WANAYOISAINI NI HEWA
Kaa jua kuwa mpira ni biashara, Mo analalamika hasara lakini GSM ametulia tu mnamsifia hahaha hakuna mwekezaji anayeweza fanya biashara ya kichaa watu lazima wajilipe kubalance vitabu.....

WEWE KUWEZA?
 
Aziz Ki is a long gone story, here in between Yanga imepata mafanikio makubwa ndani na nje ya uwanja, mafanikio ambayo pia yame reflect account ya club.
Swali ni kwanini mchezaji asilipwe madai yake hadi kuifikisha image ya timu kuanza kuwekwa in brackes?
Kati ya vitu ambavyo wanachama na mashabiki tunahesabu kuwa ni mafanikio, ni pamoja na haki na maslahi ya wachezaji waliopo na waliopita yanapozingatiwa.
Narudia, hakuna mfadhali anayependa kuwa sehemu ya ukandamizaji wa wachezaji.
Yanga ina majukumu mengi
Na vipaumbele
Kuna cha kuanza nacho na kumalizia, nadhani hawapati hela ya kuyatimiza kwa pamoja kutokana na mashabiki wengi kutokwajibika kulipia kadi na kununua bidhaa za yanga
Sio kwamba ati pesa zipo account eti wamegoma
 
nimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu kuwa wamlipe pesa kambole lakini yanga walikaidi na kujisahaulisha

SWALI LANGU: ina maana mikataba wanayosaini yanga sc ni mikataba feki au ni ya laki laki anbayo haikidhi na haiwezi kukusanya pesa za kutosha na kumlipa kambole??
Timu ina madeni kwenye taasisi za fedha. Kuendesha klabu ya mpira ni gharama kubwa sana pesa za wadhamini zinaweza zisitoshe, lakini hata ivyo viongozi waache ubabaishaji wanatakiwa kuwalipa wachezaji hayo madeni
 
Timu ina madeni kwenye taasisi za fedha. Kuendesha klabu ya mpira ni gharama kubwa sana pesa za wadhamini zinaweza zisitoshe, lakini hata ivyo viongozi waache ubabaishaji wanatakiwa kuwalipa wachezaji hayo madeni
kweli mkuu
 
Hakuna taasisi isiyodaiwa
Madeni ni kitu ya kawaida
Ukisoma club kubwa kama Madrid, man u, Inter Milan, n.k
Tena Yanga ina madeni machache
Siunawaona wanaogopa kudaiwa wamemg'ang'ania flop kama Miquison, saidoo, jobe nk
Watu mnashindwa kuongea bila kuzidisha maneno. Habari inaihusu Yanga na makandokando yake wewe unaleta habari za Simba. Huyo Jobe si amesajiliwa dirisha dogo lililopita, sasa Simba inamng'ang'ania kivipi kwa sababu ya madeni? Huyo Saidoo si mkataba wake ulishaisha dirisha dogo lililopita, sasa anang'ang'aniwa kivipi kwa sababu ya madeni?

Simba madirisha mawili yaliyopita imeacha wangapi ambao ilikaa nao kwa muda mfupi, umesikia habari za kufungiwa na FIFA kwa sababu yao?
 
Back
Top Bottom