#COVID19 Ina maana muda wote huu Rais alikuwa hajachanjwa?

#COVID19 Ina maana muda wote huu Rais alikuwa hajachanjwa?

Kuchanja hiari Mimi NA familia yangu sichanji
 
Mwaka huu tutakoma kwa maigizo.

Bibi yenu kesho atachoma glucose kama geresha tu.

Baada ya hapo minyumbu isojitambua itaenda kufakamia machanjo OG halafu watasimulia kitakachowapata.

Kama sio kuganda damu basi ni kuganda kinyesi.

Vinyesi vinaumana ndani kwa ndani!
 
Mkuu aliyekudanganya baada ya chanjo ndo unaweza kukata mitaa hivyo Nani? Kuna wamama wawili wamekufariki baada ya chanjo. Viungo vilifell baada ya siku 3. Kumbuka pia Kuna chanjo sampuli India. Ulaya huingii ulichanjwa hiyo sampuliii. Muhimu kwa Rais wa nchi kupata kitu Og.

Mimi Nimepigwa chanjo Zote Mbili. Lakini Sijawahi kufikiri ndo Sasa tuko Safe. Hatuambukiziki wala hatuwezi kuambikiza.

Wacha azindue. Na wanaopenda wakachanjwe. Hapa kwa wauza mkaa wa seid ihr gesund, Kuna wengi sana hawataki hata kusikia mambo ya chanjo. Na waliochanjwa wanaona kama ndo wana haki Zote.
Kwenye Tram Wiki 2 ago, nimejikalia na mask yangu. Kaja jamaa kakaa na mimi mask hata hakuvaa vizuri. Yani hapa nashukuru Mungu Wangu.ä kwamba negative. Mana wewe unajikinga Lakini kuna Mizungu inayoyafanyai hatari.
 
Corona imeanza lini?

Mkuu kama Tz kulikuwa na corona kabla ya Dezember 18. hasa dar. Na dodoma Basi ilikuwa inabagua. Mana nilipimwa huku kwenye es geht mir gut. Nikaenda likizo Pamoja na kutumia bajaji yangu. Lakini nilizuRula sana. Na masks Zote zenye ubora wake nilizokuja nazo na Familia yangu tuliacha kwenye mabegi yetu. Mpirani. Beach. Mahoteli nk. It was einfach a very reckless Life tuliyoaendesha kwa furaha.

Kivumbi Sasa kabla ya kurudi Kupima. Ndo tukaanza kukumhuka. Negative yakaja. Tulipotua München Flughafen . Tukapima. Tukafika Home. Tukakaa ndani siku kadhaa. Tukapima. Fresh. So Kama ilikuwepo Ni kiwango kidogo sana. Au ilikuwa inabaguaaaa. Imagine uwanja wa mkapa. Simba na Yanga. Watoto Wangu walikua wanajichanganya tu.

Sasa at least naambiwa kitu kipo mahali fulani. Na mmoja kafariki nk.
 
Reforms za mbowe kukamatwa kwa ugaidi?!
Ukiachana na issue ya Mbowe ambaye ameonesha direct dissobidience to a 'presidential decree' kuna lingine lipi???

Uwezi ukapingana na Rais hadharani, uhamasishe migomo na maandamano nchi nzima then utegemee wakuache tu uendelee kupeta mtaani ata kama Rais ni mpole kiasi gani. You simply cant get away with such stuff. Uhuru wa kuijieleza unaendana na wajibu na demokrasia ina mipaka yake, Ili la Mbowe amejitakia mwenyewe
 
Kwani wewe hii mada yangu imekuumiza?
Niwe mkweli, kwasasa hatuna rais bali tuna rahisi, hii nchi itachezewa sana...mfano mzuri uropokaji wa wazi umeanza hebu tuone kama atakemea kauli za akina Gwajiboy.

Hamaanishi hata kidogo ktk vita dhidi ya corona.
 
Niwe mkweli, kwasasa hatuna rais bali tuna rahisi, hii nchi itachezewa sana...mfano mzuri uropokaji wa wazi umeanza hebu tuone kama atakemea kauli za akina Gwajiboy.

Hamaanishi hata kidogo ktk vita dhidi ya corona.
Kesho kuna watu watasutwa 🤣. We subiri tu…utaona!

 
Sasa unauliza swali kama hilo kwa mtu ambae alikuwa katika Serikali ambayo ilikuwa haiamini katika chanjo?!
 
Keshokutwa tarehe 28, mwezi huu wa Julai, tumeambiwa kuwa Rais Samia atachanjwa hapa Ikulu ya Dar es Salaam.

Serikali ndo itakuwa inazindua kampeni yake ya chanjo dhidi ya Corona!

Sasa nimewaza tu: ina maana muda wote huu tokea Rais Magufuli afariki, huyu Rais wetu mpya alikuwa hajachanjwa?

Na Pia kumbuka hata barakoa alikuwa havai. Alikuwa anapuyanga tu huku na huko bila chanjo wala tahadhari yoyote ile!

Mara yupo Kariakoo…mara Mbagara [Mbagala]…mara Morogoro…Mwanza…Zanzibar…Nairobi na kwingineko huko.

Kote huko alikuwa anahutubia umati.

Very reckless behavior!

Unless labda alikuwa tayari keshachanjwa na hiyo keshokutwa kutakuwepo na ‘maonyesho’ tu ya kuwa anachanjwa na atachanjwa na dawa feki.

Otherwise, how does one explain her unseriousness?

Kama wanaweza kutengeneza wanachama fake wa Chadema na kuwaonyesha mtandaoni kuwa ni OG watashindwaje kutuonyesha akichomwa maji?
 
Kwa hiyo siyo kwamba nimechanjwa kisa ninaogopa corona. Nimechanjwa kuepuka usumbufu tu maana nyumbani watoto lazima wale na waende shule!

Nikiacha kazi wewe utanilipia ada za watoto shule?
Pole sana, kwa kudungwa...
 
Huelewi!

Ndiyo, chanjo ni hiari. Hakuna mtu anayewekewa mtutu wa bunduki kumlazimisha achanje.

Lakini pia, mtu inategemea na unafanya shughuli gani maishani mwako.

Waajiri wengi sasa hivi wanawataka waajiriwa wao wachanjwe. Ila hawakulazimishi.

Kama hulipendi hilo takwa lao, basi, acha kazi hapo, nenda kwingine.

Mimi nimechanja kwa sababu ya convenience. Kazi yangu inanisafirisha sana.


Chanjo yenyewe ni bure. Wala sijadhurika kwa namna yoyote ile.

Kwa hiyo siyo kwamba nimechanjwa kisa ninaogopa corona. Nimechanjwa kuepuka usumbufu tu maana nyumbani watoto lazima wale na waende shule!

Nikiacha kazi wewe utanilipia ada za watoto shule?

Kama Mimi tu, hapa mwajiri alinipa ultimatum au kuchanjwa au kurudi Tanzania, nikiangalia nina mke, mtoto, ujenzi, wazazi n.k ikabidi niwe mpole tu. Leo naenda 2nd dose; Pfizer.
 
Huelewi!

Ndiyo, chanjo ni hiari. Hakuna mtu anayewekewa mtutu wa bunduki kumlazimisha achanje.

Lakini pia, mtu inategemea na unafanya shughuli gani maishani mwako.

Waajiri wengi sasa hivi wanawataka waajiriwa wao wachanjwe. Ila hawakulazimishi.

Kama hulipendi hilo takwa lao, basi, acha kazi hapo, nenda kwingine.

Mimi nimechanja kwa sababu ya convenience. Kazi yangu inanisafirisha sana.


Chanjo yenyewe ni bure. Wala sijadhurika kwa namna yoyote ile.

Kwa hiyo siyo kwamba nimechanjwa kisa ninaogopa corona. Nimechanjwa kuepuka usumbufu tu maana nyumbani watoto lazima wale na waende shule!

Nikiacha kazi wewe utanilipia ada za watoto shule?
Mixed feelings
 
We nawe labda ukute hukuwa hapa nchini?
Kuna mtu anavaa barakoa nchi hii kama Samia!?
Yaani anaina fashion kila mahali yuko nayo. Huko Mbagala,Gairo,sijui wapi alikua anavaa.....na ikitokea anahutubia alikua kwenye gari. Umbali uliopo kutoka alipo na kwa wananchi ni mbali mno.

Acha achanjwe. Sijui itokee nini kila anayechanjwa awehuke au aanza kua shoga!!!!
Basi tu.
Nimeona video moja wazungu wanasema wanataka kupunguza watu bilioni tatu duniani,na wataanza na Africa.
Nyingine Biden anasema chanjo ya corona siyo authorised kutumika US,wataigawa kwanza kwa nchi marafiki,na sisi tumekua marafiki.
IMG-20210725-WA0010.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunachojua alifànya ziara Kenya mara tu baada ya kuapishwa na yawezekana huko ndiko alikomezeshwa haya yatokanayo na chanjo tunayoendelea kuyashuhudia hapa nchini.

Ukichanjwa chanjo ya corona uko uwezekano wa kuambukiza wanao kuzunguka. Nauliza swali je kuna hiari tena ya kuchanja ama kutokuchanja kwa wasaidizi wa Rais? Si lazima sasa nao wawe wamechanjwa? Kwa ambaye hiari yake ilikuwa ni kutokuchanjwa na akalazimika kuchanjwa ili aliende kibarua atakuwa na amani tena na kuwa msaidizi kwa moyo na akili zake zote? Au atakuwa msaidizi shingo upande?

Watanzania tujiulize swali hili. Tumechanjwa chanjo za ndui, surua, polio nk. Nani baada ya kuchanjwa chanjo hizi aliambukiza wenzake? Kwa nini chanjo ya corona iwe na tabia nchi tofauti na chanjo nyingine?

Muwe na sikukuu ya mashaka makubwa, mahangaiko ya moyoni lukuki na huzuni kuu katika kusimikwa rasmi chanjo ya corona nchini.
 
Back
Top Bottom