Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Freedom of speech,sijabadilika wala nini.Mimi siongonzwi na hisia za vyama kama nyie. So Magufuli akifanya poa namsifia. Mbowe pia akifanya poa namsifia and vice versa.Kabadilika ghafla huyu, sijui masahibu yepi yamemkuta na kuanza kusupport MUOVU.