DOKEZO Inadaiwa kila aliyehudhuria Tamasha la Kizimkazi amelipiwa Nauli, Malazi na Posho kabambe, Hizi hela zimetoka wapi?

DOKEZO Inadaiwa kila aliyehudhuria Tamasha la Kizimkazi amelipiwa Nauli, Malazi na Posho kabambe, Hizi hela zimetoka wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mimi natumia pesa zangu situmii pesa za walipakodi, situmii pesa za wavuja jasho kusafirisha machawa kama nyie wala wasanii, wala silipi machawa kama nyie muwende kimanzichana, wala situmii pesa za walipakodi kulipa vyombo vya habari viende vikave habari kimanzichana.
UTUMIE HELA,WE UNA HELA AU UNA HELENI??

SASA,UNATAKA UJIFANANISHE WEWE KALUBANDIKA NA RAIS WA NCHI HII??

WE PIGA PIGA KELELE ZAKO HAPA JF UONDOKE ZAKO.
 
mbona kama muungano sisi ndio tunajifanya tunaumia sana na Muungano lakini viongozi WA nchi wenyewe kiuhalisia wanajua Zanzibar ndio unaumizwa.
Tanganyika inaumizwa kwa kutawaliwa na Mzanzibari,ebu nitajie mamlaka au madaraka aliyonayo huyo tunayemuita Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania upande wa Zanzibar zaidi ya Tanganyika.
 
Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!

Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Ndiyo sababu sisi wanyonge tunakamukiwa Kodi kila siku!

Kumbe Kodi zetu, ndivyo zinafanyiwa matumizi ya anasa ya kiwango hicho??😭
 
Zinatoka wapi? Si zile Lissu alizikataa, licha ya kuambiwa hata mwenyekiti wake kachukua.
 
Kwanza hilo linaloitwa tamasha halina mpango wala halina maana yoyote ni basi tu kwa vile hela zinazochezewa ni za Tanganyika.
Kuna haja ya kufanyiwa marekebisho katiba yetu ili ikitokea Rais aliyepo madarakani akashindwa kutimiza majukumu yake kama ilivyotokea kwa Magufuli basi makamu wake ashike nafasi yake kwa muda wa siku 90 kisha ufanyike uchaguzi na yeye akitaka anaweza kugombea ili kuepukana na maroroso kama haya.
 
KAMA UNAVYOSUBIRI WEWE UTUMWE NA SHEMEJI YAKO HAPO NYUMBANI ANAEMKAZA DADA YAKO SIYO WOTE TUKO HIVYO,WE KULA UKAOSHE VYOMBO,SI MNAPENDA VYA BURE BURE WATOTO WA SIKU HIZI.
Mimi najiweza, ninaweza kuwafungia ndan wewe na dada yako pamoja na huyo mume WENU, kazi YENU iwe Kula na kujamba tuu bila kufanya kazi yoyote ndani ya mwaka mmoja
 
Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!

Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Wale vijana waliotoka sehemu mbalimbali Tanzania ili kwenda Mbeya kwa ajili ya Tamasha la BAVICHA walifadhiliwa na nani? Kumbuka wengine ni majirani zetu na tunawajua!!
 
Back
Top Bottom