Mbona wazee wetu walichukia kutawaliwa na Waingereza kwanini sisi tufurahie kutawaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wazee wetu walichukia kutawaliwa na Waingereza kwanini sisi tufurahie kutawaliwa.
AAH WAPI,WEWE FANYA KWANZA UTOKE KWA SHEMEJI YAKO HAPO KIMANZICHANA,UKIENDELEA KUWA MKAIDI MWISHO WA SIKU ATATAKA UMSADIE DADA YAKO MAJUKUMU,SASA USISUBIRI HILO LITOKEE...FANYA UONDOKE MUDA HUU.Mimi najiweza, ninaweza kuwafungia ndan wewe na dada yako pamoja na huyo mume WENU, kazi YENU iwe Kula na kujamba tuu bila kufanya kazi yoyote ndani ya mwaka mmoja
Au kama VIP nije pm nikupe hata laki 5 unipe mk*Nd* maana naona unashoboka na reply zangu naona wewe ni mtu wa upinde 🌈AAH WAPI,WEWE FANYA KWANZA UTOKE KWA SHEMEJI YAKO HAPO KIMANZICHANA,UKIENDELEA KUWA MKAIDI MWISHO WA SIKU ATATAKA UMSADIE DADA YAKO MAJUKUMU,SASA USISUBIRI HILO LITOKEE...FANYA UONDOKE MUDA HUU.
Wewe kibwengo mbona hujaenda Kizimkazi kula vya bure?Kazi mliyobakia nayo upinzani ni uzushi ,uongo na uchonganishi tu.ndio maana watanzania wanaendelea kuwapuuzeni kila uchao,maana wameona ninyi ni wababaishaji na mliokosa ajenda na sera za kueleweka kwa wananchi
UNAONA SASA,MI NILIJUA TUH,HUYO MUME WA DADA YAKO HAWEZI KUKUACHA SALAMA,WE ULISKIA WAPI YEYE AWE ANAKULISHA TUH HAPO BURE BURE BILA KUKUOMBA MASABURI??ONA SASA KIJANA MDOGO UMEAGA MASHINDANO MAPEMA KABISA KWA KUPENDA KWAKO MSEREREKOO...Au kama VIP nije pm nikupe hata laki 5 unipe mk*Nd* maana naona unashoboka na reply zangu naona wewe ni mtu wa upinde 🌈
Kisiwa cha Uingereza kiko mbali sana nasi....tena cha watu WEUPE...Mbona wazee wetu walichukia kutawaliwa na Waingereza kwanini sisi tufurahie kutawaliwa.
Una AKILIi TIMAMU sio? ha haaSijawahi kushiriki ujinga
Kizimkazi imeanza baada ya DP wordHivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
100%Yote haya ni kutokana na ujinga tulionao Watanganyika, huu Muungano sio kabisa.
Umewahi kuona wapi pay voucher ya rushwa?Kabla ya kuhoji hela zimetoka wapi tuletee ushahidi wa unachokisema.
Je ushahidi wa unachokidai uko wapi ?
Unaanzaje kuhoji jambo ambalo halijathibitishwa hata na wewe mwenyswe ?
😆😆😆😆Wewe kibwengo mbona hujaenda Kizimkazi kula vya bure?
Kupata pesa ujinga? Mbona Mbowe na Lisu wanapenda pesa hadi kuchangisha kwa vitu ambavyo hawatoi ripoti kwa wanachamaSijawahi kushiriki ujinga
Umeelewa mada?Kupata pesa ujinga? Mbona Mbowe na Lisu wanapenda pesa hadi kuchangisha kwa vitu ambavyo hawatoi ripoti kwa wanachama
Mwanachadema gani hupendi pesa wakati wenzio wanalamba,
Kodi za wadanganyika na mamikopoHivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Weka ushahidi usio na shakaKodi za wadanganyika na mamikopo
Ulishawahi ona chato festivalEnzi zile ilikuwa chato now no kizimkazi...
Vipi napo hukk bapajawaha kitovu cha utalii z'bar nzima kama chato?