Inadaiwa hizi video ni za wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020

Wezi ndio wanatakiwa wajikamate, je itawezekana? Mungu alikwisha toa adhabu.
 
Tutaaminije sisi kwamba ilikuwa ni uchaguzi 2020 na kwamba wanaofanya hivyo ni kutokea chama cha kijani?

Je kama ni chama cha magwanda nao wakisuka mpango wa kuiaminisha dunia kwamba walihujumiwa? Tutaaminije sisi?
 
Ukeumbuka na barakoa
 
Dhambi ni Mbaya,dhambi ni Mbaya saaana.Unaapa kwa Biblia na Qur'an,,laana Hiyo.
 
Matapishi matupu!
 
Hata wakisusa haitawasaidia....rejea uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.
 

Yana mwisho
 
Umeelewa vyema, ila mimi ninavyoona kwa kipindi cha awamu zilizopita hata sasa, naona hilo tatizo bado lipo, wakati wa mwenda zake, vyama vya upinzani hata kuongea na wananchi ilikuwa ngumu sana, huwezi kuongea na wananchi wakati umeambiwa usifanye mkutano. Ili uwafikie wananchi ni lazima ufanye mikutano, vyama vya upinzani wapigwa pini huku Chama tawala kikiendelea kuongea na wananchi, wapinzani kesi kibao kila siku ni kushinda mahakamani tu hadi hii leo, Tume yenyewe ndiyo hiyo inataeuliwa na Rais (Nakulipa mshahara, nakupatia usafiri halafu uje unitangazie mpinzani, hii kauli ilitolewa hadharani kila mtanzania a naye futilitilia siasa za hii nchi alisikia). Wale wote wanahusika na kusimamia UCHAGUZI ni watumishi wa umma unataka wakose mshahara watatangaza tu, ili maisha yaenelee, Unakuja kujua hapo hakuna haki, utasikia Watanzania muniombee. Sasa wewe hutendi haki tutakuombea kweli na maombi yatapokelewa kweli?
Mimi naona vyama vya upinzani wako vizuri, haki zitendekee kweli na siyo maigizo, kumbuka "AMANI NI TUNDA LA HAKI"
 
Chademaaa wazee wa kubadilisha gear angani na kuzungusha mikono.
 

 
I feel you. I share your sentiment. Na mi pia ni neutral Ila kweli chadema sometimes wanazingua. Mfano mwaka unaisha Hilo Baraza kuu linakaa lini kina Mdee wa covid 19 zile appeal zao zishuulikiwe? Makes us believe kuna kamchezo kanachezwa na kutufanya Sisi mapunguawani.
Anyways as you rightly said so wananchi hua ndio waamuzi. Kwani mfano watu siku wakichoka si ni fasta tu nchi nzzima inaigia street aisee Kila mwenye madaraka ata step down bila kuambiwa.
Hapa natoa mfano wa yaliyotokea Arab Spring kule north Africa.
Ila God forbid iyo kitu isitokee kwetu.
 
Hiyo video ilipigwa nchi nyingine siyo hapa Tanzania! Msipotoshe. Angalia vizuri.
 
Tutaaminije sisi kwamba ilikuwa ni uchaguzi 2020 na kwamba wanaofanya hivyo ni kutokea chama cha kijani?

Je kama ni chama cha magwanda nao wakisuka mpango wa kuiaminisha dunia kwamba walihujumiwa? Tutaaminije sisi?
Sisi kina nani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…