DOKEZO Inadaiwa kila aliyehudhuria Tamasha la Kizimkazi amelipiwa Nauli, Malazi na Posho kabambe, Hizi hela zimetoka wapi?

DOKEZO Inadaiwa kila aliyehudhuria Tamasha la Kizimkazi amelipiwa Nauli, Malazi na Posho kabambe, Hizi hela zimetoka wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tangu lini Tamasha la utamaduni la kutangaza Utalii wa Tanzania ukawa ujinga?

Una uhakika wewe sio ndio kwanza inaonesha ujinga wako?
Siyo kila kitu muwe mnajibu sababu ya kumfurahisha furani,vingine vitakuja kuvigharimu vizazi vyenu,unaweza wewe ukawa chawa lakini siku mwanao atakapotaka kuutafuta ukweli uliokuwa unaupindisha mzazi wake,itamgharimu mara dufu
 
Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!

Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Si jambo baya ila limeratibiwa vibaya sana na nashanga washauri wa rais kwanini hawajaliona hili jambo..
Wangeweza kuweka kitu ambacho kingevutia wageni kutoka nchi mbalimbali waje kwa wingi maana ndio hasa wenye hela sio kuwalipa kina mwijaku na dotto magari isee..
Wameshindwa hata kuliita zanzibar festival wakaweka mambo ya kitalii wakashawishi mahotel na wazungu wamiminike huko zanzibar..
 
Siyo kila kitu muwe mnajibu sababu ya kumfurahisha furani,vingine vitakuja kuvigharimu vizazi vyenu,unaweza wewe ukawa chawa lakini siku mwanao atakapotaka kuutafuta ukweli uliokuwa unaupindisha mzazi wake,itamgharimu mara dufu
Acha porojo wewe
 
Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!

Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Soma mwanahalisi kuhusu deni la sasa la Taifa,utajua Job alikuwa mtaalamu wa kubet
 
Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!

Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Kujikomba tu kwa Bi. Kizimkazi ili wampambe na wapige pesa. Hiyo pesa bro haijatoka serikalini. Ni machawa na wafanyabiashara tu wametoa. Je watarudishaje? Tutapigwa sana na kupandishiwa bei kwenye kila kitu.
 
Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!

Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Soma mwanahalisi kuhusu deni la sasa la Taifa,utajua Job alikuwa mtaalamu wa kubet
 
Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!

Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Mama anahangaika tu,
Navyosikia wakishindwa kumgoa 2025
Wataa.....
Aanze kuaga tu
 
Ukweli mtupu
Akina lukuvi hawataki. Wanasema zenji 90% ni waislamu kwahiyo muungano ukivunjika zenji watatawaliwa na alshabaab!!
Tatizo liko kwenye dini! Muungano unatumika kueneza ugalatia ndani ya visiwa vya Zanzibar Sasa watu wanaona muungano ukivunjika kanisa litakosa nguvu visiwani zenji.
 
Mwacheni mama jamani yule mwamba alijenga international airport kwao hospitali ya kanda , akatengengeneza na mbuga ya wanyama feki akiwaiga waarabu wa Dubai wakati ule mbona hamkusema ? Mliufyata sasa leo mama kufanyiwa tamasha tu imekuwa nongwa ? acheni hizooo
Naunga mkono hoja yako
 
Watanganyika wote hivi sasa ni koloni la nia na ndiyo maana zinatumika rasilimali za Tanganyika kwenda kufanyia sherehe za kifamilia zilizopachikwa jina la a tamasha.
Na tutaenda hivihivi hadi 2030. Na pia 2030 wazanzibari kama itakavyokuwa kwa watanzania wengine watakuwa na haki ya kugombea uraisi wa JMT.
 
Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!

Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Nimeuliza leo mtu swali hili ..mbona kabla Jpm hajafariki hata jina Kizimkazi tulikua hatulijui..hii nchi ***** sana
 
Kwanza hilo linaloitwa tamasha halina mpango wala halina maana yoyote ni basi tu kwa vile hela zinazochezewa ni za Tanganyika.
Kuna haja ya kufanyiwa marekebisho katiba yetu ili ikitokea Rais aliyepo madarakani akashindwa kutimiza majukumu yake kama ilivyotokea kwa Magufuli basi makamu wake ashike nafasi yake kwa muda wa siku 90 kisha ufanyike uchaguzi na yeye akitaka anaweza kugombea ili kuepukana na maroroso kama haya.
Unajua pamoja na katiba Kuna watu Wana bahati zao. Kwa mfano kwa Sasa pakitokea la kutokea kama lililotokea 2021 Philip mpango anakuwa bosi mkuu wa ikulu hadi uchaguzi mkuu ujao.
 
JMK, JPM na SSH wameanzisha tabia sio nzuri, kuvutia kwao. Nadhani kila raisi atakayekuja sasa atatengenez mazingira ya kwao kuwe kama ulaya.
 
Kwa Nini hii kizimkazi festival imeanza kuoneshwa kipindi tu akiwa rais wa kurithi?Kwa Nini haikuwa hapo kabla?pesa za Tanganyika zinagharamia mambo ya kijinga kabisa
 
Back
Top Bottom