Freedom of speech,sijabadilika wala nini.Mimi siongonzwi na hisia za vyama kama nyie. So Magufuli akifanya poa namsifia. Mbowe pia akifanya poa namsifia and vice versa.Kabadilika ghafla huyu, sijui masahibu yepi yamemkuta na kuanza kusupport MUOVU.
Yaani hunaga kingine cha kuongea zaidi ya kuniambia uzee. Nilishakuambia mimi mzee.Kila siku ukiniquote ni uzee uzee. Jamani wewe. This is last time nakureply kuhusu uzee unless uandike vitu vingine. Stress mbaya. Upo wapi tukapate bia mbili tatu Tabata?
Tunapenda kila mhalifu awajibishwe ila sio kwa visasi.Chadema bana...yaani ni rahisi sana nyie kudanganywa...hata ikiwa hivyo hamuoni kuwa ni sawa kwa wakosaji kuwajibishwa?
Sote tunajua kwa uhakika kuwa Mh. B. W. Mkapa alijimilikisha Kiwira Coal Mine. Ngoja nisubiri kitachojiri.Kama alihujumu kweli ni haki yake ya msingi akishtakiwa.
Habari wakuu,
Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti
Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.
Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.
Freedom of speech,sijabadilika wala nini.Mimi siongonzwi na hisia za vyama kama nyie. So Magufuli akifanya poa namsifia. Mbowe pia akifanya poa namsifia and vice versa.
Haihusiani? Ni wangapi wanaface sharia kukiwa na ushahidi? Una ushahidi peleka kwa DPP kesi itafunguliwa. Two wrongs dont make a right.
Ww labda tukienda huko umeme uwe umekatika. Na watu wakiniuliza nawaambia ni bibi yangu kaja kwenye tiba taasisi ya Jakaya.
Unaumwa wewe,siyo bure.
Unafaa uwe diwani una akili sana, wengi hawaoni hiloMembe atagombea Urais wa TZ kupitia ACT-Wazalendo.
Hii ni mbinu ya kuzigawa kura kutoka kambi ya upinzani.
Makosa yaliyofanyika kwa Lowassa hayawezi kufanyika tena ambapo kunakuwa mgombea mmoja pekee mwenye nguvu kutoka upinzani.
Wakati CDM wameamua Lissu awe mgombea wao, CCM lazima wazigawe kura zake.
Watu wanacheza ngoma za CCM bila kujua!
Siasa ni sayansi na sio uanaharakati na ushabiki!
Huna jipyaUshahidi wa kuhusu Bugirichato na wizi na ufisadi wake uko wazi kabisa mpaka kwenye ripoti za CAG usijifanye hulijui hilo. Hayuko juu ya sheria kwa maovu yake mbali mbali aliyotutendea Watanzania in trillions.
CAG,6.5 Trillions same shits every where. Ila kuna mazuri kama Sitigilas goji,SGR,mabarabara,hospital,utawala bora.Huna jipya
Huna jipya
CAG,6.5 Trillions same shits every where. Ila kuna mazuri kama Sitigilas goji,SGR,mabarabara,hospital,utawala bora.
Na huyo mwingine ni fisadi au sio fisadi?Je Membe ni fisadi siyo fisadi?
Umekuja kasi balaa, umewapita wale wote maarufu wa Lumumba.!CAG,6.5 Trillions same shits every where. Ila kuna mazuri kama Sitigilas goji,SGR,mabarabara,hospital,utawala bora.
Habari wakuu,
Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti
Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.
Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.
Ogopa sana mlokole akianza kunywa pombe ni aibu.![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya pita lumumba kesho mapema ukachukue buku 7 zako kwa kuniambia mie sina jipya bali weye ndiyo mwenye jipya la kutumika na nduli kutetea maovu yake.
Hawezi akashinda - kwa sababu Membe siyo maarufu tena. Ni sisi humu ndani ya JF tunaojua Membe bado anaishi. Jamii nyingine haimjui tena.Wapinzani watasiamamisha mgombea mmoja
Membe atakwenda kuchuana humohumo ndani ya CCM