Tetesi: Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu

Je mtu huyu ni nani?



Ningependa kujua huyu mwenye t-shirt ya bluu ni nani.
Hiyo sura yake tu imejaa roho na damu za watu.

Asiyejulikana huyu, maana siku zile Mwigulu alikiri kuwa hajulikani
 
Huyu ni mjukuu wa faru John. Ila ana genetix za papa - fahali au bullshark kwa kilatini[emoji6] [emoji12] [emoji12]
 
Siku hawa watu wakifa,wapinzani wasitoe pole wala kuhudhuria msiba wao.
 
View attachment 727156duh leo sniper ,,sijui bashite kampa maagizo gani,walimkosa kwenye ujinga wa list ya madawa sijui itakuwaje ha,sniper anaaangalia kwa jicho la machuki na roho nyeusi ya kikolomije kabisa


Jicho lake liko makini kwa mbowe

Na huo mkono wa kushoto ni kama alivyo mchomolea nape bastola.

Inaonekana huyu jamaa mkono wake wa kushoto uku active sana
 
Mhh,lets wait kama kweli ,
 
MUNGU HUWA HACHEZEWI NA MWANADAM,WAUWAJI NA WATESAJ RAIA WANAANZA KU0NEKANA HADHARANI SASA SUBIRIN MUONE!MBONA 26 SIO MBALI?
 
Si mukamshitaki...au siku hizi hamna mawakili wasomi?
 
A
MINA BARIKIWA!MUNGU HAWAACHI WENYE HAKI WAPOTEE!
 
POLE K
POLE KWA KUMPOTEZEA MAMAAKO NA KUMTESA UJE DUNIAN HUKU UKIWA HIVYO!UMEWAPA SHIDA SANA HALAFU MATOKEO YAKE NDIO HAYO
 
Kiasi unachunguza watu si ukafanye kazi upate ulaji au na ww ni mmoja wa walio fukuzwa kazi...wabongo bhana. Rudini vijjini mjini hakuna dili mnakalia majungu tuuu huku umri unaenda.
 
Hao inaonekana ni kikundi fulani cha uhalifu hawazidi kumi ndio wapo kwa ajili ya yeyote anaepinga matamko ya Mkulu...ngoja niishie hapa hasira tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…