Nina miaka minane Sasa toka nitoke kwenye ujinga mkubwa wa misamiati mungu shetani na malaika najiona mwepesi siku hizi vilinipotezea muda sana niseme tu kwamba kama Bado unatumia hiyo misamiati wewe ni mjinga wa kiwango Cha juu sana hatakama unaelimu ya juu kiasi gani mungu mwenyewe anaitwa wa Ibrahim Isaka na Yakobo afu unakuta mjinga mmoja anataka hadi kupigana kwa ajili ya stori za kubuni jamani