#COVID19 Ina maana muda wote huu Rais alikuwa hajachanjwa?

#COVID19 Ina maana muda wote huu Rais alikuwa hajachanjwa?

Keshokutwa tarehe 28, mwezi huu wa Julai, tumeambiwa kuwa Rais Samia atachanjwa hapa Ikulu ya Dar es Salaam.

Serikali ndo itakuwa inazindua kampeni yake ya chanjo dhidi ya Corona!

Sasa nimewaza tu: ina maana muda wote huu tokea Rais Magufuli afariki, huyu Rais wetu mpya alikuwa hajachanjwa?

Na Pia kumbuka hata barakoa alikuwa havai. Alikuwa anapuyanga tu huku na huko bila chanjo wala tahadhari yoyote ile!

Mara yupo Kariakoo…mara Mbagara [Mbagala]…mara Morogoro…Mwanza…Zanzibar…Nairobi na kwingineko huko.

Kote huko alikuwa anahutubia umati.

Very reckless behavior!

Unless labda alikuwa tayari keshachanjwa na hiyo keshokutwa kutakuwepo na ‘maonyesho’ tu ya kuwa anachanjwa na atachanjwa na dawa feki.

Otherwise, how does one explain her unseriousness?
Nakumbuka JK alizunduaga kampeni ya upimaji VVU kitaifa pale Mnazi Mmoja.
Tulipiga sana gambe.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ila chanjo kwa hapa kwetu Tanzania si hiari sio lazima,so kama ni ivyo basi mama anachanja kwa hiari yake
 
Madakitari wajitokeze kwenye midaharo kuhusu corona wananchi wawaulize maswali na wayajibu sio kuongelea uchochoroni tu ....mjibuni ngwajima maswali yake mbona mnamkwepa?
 
Keshokutwa tarehe 28, mwezi huu wa Julai, tumeambiwa kuwa Rais Samia atachanjwa hapa Ikulu ya Dar es Salaam.

Serikali ndo itakuwa inazindua kampeni yake ya chanjo dhidi ya Corona!

Sasa nimewaza tu: ina maana muda wote huu tokea Rais Magufuli afariki, huyu Rais wetu mpya alikuwa hajachanjwa?

Na Pia kumbuka hata barakoa alikuwa havai. Alikuwa anapuyanga tu huku na huko bila chanjo wala tahadhari yoyote ile!

Mara yupo Kariakoo…mara Mbagara [Mbagala]…mara Morogoro…Mwanza…Zanzibar…Nairobi na kwingineko huko.

Kote huko alikuwa anahutubia umati.

Very reckless behavior!

Unless labda alikuwa tayari keshachanjwa na hiyo keshokutwa kutakuwepo na ‘maonyesho’ tu ya kuwa anachanjwa na atachanjwa na dawa feki.

Otherwise, how does one explain her unseriousness?
Aya ya pili kutoka mwisho hitimisho lake ni zito. Kesho wazee wa kuzoom picha na video na mwendo wa kuona kama kwenye bomba la sindano[emoji382]dawa inatembea au haitembei, je rangi ya chanjo ndio ile ile ya Johnson & Johnson au nk nk

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ila chanjo kwa hapa kwetu Tanzania si hiari sio lazima,so kama ni ivyo basi mama anachanja kwa hiari yake
Ni yeye na maisha yake, afya yako mlinzi wake ni wewe mwenyewe ingawa unaweza ingizwa mjini. Nafikiri baada ya kuchanjwa ndio sasa ataanza kupuyanga rasmi nje ya nchi akijiachia kutafuta wawekezaji.
Mchuma Janga hula na wakwao.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
I’m confused 🤔.

Ati waziri wa afya kasemaje?
 
Madakitari wajitokeze kwenye midaharo kuhusu corona wananchi wawaulize maswali na wayajibu sio kuongelea uchochoroni tu ....mjibuni ngwajima maswali yake mbona mnamkwepa?
Mjibuni maswali yake askofu ngwajima
 
Back
Top Bottom