Inabidi mtu awe mpumbavu kushawishika na kusema kuwa hakuna Mungu!

Inabidi mtu awe mpumbavu kushawishika na kusema kuwa hakuna Mungu!

Wao wenyewe walitoka wapi? Usifanye hili swali rahisi lionekane gumu.


Uhai ni nini na nini chanzo chake?


Hiyo ni mitazamo potofu kuhusu Mungu, na wala Mungu haishi kwa vigezo vyako wewe.
Mungu hayupo. Ova
Mbona kila mkiulizwa alipo hamtaki kutuelekeza mnabaki tu kupiga chenga? Tutafataje mtu/kitu na matakwa yake bila kujua alipo na kujihakikishia uwepo wake? Mna nini lakini? Kisa tu tuunge tela? Hatudanganyikiii


Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee uliodumu kwa muda mrefu ni huu:

Hebu fikiria unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwa ajili yetu na ana mpango wa kuiangamiza kwa moto.

Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza(kama vile hajielewi),

Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na uwezo wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyotaka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini,umalaya,ukahaba, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani (magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani( inaelekea huyu hajiwezi mpaka awe na msaidizi mhuni,amuache tu amchanganyie habari)

Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye(lipo wazi huyo shetani anamzidi nguvu na uelewa) na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni(kama nyoka tunayemjua ndo alikuwa anaishi na huyo Mungu na kusaidizana nae, vuta hiyo picha), na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair



Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima

Na kibaya zaidi unatakiwa tu kumuamini, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna mtoto wa fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... Seriously ?

Akaitwa neno. Neno huyo alikua Mungu, mtoto wa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani na akapatikana. Shetani aliemuumba mwenyewe ndo akawa amemmaliza.

Mtoto huyu wa fundi kampenta, hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu dogo huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”

Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk



Hebu fikiria huko Arabia kuna maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakaopinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mabikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu.

Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa. Hatujawahi sikia aliyekufa akirudi kuhadithia hayo maisha ya badae

Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoagiza ili ukale bata sana baada ya kufa
 
Wewe mwenyewe unayesema kuna mungu huna uhakika, unatuaminishaje tusioamini hilo
 
Wewe mwenyewe unayesema kuna mungu huna uhakika, unatuaminishaje tusioamini hilo
Anachotaka tu we amini. Ukimuuliza sababu za kukufanya uamini,hapo hapo anakuuliza sababu za wewe kutomuamini.
 
Mungu hayupo.
Mbona kila mkiulizwa alipo hamtaki kutuelekeza mnabaki tu kupiga chenga? Tutafataje mtu/kitu na matakwa yake bila kujua alipo na kujihakikishia uwepo wake? Mna nini lakini? Kisa tu tuunge tela? Hatudanganyikiii
Tulishakuthibitishieni mara nyingi kwamba kuna sababu chungu nzima za uwepo wa Mungu. Ntakutajia mbili hapa.

Mojawapo, uumbaji. Mimi na wewe, pamoja na ulimwengu, tupo kwa sababu Mungu ametuumba.

Pili, wale wanaoupinga uwepo wa Mungu, hueneza hizo kauli midomoni tu.

Hawajawahi kuweka uthibitisho wala hawawezi kamwe kuthibitisha kwamba Mungu hayupo. Hii hushamirisha zaidi ukweli wa uwepo wa Mungu.

Wewe mwenyewe unayesema kuna Mungu huna uhakika, unatuaminishaje tusioamini hilo
Niambie ulikotoka wewe. Mungu kakuumba ndiyo maana upo. Bila Yeye, usingekuwepo. Hapo hakuna ubishi.

Anachotaka tu we amini. Ukimuuliza sababu za kukufanya uamini,hapo hapo anakuuliza sababu za wewe kutomuamini.
Katika mantiki ya kujenga hoja, swali kwa swali hukusudiwa kukufikirisha na kuibua jibu sahihi.

Kwa hiyo usikimbie maswali; jibu kadiri ujuavyo.

Unapotamka kauli fulani, ifuatishie hoja ama sababu yenye mashiko.

Sisi tumesema Mungu ni Nafsia Turufu (Superior Personal Being), mwenye uweza wote na ndiye Mhuluku wa ulimwengu na vyote vilivyomo.

That makes sense, right?

I mean, you don't have to always prove that a particular car has it's designer. When we see one, we undoubtedly know there is a designer.

What is so hard, then, when it comes to God being the sole Creator of the universe?

Open your blurred eyes!

Ili ushike dini lazima uwe mjinga kwanza
I beg to defer with you. True religion is mostly sensible and well-balanced.

It fully answers all questions that you may have, to your satisfaction.

For example, why is there suffering in the world given that God is all-loving, benevolent, holy, mighty, and omniscient?

The reason is simple and yet very profound. God, being unselfish and all-loving, would never have created beings (humans and angels) that are preprogrammed to worship Him merely for the sake of it.

Love doesn't work that way. We all know it. And love is the most precious attribute of God without which all others, including power, holiness and eternity do not make any sense.

Only beings who were created in His image, endowed with the freedom of choice -- willing to choose whether to worship God or not -- could fulfill the true meaning of love.

The opposite is dictatorship. But God is only interested in willing, not forced, obedience.

God is very pleased when we voluntarily choose to love Him because we understand that He deserves it.

It's the same precious gift of freewill, once abused by Lusifer, that lends us a satisfactory explanation regarding the origin of evil and the cause of suffering, atrocities, and death.

This angel chose to learn his lessons the hard way, eventually dragging everyone of us into the debacle.

He lost his trust in God, by surmising that God had withheld some wonderful knowledge on the other side of his world. How strangely wrong was he!

These similar presuppositions were engendered and indulged by Adam and Eve just before their fatal transgression and fall in the beautiful Garden of Eden.

They had been warned by God that should they disobey Him, they would open a pandora box of good and evil.

They, being irresponsibly curious and at the same time nudged into it by the Devil in the form of a serpent, quckly fell into the same trap.

Good news? There is a way out of all this. God through Jesus Christ has made an ample provision by which sin won't be an intruder again forevermore.

Thank God we're not some mindless drones. Thank God for the gift of freewill!
 
Ni dhahiri kabisa kwamba Mungu yupo na Yesu Kristo mwana wa Mungu alikuja kuwa mkombozi wa wanadamu. Sasa shetani anatumia nguvu nyingi sana kwa kutumia watu kuupinga huu ukweli kwamba hakuna Mungu na hakuna Yesu Kristo mwana wa Mungu. Ndiyo maana kuna sehemu ukisema wewe ni mkiristo unakatwa shingo. Shida siyo hao watu bali ni shetani aliye ndani yao hataki watu wajue ukweli.
"Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu, mngenipenda mimi; kwa maana nilitoka kwa Mungu, nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma. 43 Mbona hamyafahamu hayo niyasemayo? Ni kwa sababu ninyi hamuwezi kulisikia neno langu. 44
Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo. 45 Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki. 46 Ni nani miongoni mwenu anishuhudiaye ya kuwa nina dhambi? Nami nikisema kweli, mbona ninyi hamnisadiki? 47 Yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu; hivyo ninyi hamsikii kwa sababu ninyi si wa Mungu.". (Yohana 8.44-47)
 
Ni dhahiri kabisa kwamba Mungu yupo na Yesu Kristo mwana wa Mungu alikuja kuwa mkombozi wa wanadamu. Sasa shetani anatumia nguvu nyingi sana kwa kutumia watu kuupinga huu ukweli kwamba hakuna Mungu na hakuna Yesu Kristo mwana wa Mungu. Ndiyo maana kuna sehemu ukisema wewe ni mkiristo unakatwa shingo. Shida siyo hao watu bali ni shetani aliye ndani yao hataki watu wajue ukweli.
"Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu, mngenipenda mimi; kwa maana nilitoka kwa Mungu, nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma. 43 Mbona hamyafahamu hayo niyasemayo? Ni kwa sababu ninyi hamuwezi kulisikia neno langu. 44
Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo. 45 Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki. 46 Ni nani miongoni mwenu anishuhudiaye ya kuwa nina dhambi? Nami nikisema kweli, mbona ninyi hamnisadiki? 47 Yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu; hivyo ninyi hamsikii kwa sababu ninyi si wa Mungu.". (Yohana 8.44-47)
Yesu mwana wa Mungu. Mke wa mungu huyo ni nani? Walihamia mtaa gani? Kwa sasa wanakaa wapi!
 
Mtu kuamini MUNGU hayupo sidhani kama ni ukaidi Bali ni Imani Kwa maana MUNGU huyo huyo kamuumba uyo mwanadamu Hali ya kuamini na kutokuamini sasa sijajua apo kosa likoap🤔
 
Mungu Yupo, kama ambavyo TUMEAMINISHWA NA KUAMINI.

Kama hutaki kuamini Mungu Yupo Anza kwanza KUMKANA babayako.

Amekuwa babayako sababu ya KUAMINISHWA si kitu kingine chochote.

Hata Mama yako UMEAMINISHWA HIVYO.


KUAMINI ni kuaminishwa na kukubali MUNGU MUWEZA WA YOTE YUPO.
Baba na mama unawaona kabisa unakua nao unajua huyu baba na uyu ni mama kwani mtoto mchanga anaminishwa kwamba uyu ni mama yake 🤔? . Swala la uwepo wa MUNGU ni Imani Wala hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupo.
 
Ko kama shetani anatumia nguvu kumwaminisha mwanadamu MUNGU hayupo basi huyo mwanadamu Hana kosa ni nguvu ya shetani ndo imempotosha
 
Baba na mama unawaona kabisa unakua nao unajua huyu baba na uyu ni mama kwani mtoto mchanga anaminishwa kwamba uyu ni mama yake 🤔? . Swala la uwepo wa MUNGU ni Imani Wala hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupo.
Uhakika upi? Kwamba hao ulionao ndo wazazi wako? Na wao ni uhakika upi kwamba ww ni mtoto wao!!
 
Duuh asee hii ni shida? ametulia tu huko alipo mbona asije atutembelee kwani ugumu upo wapi? mbona ametuacha kama vile hatutaki kabisa kwanini au hayupo???
 
Biblia inasema kwenye Zaburi 24:1. "Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu .........".

Kuna watu wanaamini kabisa kuwa hakuna Mungu!! Wanashawishika kwa mioyo yao yote kuwa hakuna Mungu!! Ukimwuliza kwa nini vitu vilivyopo ulimwenguni huitwa VIUMBE? Maana yake vimeumbwa, je muumbaji ni nani? atakuambia vimetokea tu, kwa mabadiliko (evolution). Lakini hicho kilichopitia mabadiliko kilitokeaje? hapo hana jibu!

Ni sawa na mtu akawa na kitabu cha hadithi fulani halafu mtu akadai kilitokea tu wala hakuna mtunzi!!

Ni mpumbavu tu mtu anayeweza kuamini hivyo!!
Inawezekana kabisa wanaoamini na wasioamini wote wakawa wapumbavu
 
Ni kheri kuamini yupo utakapokufa ukamkosa kuliko kuamini hayupo ukafa ukamkuta 😂😂😂...
 
Ushauri; kama ww una amini kuwa hakuna MUNGU basi kuwa na busara usianze kutukana huyu MUNGU wanaomuabudu wengne, pia usiweke visisitizo eti hayupo na hatoweza kuepo🤔 VP akiwepo utamueleza nn?
 
Back
Top Bottom