mpolekabisa
Senior Member
- Oct 18, 2023
- 161
- 225
Since akamatwe na kupigwa faini, amekuwa mpole sanaa.🤣🤣🤣Kiranga unaitwa huku [emoji23][emoji23]
Unaelewa kwamba, ukitoa hoja kwamba vilivyo complex haviwezi kuwepo tu, ni lazima viwe vimeumbwa, hapo umetoa hoja kwamba Mungu muumba vyote hawezi kuwepo?Biblia inasema kwenye Zaburi 24:1. "Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu .........".
Kuna watu wanaamini kabisa kuwa hakuna Mungu!! Wanashawishika kwa mioyo yao yote kuwa hakuna Mungu!! Ukimwuliza kwa nini vitu vilivyopo ulimwenguni huitwa VIUMBE? Maana yake vimeumbwa, je muumbaji ni nani? atakuambia vimetokea tu, kwa mabadiliko (evolution). Lakini hicho kilichopitia mabadiliko kilitokeaje? hapo hana jibu!!
Ni sawa na mtu akawa na kitabu cha hadithi fulani halafu mtu akadai kilitokea tu wala hakuna mtunzi!! Ni mpumbavu tu mtu anayeweza kuamini hivyo!!
Thibitisha Mungu yupo, usipige mahubiri tu.Mungu yupo mjombaa!
!!Luka 6:12
Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu
Thibitisha Mungu yupo, usipige mahubiri tu.
LIKUDUnaelewa kwamba, ukitoa hoja kwamba vilivyo complex haviwezi kuwepo tu, ni lazima viwe vimeumbwa, hapo umetoa hoja kwamba Mungu muumba vyote hawezi kuwepo?
Unaelewa mantiki hii au unahitaji kufafanuliwa zaidi uelewe?
Huu ndio uthibitisho wako kwamba Mungu yupo?
Kwanza kabisa hakuna imani ya kwamba hakuna Mungu!!Biblia inasema kwenye Zaburi 24:1. "Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu .........".
Kuna watu wanaamini kabisa kuwa hakuna Mungu!! Wanashawishika kwa mioyo yao yote kuwa hakuna Mungu!! Ukimwuliza kwa nini vitu vilivyopo ulimwenguni huitwa VIUMBE? Maana yake vimeumbwa, je muumbaji ni nani? atakuambia vimetokea tu, kwa mabadiliko (evolution). Lakini hicho kilichopitia mabadiliko kilitokeaje? hapo hana jibu!
Ni sawa na mtu akawa na kitabu cha hadithi fulani halafu mtu akadai kilitokea tu wala hakuna mtunzi!!
Ni mpumbavu tu mtu anayeweza kuamini hivyo!!
Uko mlimani yesu alienda na nani?Mungu yupo mjombaa!
!!Luka 6:12
Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu
Uko mlimani yesu alienda na nani?
Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu hakuna cha mungu wala shetani hawapo.
Biblia na Quran ni vitabu vya kutunga, havina muunganiko ulionyooka na unaoeleweka.
Kama unataka kum-refer mungu alieandikwa kwenye quran ama biblia, huyo hayupo na hajawahi kuwepo. Ni fiction figure tu.
Thibitisha kwamba Mungu hayupo. Acha porojo wewe.Biblia ni nini? Kaandika nani?
Kwa nini asiwe mpumbavu anaeaminishwa kuwa Mungu yupo? Huku akiulizwa Mungu ni nini na yuko wapi hajui!?