Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Tupo kwenye global village, kwa sasa hakuna siri ya salary wanazopokea watu, tunajua hadi mshahara wa rais, sembuse na mshahara wa Mzize!

Ikiwa hujui mishahara ya hao wachezaji utakuwa u miongoni mwa watu mbumbumbu ndani ya global village.
Kwa kutumia hiyo glabal village yako nitajie mshahara wa Try again na CEO Kajula pale Simba ni kiasi gani wanalipwa?
 
Unatatizo kubwa sana la akili
Ila simba imefanya watu wanaongea mambo ambayo hata hayaeleweki
Usiyeeleweka ni wewe hapo.

Hivi kwa akili yako kweli unawezaje kuumia pale mangi anapopata hasara kwa biashara yake huku ukiwa hujawahi kugharamikia mtaji wa biashara hiyo?

Acha ujinga kwa kukua kifikra.
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
Uongo uliopitiliza.
 
Wasikitikie Watanzania wenzio huko viwandani wanalipwa Tsh 7000 kwa siku alipe chakula na nauli hapo hapo na arudi na hela home unawaangaikia hao ambao mambo yao wanafanya wakiwa na wanasheria? Na matakata yote...
 
Wamatopeni Kolouzidad Wameona Viwanjani Imeshindikana Sasa Wamehamia Kwenye Propaganda
 
Tupo kwenye global village, kwa sasa hakuna siri ya salary wanazopokea watu, tunajua hadi mshahara wa rais, sembuse na mshahara wa Mzize!

Ikiwa hujui mishahara ya hao wachezaji utakuwa u miongoni mwa watu mbumbumbu ndani ya global village.
Kwa kutumia hiyo glabal village yako nitajie mshahara wa Try again na CEO Kajula pale Simba ni kiasi gani wanalipwa?
 
Kwa kutumia hiyo glabal village yako nitajie mshahara wa Try again na CEO Kajula pale Simba ni kiasi gani wanalipwa?
Anzisha uzi kuhusu hao kisha nitag nitatoa mchango wangu huko kwa kujibu maswali yako.

Kwa huu uzi tunaangalia tofauti za salaries kati ya Mzize na Guede, tujikite hapo kwa huu uzi.
 
Anzisha uzi kuhusu hao kisha nitag nitatoa mchango wangu huko kwa kujibu maswali yako.

Kwa huu uzi tunaangalia tofauti za salaries kati ya Mzize na Guede, tujikite hapo kwa huu uzi.
Nilitaka nione jinsi gani ulivyokosa upeo wa kufikiria na hilo swali nilijua tu lipo nje na uwezo wako. Unafikiria kwavile tupo kwenye global village basi kila kitu utakijua? Kama mshahara wa Try again na CEO wenu Kajula umeshindwa kuujua je hiyo global village yako imekusaidia nini?
Hata mishahara ya wachezaji wa Yanga haiwezi kujulikana kwavile ni global village, kwasababu hiyo hiyo global village imeshindwa kukupa msaada kuujua mshahara wa Try again na CEO Kajula
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
View attachment 2964980
Hukumalizia gamond!
 
Nilitaka nione jinsi gani ulivyokosa upeo wa kufikiria na hilo swali nilijua tu lipo nje na uwezo wako. Unafikiria kwavile tupo kwenye global village basi kila kitu utakijua? Kama mshahara wa Try again na CEO wenu Kajula umeshindwa kuujua je hiyo global village yako imekusaidia nini?
Hata mishahara ya wachezaji wa Yanga haiwezi kujulikana kwavile ni global village kwasababu hiyo hiyo global village imeshindwa kukupa msaada kuujua mshahara wa Try again na CEO Kajula
Jamaa anaakili ndogo au stress za timu yake kufanya vibaya zinamuumiza sana kwa hiyo anatumia nguvu kubwa kujifariji kwa kutafuta habari za uongo juu ya Yanga alafu analazimisha ni uongo
 
Nilitaka nione jinsi gani ulivyokosa upeo wa kufikiria na hilo swali nilijua tu lipo nje na uwezo wako. Unafikiria kwavile tupo kwenye global village basi kila kitu utakijua? Kama mshahara wa Try again na CEO wenu Kajula umeshindwa kuujua je hiyo global village yako imekusaidia nini?
Hata mishahara ya wachezaji wa Yanga haiwezi kujulikana kwavile ni global village kwasababu hiyo hiyo global village imeshindwa kukupa msaada kuujua mshahara wa Try again na CEO Kajula
Kumbe nazozana na amphibian 😂😂
 
Kuna kitu kinaitwa ranking! Hapa hadhi ya mchezaji ndipo inapoonekana. Na hili sio swala la kushangaa hata kidogo. Mchezaji kadri anavyo perform uwanjani na kusaidia timu kupata makombe na ranking yake inapanda. So mm sishangai.
 
Nina wasiwasi na hiyo list. Pacome kulipwa 3m na Maxi kulipwa 2m ni uongo uliokubuhu. Pia Farid mwenye exposure ya Ulaya kulipwa 750k haiji kabisa. Chanzo cha hiyo taarifa ni kipi?
Mkuu, hii imeletwa na watu Simba, wanajisahau tu ila tarehe 20 watahadithia
 
Weka evidence mkuu kama hii mliyoleta ya Yanga tusiongee maneno matupu, unamjua Mo unamsikia wewe, muulize Kigwa na pikipiki zake
Wachezaji wa simba iyo hapo
14f7b3a0fb4c77b83d0e8142f4e68c70.jpg
e9de9f3ba05c791f5d5a9281e3bc82ae.jpg
 
Back
Top Bottom