#COVID19 Ina maana muda wote huu Rais alikuwa hajachanjwa?

#COVID19 Ina maana muda wote huu Rais alikuwa hajachanjwa?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Keshokutwa tarehe 28, mwezi huu wa Julai, tumeambiwa kuwa Rais Samia atachanjwa hapa Ikulu ya Dar es Salaam.

Serikali ndo itakuwa inazindua kampeni yake ya chanjo dhidi ya Corona!

Sasa nimewaza tu: ina maana muda wote huu tokea Rais Magufuli afariki, huyu Rais wetu mpya alikuwa hajachanjwa?

Na Pia kumbuka hata barakoa alikuwa havai. Alikuwa anapuyanga tu huku na huko bila chanjo wala tahadhari yoyote ile!

Mara yupo Kariakoo…mara Mbagara [Mbagala]…mara Morogoro…Mwanza…Zanzibar…Nairobi na kwingineko huko.

Kote huko alikuwa anahutubia umati.

Very reckless behavior!

Unless labda alikuwa tayari keshachanjwa na hiyo keshokutwa kutakuwepo na ‘maonyesho’ tu ya kuwa anachanjwa na atachanjwa na dawa feki.

Otherwise, how does one explain her unseriousness?
 
Kwani kipindi anazunguka si kulikuwa hakuna corona ?

Pia ripoti ya kamati ya mambo ya corona ilikuwa bado haijatoka, hata hivyo usiwe na wasiwasi makamu wake ana antibodies za ile wave ya mwezi wa pili😂😂😂
 
Kwani kipindi anazunguka si kulikuwa hakuna corona ?

Pia ripoti ya kamati ya mambo ya corona ilikuwa bado haijatoka, hata hivyo usiwe na wasiwasi makamu wake ana antibodies za ile wave ya mwezi wa pili😂😂😂
Corona imeanza lini?
 
Jibu swali wewe acha kukimbiakimbia kama nguchiro.

Unafikiri huyo mama ni mzembe kama yule jamaa yenu jiwe aliyeidharau corona akishia kufukiwa kawaacha wakiwa mnalialia.
Mbona unatoa povu jingi hivyo?
 
Back
Top Bottom