Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Wezi ndio wanatakiwa wajikamate, je itawezekana? Mungu alikwisha toa adhabu.Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .
Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .
Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679
Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Ukeumbuka na barakoaWazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .
Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .
Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679
Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Matapishi matupu!Unafikiri basi hizo ni siri, huo ni ubabe makusudi kwamba tunafanya hivi na hamtufanyi lolote wala kushtaki popote...
yaani CCM waiogope CHADEMA kabisa? wazee wa kupiga domo mitandaoni huku upo nyuma ya keyboard ume activate premiun vpn...
Kama Zanzibar Seif alifanyiwa kiini macho mpaka US ikaingilia na haikusaidia kitu, ndugu zangu siasa hazitowasaidia chochote, mmekwisha kwenda kushtaki hadi kwa mabeberu lakini hakuna matokeo yeyote... huwa naamini kwamba hii nchi wananchi ndio wataamua nchi iende kulia ama kushoto, hii nchi nyie CHADEMA hamtofanya lolote, zaidi bungeni mmetolewa almost wote, mmebaki kulia tu twitter na mitandaoni...
Hili taifa ni wananchi ndio watakuwa na mustakabali taifa liende wapi, tamaa zenu za fisi kumkaribisha Lowassa, wananchi wakaona hamueleweki kama sigara nyota...
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Kampeni zenu zenyewe watu walikuwa wana stream youtube na hamkufanya lolote, hakuna hata TV moja ilikuwa inaonyesha kampeni zenu, lakini wadau mmekomaa tu,katibaaaa!!!! katibaaaa!!!, tunaibiwaaa, tunaibiwaaaa, tunaibiwaaa, kila siku nyimbo ni zile zile...
Nyie komaeni tu muendelee kufukuzia hizo ruzuku, mpate hata pesa za kuweka mafuta kwenye gari... niipofika hapa niendelee tu mishe zangu hizi siasa wengine wanafanya kama hobby lakini sio userious wa kuleta mabadiliko ya kweli...
nakaribisha matusi...
Hata wakisusa haitawasaidia....rejea uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.La muhimu mkuu 'Erythro', ni kuzitumia hizi kama fundisho.
Kosa ni kukubali kushiriki tena kwenye uchaguzi ambao mnajuwa wazi kwamba ni "uchafuzi".
Na msidhani kwamba kwa kuwa Magufuli hayupo, hao watu wataacha tabia zao chafu. La muhimu ni kukataa upuuzi wa aina hiyo usifanyike tena.
Kadini , hii picha kwako inamaanisha nini?Tumeshazoea hizo habari ajabu kila chaguzi mnashiriki baadae maneno hayo hayo hivyo hivyo kila mwaka hii ni kama ile hadithi ya sungura sizitaki mbichi hizi
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .
Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .
Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679
Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Umeelewa vyema, ila mimi ninavyoona kwa kipindi cha awamu zilizopita hata sasa, naona hilo tatizo bado lipo, wakati wa mwenda zake, vyama vya upinzani hata kuongea na wananchi ilikuwa ngumu sana, huwezi kuongea na wananchi wakati umeambiwa usifanye mkutano. Ili uwafikie wananchi ni lazima ufanye mikutano, vyama vya upinzani wapigwa pini huku Chama tawala kikiendelea kuongea na wananchi, wapinzani kesi kibao kila siku ni kushinda mahakamani tu hadi hii leo, Tume yenyewe ndiyo hiyo inataeuliwa na Rais (Nakulipa mshahara, nakupatia usafiri halafu uje unitangazie mpinzani, hii kauli ilitolewa hadharani kila mtanzania a naye futilitilia siasa za hii nchi alisikia). Wale wote wanahusika na kusimamia UCHAGUZI ni watumishi wa umma unataka wakose mshahara watatangaza tu, ili maisha yaenelee, Unakuja kujua hapo hakuna haki, utasikia Watanzania muniombee. Sasa wewe hutendi haki tutakuombea kweli na maombi yatapokelewa kweli?Hapana, mimi sitakutukana, ila kuna mambo umeyasema kama lawama kwa CHADEMA bila kuangalia uhalisia.
Ndiyo, CHADEMA wanastahili lawama katika mambo kadhaa ambayo hawayafanyi vizuri, na kubwa zaidi ya yote ni hilo ulilogusia kiaina..., la kuwaendea wananchi ambao ndio wenye uwezo wa kubadili mwelekeo wa nchi hii.
CHADEMA mara nyingi sana wameshauriwa wawashirikishe wananchi, kwa kuwa elimisha na kuwapa uongozi wa nini kifanywe. Juhudi zao huko ni hafifu sana, na ndiyo maana CCM huwachezea kama watoto wadogo kwa kujuwa hawana wananchi walio nyuma yao wanaoweza kuzuia michezo hiyo.
CHADEMA hawahitaji kuwa na mamilioni ya wafuasi wanaoweza kusimamia na kushinikiza mabadiliko yawepo nchini. Wakiwa na wafuasi laki tano hadi milioni moja nchi nzima waliotayari kujitoa mbele, mara moja utaona wengi wa wananchi ambao wako kimya wanaingia kwenye mstari nyuma ya hao, na mabadiliko yanakuwepo.
Kwa hiyo, lawama pekee ninayoweza kukubaliana nawe juu ya udhaifu wa CHADEMA ni huo, wa kuwa wazembe katika kuwashirikisha wananchi.
Hayo ya viongozi mamluki, kama akina Slaa, Ngoyai Lowasa, akina Nyalandu na wengine hayo ni mambo madogo sana. Chama chochote huingiza watu wenye ushawishi ili wapate madaraka.
Mwisho, ngoja nikukumbushe kama kumbukumbu zako zimefutika, au kama si ulaghai tu unaoonyesha hapa kulaumu:
CHADEMA wamewahi kuwa na wabunge wengi katika mabunge yaliyopita. Unadhani hao wabunge walipatikana kwa kufanya lelemama mbele ya uchaguzi?
Tazama mara zote walipopatikana wabunge wengi, utaona kuwa maeneo walipotokea wabunge hao watu walikuwa ngangari kulinda haki zao kuwachagua wabunge hao. Walipojaribu kufanya upuuzi wananchi walikuwa tayari kupambana.
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .
Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .
Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679
Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Chademaaa wazee wa kubadilisha gear angani na kuzungusha mikono.
Wewe CCM ndio chama chenye mikakati ya kuleta maendeleo kwenye taifa hili.
Wewe CCM ndio chama chenye mikakati ya kuleta maendeleo kwenye taifa hili.
I feel you. I share your sentiment. Na mi pia ni neutral Ila kweli chadema sometimes wanazingua. Mfano mwaka unaisha Hilo Baraza kuu linakaa lini kina Mdee wa covid 19 zile appeal zao zishuulikiwe? Makes us believe kuna kamchezo kanachezwa na kutufanya Sisi mapunguawani.Unafikiri basi hizo ni siri, huo ni ubabe makusudi kwamba tunafanya hivi na hamtufanyi lolote wala kushtaki popote...
yaani CCM waiogope CHADEMA kabisa? wazee wa kupiga domo mitandaoni huku upo nyuma ya keyboard ume activate premiun vpn...
Kama Zanzibar Seif alifanyiwa kiini macho mpaka US ikaingilia na haikusaidia kitu, ndugu zangu siasa hazitowasaidia chochote, mmekwisha kwenda kushtaki hadi kwa mabeberu lakini hakuna matokeo yeyote... huwa naamini kwamba hii nchi wananchi ndio wataamua nchi iende kulia ama kushoto, hii nchi nyie CHADEMA hamtofanya lolote, zaidi bungeni mmetolewa almost wote, mmebaki kulia tu twitter na mitandaoni...
Hili taifa ni wananchi ndio watakuwa na mustakabali taifa liende wapi, tamaa zenu za fisi kumkaribisha Lowassa, wananchi wakaona hamueleweki kama sigara nyota...
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Kampeni zenu zenyewe watu walikuwa wana stream youtube na hamkufanya lolote, hakuna hata TV moja ilikuwa inaonyesha kampeni zenu, lakini wadau mmekomaa tu,katibaaaa!!!! katibaaaa!!!, tunaibiwaaa, tunaibiwaaaa, tunaibiwaaa, kila siku nyimbo ni zile zile...
Nyie komaeni tu muendelee kufukuzia hizo ruzuku, mpate hata pesa za kuweka mafuta kwenye gari... niipofika hapa niendelee tu mishe zangu hizi siasa wengine wanafanya kama hobby lakini sio userious wa kuleta mabadiliko ya kweli...
nakaribisha matusi...
Kodi kwa maendeleo ya nchi [emoji28]
Kodi kwa maendeleo ya nchi [emoji28]
Hiyo video ilipigwa nchi nyingine siyo hapa Tanzania! Msipotoshe. Angalia vizuri.Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .
Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .
Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679
Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Sisi kina nani???Tutaaminije sisi kwamba ilikuwa ni uchaguzi 2020 na kwamba wanaofanya hivyo ni kutokea chama cha kijani?
Je kama ni chama cha magwanda nao wakisuka mpango wa kuiaminisha dunia kwamba walihujumiwa? Tutaaminije sisi?