#COVID19 Ina maana muda wote huu Rais alikuwa hajachanjwa?

#COVID19 Ina maana muda wote huu Rais alikuwa hajachanjwa?

Hayo maonesho tu.

Na hatushawishiki!!!!

Mambo haya sio rahisi kama tunavyo yachukulia. Ngoja tusaidie mawazo hapa.

Nimetoa mfano wa Walinzi wa karibu. Haya mambo kwa vile u Mkuu na wewe ni kila kitu na wanaokuzunguka wanakushauri kukufurahisha kulinda vitumbua unaweza ukaona ni sawa. Lakini si sawa hata kidogo.

Walinzi watiifu, waaminifu kupita maelezo na mahiri wanaweza kugeuka kuwa a hooligan with a gun. Hii inatokea kwa kulewa madaraka na wakati mwengine ukawaona kama animals tu unaoweza kuwapeleka uwapelekavyo. Hayati Kabila Mkubwa ni mfano halisi.
 
Kwa hiyo marehemu mwendazake alikosa umakini (u-seriousness) kuzuia chanjo?

Mbona mnaanza kumtusi JPM.
 
Kwa hiyo marehemu mwendazake alikosa umakini (u-seriousness) kuzuia chanjo?

Mbona mnaanza kumtusi JPM.

Alidhibiti corona na alijitoa muhanga kwa ajili ya Watanzania walio wengi haijalishi leo kalala kaburini. Hivi kiko kijiji hapa Tanzania chenye huduma ya kiafya (bila kutaja tulioka mjini ambao ni njaa kali na tunaishi kwa kujifukiza) inayoweza kutibu wananchi watakao chanjwa na kupata matatizo kutokana na chanjo? Hawa wananchi ambao wanaendelea na maisha yao wakiwa na afya utakuwa umewaokoa kwa corona au umewahukumu kifo kwa hiyo chanjo ya corona. Kwa nini tukose utu na huruma kwa binadamu wenzetu kiasi hiki? Mungu wa Mbinguni awasaidie mfanye maamuzi sahihi yasiyo na ukakasi.
 
Kwani wewe hii mada yangu imekuumiza?
Viongozi wengi serikalini walishachanja. Tena wengine walichanja kipindi Magufuli akiwa hai. Ndiyo maana ulisikia siku moja akasema kuna watu wamekwenda nje kuchanja na wameleta korona ya ajabu kabisa. Mtu kama Ndugai unafikiri atakuwa hajachanja? Au Kikwete. Hata mama mimi nahisi alishachanja. Kinachofanyika ni maigizo tu. Hakuna watu wenye kuuelewa huu ugonjwa wa korona kama viongozi walioko serikalini. Wengi wanjua idadi halisi ya watu walifariki. Wengi wanajua kutokana na shughuli zao ni rahisi kuambukizwa.
 
Ndio sijaelewa, kama Rais anazindua tarehe 28 mbona ye kishachoma, kapata wapi, au Rais nae kishachoma hiyo 28 ni igizo....hata sijui.
Chanjo za balozi zilikuja siku nyingi hata Lipumba kasema amepata kwenye hospitali ya balozini
 
Viongozi wengi serikalini walishachanja. Tena wengine walichanja kipindi Magufuli akiwa hai. Ndiyo maana ulisikia siku moja akasema kuna watu wamekwenda nje kuchanja na wameleta korona ya ajabu kabisa. Mtu kama Ndugai unafikiri atakuwa hajachanja? Au Kikwete. Hata mama mimi nahisi alishachanja. Kinachofanyika ni maigizo tu. Hakuna watu wenye kuuelewa huu ugonjwa wa korona kama viongozi walioko serikalini. Wengi wanjua idadi halisi ya watu walifariki. Wengi wanajua kutokana na shughuli zao ni rahisi kuambukizwa.

Walichanjwa hii bogus chanjo tunayosukumiziwa na Wamarekani? Washaurini viongozi wetu kwa kweli na haki. Ili muwasaidie na mtusaidie sisi wanaotuongoza. Hivi Mama pamoja na Urais wake, kweli anayo amani moyoni ikiwa sisi anaotuongoza tunapiga mayowe kwa maamuzi ya serikali yake?
 
Hamna kitu hapo ni danganya toto. Wanachanjwa dawa zingine kuhamasisha uma chanjo. Hakuna rais achome hayo madude. Hata huko Ulaya mbele ya camera inaonesha amechanjwa covid ila ki uhalisia kachoma hizi dawa za kawaida

Ni kutimiza tu masharti.
Mko kama wachawi . Mmekuwa wasemaji wa watu wengine.
 
Hata mimi nilidhani rais atakua tayari alisha chanjwa.
jamani ni Johnson and Johnson pekee ambayo ukichanjwa hurudii kuchanjwa, lakin zingine zote unarudia booster baada ya siku 21 au 28! kwa hiyo mambo ni mengi muda ni mchache 😎
 
jamani ni Johnson and Johnson pekee ambayo ukichanjwa hurudii kuchanjwa, lakin zingine zote unarudia booster baada ya siku 21 au 28! kwa hiyo mambo ni mengi muda ni mchache 😎

Wazungu ndio wanao pendelea kuchanjwa mara nyingi hadi mara tatu tatu. Bali hizi nzuri zenye nguvu na bora sana za JJ za kuchanjwa mara moja tu wakaamua wawaletee nyie wapendwa sana wao.

Wachanjeni JJ waswahili hawa wasio jua hili au lile lakini muwe mmejiandaa vizuri kuwakinga na madhara ya hii chanjo. Sijui kama kuna ubishi kuhusu madhara yatokanayo na kuchanjwa kwa JJ.
 
Wazungu ndio wanao pendelea kuchanjwa mara nyingi hadi mara tatu tatu. Bali hizi nzuri zenye nguvu na bora sana za JJ za kuchanjwa mara moja tu wakaamua wawaletee nyie wapendwa sana wao.

Wachanjeni JJ waswahili hawa wasio jua hili au lile lakini muwe mmejiandaa vizuri kuwakinga na madhara ya hii chanjo. Sijui kama kuna ubishi kuhusu madhara yatokanayo na kuchanjwa kwa JJ.
Ndugu yangu, mimi mwenyewe ni mzungu wa reli kuhusu chanjo. ila niliona mahali kuwa chanjo zipo za aina mbili. kuna zingine unachanjwa mara moja na zingine unarudia, ndiyo maana nikatoa hilo dukuduku. Suala la chanjo limekuwa burudani na linafikirisha sana! Kazi iendelee!
 
Hii inashangaza na kufikirisha. Inawezekana vipi ndani ya Tanzania watu wengi wawe wamepata chanjo ya COVID-19 zaidi ya wiki mbili zilizopita huku Rais akiwa bado hajapata? Na hawa ni watu wa kawaida tu ambao wengine hata ajira kwa sasa hawana sema wanatoka katika familia zenye majina makubwa nchini.
Keshokutwa tarehe 28, mwezi huu wa Julai, tumeambiwa kuwa Rais Samia atachanjwa hapa Ikulu ya Dar es Salaam.

Serikali ndo itakuwa inazindua kampeni yake ya chanjo dhidi ya Corona!

Sasa nimewaza tu: ina maana muda wote huu tokea Rais Magufuli afariki, huyu Rais wetu mpya alikuwa hajachanjwa?

Na Pia kumbuka hata barakoa alikuwa havai. Alikuwa anapuyanga tu huku na huko bila chanjo wala tahadhari yoyote ile!

Mara yupo Kariakoo…mara Mbagara [Mbagala]…mara Morogoro…Mwanza…Zanzibar…Nairobi na kwingineko huko.

Kote huko alikuwa anahutubia umati.

Very reckless behavior!

Unless labda alikuwa tayari keshachanjwa na hiyo keshokutwa kutakuwepo na ‘maonyesho’ tu ya kuwa anachanjwa na atachanjwa na dawa feki.

Otherwise, how does one explain her unseriousness?
 
Ma Mkubwa we utachanjwa?
Ah wapi hayo madude staki kusikia.huku kuna upuuzi mwingi bora nyie huko kwenu. ifikapo mwezi wa 9 corona itaenda likizo. Tutapumua kidogo baada ya muda tena itarudi.

Ma dactari walotuhamasisha tutumie njia ya asili na kuponda chango leo ndo wapo mstari wa mbele na machanjo yao.

Hawana msimamo bendera fuata upepo.najiuliza hawa kweli ni professionals? Walishindwa nini kusimamia taaluma yao wakati wa jpm na sasa?

Vip wewe ushachoma chanjo?
 
Keshokutwa tarehe 28, mwezi huu wa Julai, tumeambiwa kuwa Rais Samia atachanjwa hapa Ikulu ya Dar es Salaam.

Serikali ndo itakuwa inazindua kampeni yake ya chanjo dhidi ya Corona!

Sasa nimewaza tu: ina maana muda wote huu tokea Rais Magufuli afariki, huyu Rais wetu mpya alikuwa hajachanjwa?

Na Pia kumbuka hata barakoa alikuwa havai. Alikuwa anapuyanga tu huku na huko bila chanjo wala tahadhari yoyote ile!

Mara yupo Kariakoo…mara Mbagara [Mbagala]…mara Morogoro…Mwanza…Zanzibar…Nairobi na kwingineko huko.

Kote huko alikuwa anahutubia umati.

Very reckless behavior!

Unless labda alikuwa tayari keshachanjwa na hiyo keshokutwa kutakuwepo na ‘maonyesho’ tu ya kuwa anachanjwa na atachanjwa na dawa feki.

Otherwise, how does one explain her unseriousness?
Kwani Mecco alichanjwa?
Mbona hukuwahi kuuliza?
 
Akichanjwa tu tutegemee kumfukia maana hizi chanjo kwa watu walioenda umri zinalala nao mbele.
Museveni kachanja lkn bado yupo anakula bata wake .
Wacha shobo wewe kibwetere
 
Back
Top Bottom