Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Na wewe Kwa nini hujaenda kuhudhuria ili ulipwe hayo mapesa?Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Sijawahi kushiriki ujingaNa wewe Kwa nini hujaenda kuhudhuria ili ulipwe hayo mapesa?
Tangu lini Tamasha la utamaduni la kutangaza Utalii wa Tanzania ukawa ujinga?Sijawahi kushiriki ujinga
Kizimkazi inatangaza Utalii! Eee bhana eee! Mswalieni Mtume Jamani!Tangu lini Tamasha la utamaduni la kutangaza Utalii wa Tanzania ukawa ujinga?
Una uhakika wewe sio ndio kwanza inaonesha ujinga wako?
Kodi zenuHivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Kabla ya kuhoji hela zimetoka wapi tuletee ushahidi wa unachokisema.Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Kumbe INADAIWA...Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Mkuu haka kanchi ukiwa chawa umetusua, hizo pesa ni zawalipa Kodi.Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Kwamba Wahudhuriaje wale walipeperuka kutoka Tanganyika hadi kizimkazi, walikula upepo na wanalala kwenye minazi kama kunguru siyo?Kabla ya kuhoji hela zimetoka wapi tuletee ushahidi wa unachokisema.
Je ushahidi wa unachokidai uko wapi ?
Unaanzaje kuhoji jambo ambalo halijathibitishwa hata na wewe mwenyswe ?
[emoji7][emoji7]Tangu lini Tamasha la utamaduni la kutangaza Utalii wa Tanzania ukawa ujinga?
Una uhakika wewe sio ndio kwanza inaonesha ujinga wako?
Tanganyika ni marehemu...Yote haya ni kutokana na ujinga tulionao Watanganyika, huu Muungano sio kabisa.
Amejaza maneno INADAIWA INADAIWA INADAIWA INADAIWA INADAIWA [emoji1787][emoji1787]Kabla ya kuhoji hela zimetoka wapi tuletee ushahidi wa unachokisema.
Je ushahidi wa unachokidai uko wapi ?
Unaanzaje kuhoji jambo ambalo halijathibitishwa hata na wewe mwenyswe ?
Wewe nilshaku ignore, umerudije kwenye nyuzi zangu, Moderator nisaidieni kuignore huyu kapukuKumbe INADAIWA...
INADAIWA INADAIWA.....hisia
Umesema nchi yenye kila aina ya dhiki?!!
Si kweli...hauko serious ?!!
Lini ulisikia MTUHUMIWA aliyeua raia wenzake 30 akatoroka katika kituo cha polisi ?!!!
Lini ulisikia Tanzania inaongozwa kwa misingi ya UKABILA ,UBAGUZI WA KIDINI NA KIKANDA?!!
Hizo ndizo dhiki....
Dhiki ziko kule wanaoangaliana kwa wajihi wa rangi na mbinuko wa pua zao.....
Unateseka na "mindset" yako ya ajabu ajabu
#JMT milele dumu [emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app