Silent Mafia
Member
- Dec 6, 2017
- 45
- 19
I FULLY AGREE WITH YOU.Hawa watu zamu yao inakuja.
Nasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.
Those who do not want political changes to occur in our country, are the ones who unknowingly facilitating those changes.
This arrogance and complacency that they are showing us today, will one day be responsible for their downfall.
They are complacent about remaining in power till the day this world comes to an end something that is not true at all and that is even against the laws of nature.
Mawazo yako ni ya mtu aliye kata tamaa! Dua la kuku...Hawa watu zamu yao inakuja.
Nasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.
Those who do not want political changes to occur in our country, are the ones who unknowingly facilitating those changes.
This arrogance and complacency that they are showing us today, will one day be responsible for their downfall.
They are complacent about remaining in power till the day this world comes to an end something that is not true at all and that is even against the laws of nature.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji23][emoji23][emoji23],wame-beep wakapigiwaMpaka 29/3
Muache kuweweseka,kila siku jamaa aliemtolea nape bastola,hamuweki picha wala jinaYule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwa hiyo jamaa alitaka kula matikiti yote hayo !![emoji15]Huyo hapo na cap zake za kikolomijeView attachment 727067View attachment 727077
Damu ya mwanadamu aliyezaliwa kutokana na muunganiko wa Baba na Mama huwa inalia kwa sauti sana,refer to Habili na Kaini...,Mungu alimwambia Kaini "nasikia damu ya ndugu yako inanililia kutoka ardhini" kwa maana hyo ukimwaga damu ya m2 asiye na hatia mabara yote,nchi zote,makanisa yote,misikiti yote itajuaMbona hujaweka picha ya unavyodai tujionee wenyewe.. endeleeni kudanganyana tu..
Kwani da mange anasemaje?[emoji13] [emoji13] [emoji13]View attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
*About the villainous king Geoffrey of game of thrones*,View attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Tetesi tu mapovu fuso![emoji13] [emoji13] [emoji13]View attachment 726981
Kuna tetesi zinadai kwamba yule jamaa aliyetumwa na bashite kumtolea bastora Nnape Nnauye Ndio huyo hapo nyuma ya viongozi wa Chadema wkt wanapelekwa mahakamani.
Kwanini yuko hapo ? Yeye ni nani ? Katumwa na nani ?
Henry Kisanduku mtu aliyemchomolea bastola Nape Nnauye na kutishia kumpiga risasi, ndiye aliyepewa jukumu la kuwapeleka akina Mbowe mahakamani kutoka kituo kikuu cha Polisi Dar. Mwaka jana Waziri Mwigulu Nchemba alikanusha vikali kwamba mtu huyo si askari polisi.
Ikiwa si polisi kama alivyosema Nape, kwanini afanye kazi za Polisi? Kwanini apewe jukumu la kuwaescort akina Mbowe kwenda mahakamani? Polisi wamempaje kazi mtu asiye polisi apeleke watuhumiwa mahakamani? Huu ujasiri wa kufanya kazi za polisi wakati si polisi ameutoa wapi? Na kwani ni kwenye kesi ya akina Mbowe na si nyingine? I smell something fishy.!!
Kwanini asitoe kitambulisho, atoe bastora yani ata mtoto wa miaka 7 anakushinda akiliUnasema alichomoa bastola na kutishia kumpiga nape.!! We ni KE au ME?? Hivi uliona vizuri..aliitoa baada ya nape kumuuliza ye ni nani..kwamba ye ni mwana usalama ndio maana yuko pale..na aliitoa na kuirudisha kiunoni mara moja.
Kalale mke wangu,kesho naja kwenu kumalizia posa nikuoe na watoto unizalie...basi nyamaza baby wangu!serikali inaona inawakomoa kumbe inawakomaza, shit hole
Aisee mwongeze tusi lingine afu kaagize kinywaji mi nitalipa! Mijitu ya ccm inaboa sanana wewe fala tu sasa mbona waziri alikataa kwamba sio mwanausalama
Utadhani haioni kinachoendelea nchiniAisee mwongeze tusi lingine afu kaagize kinywaji mi nitalipa! Mijitu ya ccm inaboa sana
Kama Daudi na dadi ake wataridhia!Mpaka 29/3
Kina Mbowe au, unawageuka sasaNasisitiza tena kuwa,Mungu kawanyima hawa watu maarifa ili waanguke.
Hata Mugabe na wafuasi wake walikuwa na mawazo kama yako ila leo hii Mugabe analalamika kutendewa vivyo sivyo huku mke wake akichunguzwa kwa kujihusisha na biashara ya pembe za ndovu.Mawazo yako ni ya mtu aliye kata tamaa! Dua la kuku...
utabakia hivyo hivyo kutoelewa unapopelekwa, msafara wa mamba na makenge kama nyie hamkosekaniKalale mke wangu,kesho naja kwenu kumalizia posa nikuoe na watoto unizalie...basi nyamaza baby wangu!
Sasa simumuachie (matekani) huyo dereva wa Lissu akamtambue? Kwa nini mnaendelea kumficha dereva huyo? Yaani hata mke wake na watoto wake hawajui aliko? Na hawajui kama yu mzima. Polisi wamemsaka kila mahali hawampati. KKKT wala hawajakemea au kuliona hili.Huyo ndio hao wasiojulikana. ile deckorder ya cctv pale Dodoma ndio mpango mzima.