Kwa kutumia hiyo glabal village yako nitajie mshahara wa Try again na CEO Kajula pale Simba ni kiasi gani wanalipwa?Tupo kwenye global village, kwa sasa hakuna siri ya salary wanazopokea watu, tunajua hadi mshahara wa rais, sembuse na mshahara wa Mzize!
Ikiwa hujui mishahara ya hao wachezaji utakuwa u miongoni mwa watu mbumbumbu ndani ya global village.
Kina nani?Kuna sehemu umewasikia wanataka support yako!
Usiyeeleweka ni wewe hapo.Unatatizo kubwa sana la akili
Ila simba imefanya watu wanaongea mambo ambayo hata hayaeleweki
😆🤣😂 Haya Mwananchi.Ukiwa na uwezo kila siku ni sikukuu
Uongo uliopitiliza.Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu
KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.
Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024
# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k
Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
Kwa kutumia hiyo glabal village yako nitajie mshahara wa Try again na CEO Kajula pale Simba ni kiasi gani wanalipwa?Tupo kwenye global village, kwa sasa hakuna siri ya salary wanazopokea watu, tunajua hadi mshahara wa rais, sembuse na mshahara wa Mzize!
Ikiwa hujui mishahara ya hao wachezaji utakuwa u miongoni mwa watu mbumbumbu ndani ya global village.
Anzisha uzi kuhusu hao kisha nitag nitatoa mchango wangu huko kwa kujibu maswali yako.Kwa kutumia hiyo glabal village yako nitajie mshahara wa Try again na CEO Kajula pale Simba ni kiasi gani wanalipwa?
Nilitaka nione jinsi gani ulivyokosa upeo wa kufikiria na hilo swali nilijua tu lipo nje na uwezo wako. Unafikiria kwavile tupo kwenye global village basi kila kitu utakijua? Kama mshahara wa Try again na CEO wenu Kajula umeshindwa kuujua je hiyo global village yako imekusaidia nini?Anzisha uzi kuhusu hao kisha nitag nitatoa mchango wangu huko kwa kujibu maswali yako.
Kwa huu uzi tunaangalia tofauti za salaries kati ya Mzize na Guede, tujikite hapo kwa huu uzi.
Hukumalizia gamond!Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu
KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.
Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024
# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k
Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
Jamaa anaakili ndogo au stress za timu yake kufanya vibaya zinamuumiza sana kwa hiyo anatumia nguvu kubwa kujifariji kwa kutafuta habari za uongo juu ya Yanga alafu analazimisha ni uongoNilitaka nione jinsi gani ulivyokosa upeo wa kufikiria na hilo swali nilijua tu lipo nje na uwezo wako. Unafikiria kwavile tupo kwenye global village basi kila kitu utakijua? Kama mshahara wa Try again na CEO wenu Kajula umeshindwa kuujua je hiyo global village yako imekusaidia nini?
Hata mishahara ya wachezaji wa Yanga haiwezi kujulikana kwavile ni global village kwasababu hiyo hiyo global village imeshindwa kukupa msaada kuujua mshahara wa Try again na CEO Kajula
Kumbe nazozana na amphibian 😂😂Nilitaka nione jinsi gani ulivyokosa upeo wa kufikiria na hilo swali nilijua tu lipo nje na uwezo wako. Unafikiria kwavile tupo kwenye global village basi kila kitu utakijua? Kama mshahara wa Try again na CEO wenu Kajula umeshindwa kuujua je hiyo global village yako imekusaidia nini?
Hata mishahara ya wachezaji wa Yanga haiwezi kujulikana kwavile ni global village kwasababu hiyo hiyo global village imeshindwa kukupa msaada kuujua mshahara wa Try again na CEO Kajula
Mkuu, hii imeletwa na watu Simba, wanajisahau tu ila tarehe 20 watahadithiaNina wasiwasi na hiyo list. Pacome kulipwa 3m na Maxi kulipwa 2m ni uongo uliokubuhu. Pia Farid mwenye exposure ya Ulaya kulipwa 750k haiji kabisa. Chanzo cha hiyo taarifa ni kipi?
Weka evidence mkuu kama hii mliyoleta ya Yanga tusiongee maneno matupu, unamjua Mo unamsikia wewe, muulize Kigwa na pikipiki zakesimba inalipwa vizuri mzee