safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Huo bado sio uthibitisho na wewe unajua fika.Kwamba Wahudhuriaje wale walipeperuka kutoka Tanganyika hadi kizimkazi, walikula upepo na wanalala kwenye minazi kama kunguru siyo?
Unao uthibitisho mwingine wa wapi walilipwa hizo fedha ?