mpolekabisa
Senior Member
- Oct 18, 2023
- 161
- 225
Biblia inasema kwenye Zaburi 24:1. "Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu .........".
Kuna watu wanaamini kabisa kuwa hakuna Mungu!! Wanashawishika kwa mioyo yao yote kuwa hakuna Mungu!! Ukimwuliza kwa nini vitu vilivyopo ulimwenguni huitwa VIUMBE? Maana yake vimeumbwa, je muumbaji ni nani? atakuambia vimetokea tu, kwa mabadiliko (evolution). Lakini hicho kilichopitia mabadiliko kilitokeaje? hapo hana jibu!
Ni sawa na mtu akawa na kitabu cha hadithi fulani halafu mtu akadai kilitokea tu wala hakuna mtunzi!!
Ni mpumbavu tu mtu anayeweza kuamini hivyo!!
Kuna watu wanaamini kabisa kuwa hakuna Mungu!! Wanashawishika kwa mioyo yao yote kuwa hakuna Mungu!! Ukimwuliza kwa nini vitu vilivyopo ulimwenguni huitwa VIUMBE? Maana yake vimeumbwa, je muumbaji ni nani? atakuambia vimetokea tu, kwa mabadiliko (evolution). Lakini hicho kilichopitia mabadiliko kilitokeaje? hapo hana jibu!
Ni sawa na mtu akawa na kitabu cha hadithi fulani halafu mtu akadai kilitokea tu wala hakuna mtunzi!!
Ni mpumbavu tu mtu anayeweza kuamini hivyo!!