Inadaiwa hizi video ni za wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020

Inadaiwa hizi video ni za wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020

Kodi kwa maendeleo ya nchi [emoji28]
 
Nathan Yale mabegi aliyoyakamata Halima Mdee hayuko tayari kuonyesha video zake, Kwani tayari ni sehemu ya mnufaika!!! Tumbo Tumbo Tumbo
 
Sweden wamefanya la maana sana duniani tunahitajiana.
 
Sweden wamefanya la maana sana duniani tunahitajiana.
Kama serikali bado inapokea hii misaada kwanini wasifute zile tozo za miamala ya simu?

Huku wanaomba "mikopo nafuu", kule wanapokea misaada, hapa wanatukamua wananchi kwenye tozo, hawa watu hata siwaelewi.
 
FISIEMU wanasema mbinu walizotumia kuiba kura na kushinda chaguzi zilizopita ni kama tone moja la maji ya bahari.
Nasema kama waalimu hawa wa Tanzania ndo watakuwawasimamizi wa uchaguzi hata tume iwe huru namna gani upinzani hamtachukua nchi.
Pitia yale mabango ya matokeo kwenye vituo vya kupigia kura uone hata hesabu za kujumlisha na kutafuta asilimia zilivyobumbwa na waalimu wa Tanzania
 
Unafikiri basi hizo ni siri, huo ni ubabe makusudi kwamba tunafanya hivi na hamtufanyi lolote wala kushtaki popote...
yaani CCM waiogope CHADEMA kabisa? wazee wa kupiga domo mitandaoni huku upo nyuma ya keyboard ume activate premiun vpn...
Kama Zanzibar Seif alifanyiwa kiini macho mpaka US ikaingilia na haikusaidia kitu, ndugu zangu siasa hazitowasaidia chochote, mmekwisha kwenda kushtaki hadi kwa mabeberu lakini hakuna matokeo yeyote... huwa naamini kwamba hii nchi wananchi ndio wataamua nchi iende kulia ama kushoto, hii nchi nyie CHADEMA hamtofanya lolote, zaidi bungeni mmetolewa almost wote, mmebaki kulia tu twitter na mitandaoni...
Hili taifa ni wananchi ndio watakuwa na mustakabali taifa liende wapi, tamaa zenu za fisi kumkaribisha Lowassa, wananchi wakaona hamueleweki kama sigara nyota...
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Kampeni zenu zenyewe watu walikuwa wana stream youtube na hamkufanya lolote, hakuna hata TV moja ilikuwa inaonyesha kampeni zenu, lakini wadau mmekomaa tu,katibaaaa!!!! katibaaaa!!!, tunaibiwaaa, tunaibiwaaaa, tunaibiwaaa, kila siku nyimbo ni zile zile...

Nyie komaeni tu muendelee kufukuzia hizo ruzuku, mpate hata pesa za kuweka mafuta kwenye gari... niipofika hapa niendelee tu mishe zangu hizi siasa wengine wanafanya kama hobby lakini sio userious wa kuleta mabadiliko ya kweli...

nakaribisha matusi...
Kuwa mwendawazimu sio lazima uvue nguo,Kama wewe ni kijana na wapo wengine wenye upeo hafifu Kama huo tumeisha Kama taifa.
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Waombe moderators waiweke vizuri. Haifunguki kwa baadhi ya devices
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Hakika nimeona wizi ukisimamiwa na kufanywa na polisi!
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Ni upumbavu kutaka tuamini hilo kama ni kweli,
Kama mtu unaiba kisha unajichukua video, sasa huo ni wizi gani?
Hiyo picha inadhibitisha vipi kuwa ni ya uchaguzi na ilipigwa kabla ya kuhesabu au baada ya kuhesabu.
Au mnataka tujadili vitu ambavyo ahavina tija na ni vya umbea.
 
Kama muda wa kuandaa wagombea haupo wanaishia kukodishwa muda wa kufuatilia vitu vya msingi kama kura unatoka wapi

Kufeli kwa upinzani ni kwa kujitakia


Huwezi toa jibu hilo kila mtihani nanukafeli na bado likawa ndio jibu lako
Sasa mbona mnatumia polisi kujaza makura feki?
 
Si wangeli ufunua tu mfuniko na kuingiza kirahisi
Issue ni akili tu!! Ndio maana umeitwa wizi wa kijinga uliofanywa na wajinga na wajinga wakatangaza matokeo na wajinga waliotangazwa tunayaona matokeo yake huko bungeni...
 
Unafikiri basi hizo ni siri, huo ni ubabe makusudi kwamba tunafanya hivi na hamtufanyi lolote wala kushtaki popote...
yaani CCM waiogope CHADEMA kabisa? wazee wa kupiga domo mitandaoni huku upo nyuma ya keyboard ume activate premiun vpn...
Kama Zanzibar Seif alifanyiwa kiini macho mpaka US ikaingilia na haikusaidia kitu, ndugu zangu siasa hazitowasaidia chochote, mmekwisha kwenda kushtaki hadi kwa mabeberu lakini hakuna matokeo yeyote... huwa naamini kwamba hii nchi wananchi ndio wataamua nchi iende kulia ama kushoto, hii nchi nyie CHADEMA hamtofanya lolote, zaidi bungeni mmetolewa almost wote, mmebaki kulia tu twitter na mitandaoni...
Hili taifa ni wananchi ndio watakuwa na mustakabali taifa liende wapi, tamaa zenu za fisi kumkaribisha Lowassa, wananchi wakaona hamueleweki kama sigara nyota...
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Kampeni zenu zenyewe watu walikuwa wana stream youtube na hamkufanya lolote, hakuna hata TV moja ilikuwa inaonyesha kampeni zenu, lakini wadau mmekomaa tu,katibaaaa!!!! katibaaaa!!!, tunaibiwaaa, tunaibiwaaaa, tunaibiwaaa, kila siku nyimbo ni zile zile...

Nyie komaeni tu muendelee kufukuzia hizo ruzuku, mpate hata pesa za kuweka mafuta kwenye gari... niipofika hapa niendelee tu mishe zangu hizi siasa wengine wanafanya kama hobby lakini sio userious wa kuleta mabadiliko ya kweli...

nakaribisha matusi...
Vitu vya ajabu sana!!..Bora nifunge mdomo wangu
 
Kama muda wa kuandaa wagombea haupo wanaishia kukodishwa muda wa kufuatilia vitu vya msingi kama kura unatoka wapi

Kufeli kwa upinzani ni kwa kujitakia


Huwezi toa jibu hilo kila mtihani nanukafeli na bado likawa ndio jibu lako
Ila Kuna muda wa kuwatumia police kuweka kura feki kwny box la kura.
 
Wazalendo wameanza kuachia hadharani mambo machafu yaliyotendwa kwenye kile kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 .

Toleo la sasa ni video inayoonyesha wizi wa kishamba sana wa kura ulivyofanyika , tena chini ya watu walioaminiwa kulinda usalama .

Hebu jionee mwenyewe .View attachment 1964679

Majina ya Wahusika wote yamepatikana , ila yanahifadhiwa kwa muda kwa sababu za kibinadamu
Walipandishwa vyeo hawa bila kwenda kozi🤣🤣
 
Unafikiri basi hizo ni siri, huo ni ubabe makusudi kwamba tunafanya hivi na hamtufanyi lolote wala kushtaki popote...
yaani CCM waiogope CHADEMA kabisa? wazee wa kupiga domo mitandaoni huku upo nyuma ya keyboard ume activate premiun vpn...
Kama Zanzibar Seif alifanyiwa kiini macho mpaka US ikaingilia na haikusaidia kitu, ndugu zangu siasa hazitowasaidia chochote, mmekwisha kwenda kushtaki hadi kwa mabeberu lakini hakuna matokeo yeyote... huwa naamini kwamba hii nchi wananchi ndio wataamua nchi iende kulia ama kushoto, hii nchi nyie CHADEMA hamtofanya lolote, zaidi bungeni mmetolewa almost wote, mmebaki kulia tu twitter na mitandaoni...
Hili taifa ni wananchi ndio watakuwa na mustakabali taifa liende wapi, tamaa zenu za fisi kumkaribisha Lowassa, wananchi wakaona hamueleweki kama sigara nyota...
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Kampeni zenu zenyewe watu walikuwa wana stream youtube na hamkufanya lolote, hakuna hata TV moja ilikuwa inaonyesha kampeni zenu, lakini wadau mmekomaa tu,katibaaaa!!!! katibaaaa!!!, tunaibiwaaa, tunaibiwaaaa, tunaibiwaaa, kila siku nyimbo ni zile zile...

Nyie komaeni tu muendelee kufukuzia hizo ruzuku, mpate hata pesa za kuweka mafuta kwenye gari... niipofika hapa niendelee tu mishe zangu hizi siasa wengine wanafanya kama hobby lakini sio userious wa kuleta mabadiliko ya kweli...

nakaribisha matusi...
Na aliyeongoza huo ubabe huku akijiita ye Ni jiwe kweri kweri leo Yuko wapi leo?😁😁😁😁
 
CHADEMA mmekwisha, Mbowe mungu amsaidie ashinde hio kesi, yaani mmekwisha ndugu zangu hamna jipya..., mwenzenu mzee Slaa anakula huko mema ya nchi..., yule dada enu Mdee kawageuka chap..
uzuri mie sipo CCM wala CHADEMA, mie nawapa tu ukweli mchungu...
Mie sio sio sio CHADEMA wala CCM nyenyenye…. Mipaka ya Lumumba utaijua tu
 
Back
Top Bottom