Tetesi: Inadaiwa Bernard Membe atakuja kufunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Tetesi: Inadaiwa Bernard Membe atakuja kufunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Kabadilika ghafla huyu, sijui masahibu yepi yamemkuta na kuanza kusupport MUOVU.
Freedom of speech,sijabadilika wala nini.Mimi siongonzwi na hisia za vyama kama nyie. So Magufuli akifanya poa namsifia. Mbowe pia akifanya poa namsifia and vice versa.
 
Yaani hunaga kingine cha kuongea zaidi ya kuniambia uzee. Nilishakuambia mimi mzee.Kila siku ukiniquote ni uzee uzee. Jamani wewe. This is last time nakureply kuhusu uzee unless uandike vitu vingine. Stress mbaya. Upo wapi tukapate bia mbili tatu Tabata?

Ww labda tukienda huko umeme uwe umekatika. Na watu wakiniuliza nawaambia ni bibi yangu kaja kwenye tiba taasisi ya Jakaya.
 
Chadema bana...yaani ni rahisi sana nyie kudanganywa...hata ikiwa hivyo hamuoni kuwa ni sawa kwa wakosaji kuwajibishwa?
Tunapenda kila mhalifu awajibishwe ila sio kwa visasi.

Halafu wapi umeona mimi Chadema.?
 
Habari wakuu,

Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti

Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.

Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.


Kama anakabiliwa na tuhuma hizo kwanini asifunguliwe kesi ya aina hiyo????
 
Tuko pamoja humu miaka mingi Victoire, usidhani watu hawakusomi humu na kujua misimamo yako kuhusu maslahi ya nchi yetu. Watu hawakurupuki tu ili kusema umebadilika. Usiwe kama hao waliookotwa majalalani. 😜

Freedom of speech,sijabadilika wala nini.Mimi siongonzwi na hisia za vyama kama nyie. So Magufuli akifanya poa namsifia. Mbowe pia akifanya poa namsifia and vice versa.
 
Ushahidi wa kuhusu Bugirichato na wizi na ufisadi wake uko wazi kabisa mpaka kwenye ripoti za CAG usijifanye hulijui hilo. Hayuko juu ya sheria kwa maovu yake mbali mbali aliyotutendea Watanzania in trillions.

Haihusiani? Ni wangapi wanaface sharia kukiwa na ushahidi? Una ushahidi peleka kwa DPP kesi itafunguliwa. Two wrongs dont make a right.
 
Hii inaitwa MTU kala MTU,wameanza kulana wenyewe,ikiwa kweli itatokea namuona Mzee Wa Musoga akijilaumu kwa kumleta bwana yule,ila nahisi usije kushangaa Mzee Wa tabasamu na genge lake 2020 huyu bwana akarudishwa Burigi-chato kukaa na wanyama, kwani watakuwa tayari wamegraduate namna ya kuishi na binadamu.
 
Membe atagombea Urais wa TZ kupitia ACT-Wazalendo.

Hii ni mbinu ya kuzigawa kura kutoka kambi ya upinzani.

Makosa yaliyofanyika kwa Lowassa hayawezi kufanyika tena ambapo kunakuwa mgombea mmoja pekee mwenye nguvu kutoka upinzani.

Wakati CDM wameamua Lissu awe mgombea wao, CCM lazima wazigawe kura zake.

Watu wanacheza ngoma za CCM bila kujua!

Siasa ni sayansi na sio uanaharakati na ushabiki!
Unafaa uwe diwani una akili sana, wengi hawaoni hilo
 
Ushahidi wa kuhusu Bugirichato na wizi na ufisadi wake uko wazi kabisa mpaka kwenye ripoti za CAG usijifanye hulijui hilo. Hayuko juu ya sheria kwa maovu yake mbali mbali aliyotutendea Watanzania in trillions.
Huna jipya
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 haya pita lumumba kesho mapema ukachukue buku 7 zako kwa kuniambia mie sina jipya bali weye ndiyo mwenye jipya la kutumika na nduli kutetea maovu yake.

Huna jipya
 
Kama astahili kufunguliwa afunguliwe tu,wameifilisi sana nchi mb.wa hawa.
 
Kamwe huyo Mtu wako hatapata Urais hata wa TFF, Atabaki kubwabwaja mitandaoni sambamba na nyinyi wasaka buku
Habari wakuu,

Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti

Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu kesi mfu ya MEIS ya kiwanda cha saruji mkoani Lindi umeiva.

Habari nilizozipata ni kwamba hiyo ndiyo silaha ya mwisho kumzuia Membe asigombee Urais kupitia CCM. Wadadisi wa mambo wananiambia uamuzi huu unaweza kumaanisha usemi wa Niguse Ninuke.

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya pita lumumba kesho mapema ukachukue buku 7 zako kwa kuniambia mie sina jipya bali weye ndiyo mwenye jipya la kutumika na nduli kutetea maovu yake.
Ogopa sana mlokole akianza kunywa pombe ni aibu.!
 
Back
Top Bottom